Maandamano ya Wanaharakati yanategemea makundi ya wasio na hatia ili Kufanikiwa

Maandamano ya Wanaharakati yanategemea makundi ya wasio na hatia ili Kufanikiwa

Nodus

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2011
Posts
346
Reaction score
914
Ukiwasikiliza muda huu wanasema wazi wazi.

Wanasema “Leo watu walibanwa ndo maana hajatoka mtu.”

Wanajijua wapo wachache mno ila wanategemea vikundi vya watu wasio na hatia waingia na kuleta vurugu ili walinda amani wakivamia kikundi waonekane wana supporters wengi

Kama mwizi anavyochoropoka kuingia kwenye mitaa yenye watu wengi akijua wingi watu utafanya asidakwe kirahisi.

Kama kweli wanaharakati wapo wengi leo wote wangetoka tuone uhalisia wa kundi lao, lakini walivyoona mitaa haina watu wakaufyata na kuanza kurusha clip eti Mwanza hivi, Tegeta kile kumbe UONGO MTUPU.

Kama kweli mpo wengi wenye movement zenu leo mgetoka bila kujali kuwa wananchi wengine wametoka au la. Mkabaki kuandamana online na account zenu kumi kumi.

Plan ilikuwa wauawe wengi ili maiti za ndugu zetu iwe leverage yenu ya kisiasa laki mmefeli.

HUU NDO UKARASA WA MWISHO WA MAANDAMANO TANZANIA. BAADA YA LEO MSIJIDANGANYE TAFUTENI KAZI ZA KUFANYA
 
Ukiwasikiliza muda huu wanasema wazi wazi.

Wanasema “Leo watu walibanwa ndo maana hajatoka mtu.”

Wanajijua wapo wachache mno ila wanategemea vikundi vya watu wasio na hatia waingia na kuleta vurugu ili walinda amani wakivamia kikundi waonekane wana supporters wengi

Kama mwizi anavyochoropoka kuingia kwenye mitaa yenye watu wengi akijua wingi watu utafanya asidakwe kirahisi.

Kama kweli wanaharakati wapo wengi leo wote wangetoka tuone uhalisia wa kundi lao, lakini walivyoona mitaa haina watu wakaufyata na kuanza kurusha clip eti Mwanza hivi, Tegeta kile kumbe UONGO MTUPU.

Kama kweli mpo wengi wenye movement zenu leo mgetoka bila kujali kuwa wananchi wengine wametoka au la. Mkabaki kuandamana online na account zenu kumi kumi.

Plan ilikuwa wauawe wengi ili maiti za ndugu zetu iwe leverage yenu ya kisiasa laki mmefeli.

HUU NDO UKARASA WA MWISHO WA MAANDAMANO TANZANIA. BAADA YA LEO MSIJIDANGANYE TAFUTENI KAZI ZA KUFANYA
100%
 
Tukubali kuwa kuwajibika Kwa makosa yetu
Wanaharakati hawakuibq kura, kuteka na kuuwa watu, kufanya uchaguzi wa ulaghai, kujiapisha kambini, ufisadi wa. Viongozi
Wananchi wakipinga haya mnasingizia wanaharakati
 
Nini kifanyike kukomesha Mauaji, Utekaji,Ufisadi?
Whistleblowing.

Kama una ushahidi wa utekaji, ufosadi, uuaji weka hadharani. Kama bosi wako ni fisadi weka nyaraka wazi pamoja kupeleka PCCB hata anonymous submission tuone kama halitafanyiwa kazi.

Shida ya wabongo tuhumu nyingi bila ushahidi. Tuencourage whistleblowers ndio utajua kama taasisi za serikali zinafanya kazi au la
 
Whistleblowing.

Kama una ushahidi wa utekaji, ufosadi, uuaji weka hadharani. Kama bosi wako ni fisadi weka nyaraka wazi pamoja kupeleka PCCB hata anonymous submission tuone kama halitafanyiwa kazi.

Shida ya wabongo tuhumu nyingi bila ushahidi. Tuencourage whistleblowers ndio utajua kama taasisi za serikali zinafanya kazi au la
Hapa ndio nimeelewa Sasa wewe ni kichwa boga, unazungumzia PCCB? Wallah hii nchi ina vilaza na tumeshingia Kwenye failed state sijui tutatokaje Kwa akili hizi nimechoka kabisa.
 
Hapa ndio nimeelewa Sasa wewe ni kichwa boga, unazungumzia PCCB? Wallah hii nchi ina vilaza na tumeshingia Kwenye failed state sijui tutatokaje Kwa akili hizi nimechoka kabisa.
Kwahiyo wewe option yako ni kuichoma nchi halafu unamweka nani?

Huyo unayemtaka wewe kuna wengine hawamtaki.

Viongozi hutokana na wananchi, ukiwa na wananchi wezi utapata viongozi wezi.

Wewe ukisimamishwa na Traffic wakwanza kutoa rushwa halafu unadhani ukiwa kwenye nafasi ya uongozi hutapokea rushwa.

The rot starts at the bottom, hatua ya kwanza ni kukubali kuwa wewe pia ni tatizo l
 
Bado tupo standby tukishindwa leo tutarudi kesho
Ngoja hiz pimbi migambo zipungue kitaa.
 
Whistleblowing.

Kama una ushahidi wa utekaji, ufosadi, uuaji weka hadharani. Kama bosi wako ni fisadi weka nyaraka wazi pamoja kupeleka PCCB hata anonymous submission tuone kama halitafanyiwa kazi.

Shida ya wabongo tuhumu nyingi bila ushahidi. Tuencourage whistleblowers ndio utajua kama taasisi za serikali zinafanya kazi au la
Kazi ipo.
 
Whistleblowing.

Kama una ushahidi wa utekaji, ufosadi, uuaji weka hadharani. Kama bosi wako ni fisadi weka nyaraka wazi pamoja kupeleka PCCB hata anonymous submission tuone kama halitafanyiwa kazi.

Shida ya wabongo tuhumu nyingi bila ushahidi. Tuencourage whistleblowers ndio utajua kama taasisi za serikali zinafanya kazi au la

Nonsense, unajiita TheGreatGenius ila kumbe ni low IQ.
 
Nonsense, unajiita TheGreatGenius ila kumbe ni low IQ.
Kama IQ ni kudhani kushinda barabarani ndo kutakupa maisha bora basi kwangu sina kabisa
 
Ni kweli huna kabisa since kushinda barabarani ndiyo the only thing unachokifikiria, huwezi fikiria an inch deeper kuliko maneno kushinda barabarani. Such a waste of space
 
Back
Top Bottom