LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
Wadau wa jf mim nilikuwa na wazo kuwa yaitishwe maandamano ya nch nzima kupinga ushoga tz.
Wana jf waliopo kila mkoa na wilaya wafanye mchakato wakukutana na kuomba kibali cha kufanya maandamano hayo ya aman.
Na wana jf wote watakao kubaliwa kufanya maandaman wawahamasishe wananch kwenye vyombo vya habari.
Kwa mkoa wa dar ningependa maandamano yaishie ikulu kwa mheshimiwa jk yakifuatiwa na mkutano wa hadhara ambao utamtaka jk atoe msimamo wake na kauli juu ya ushoga.
Wana jf waliopo kila mkoa na wilaya wafanye mchakato wakukutana na kuomba kibali cha kufanya maandamano hayo ya aman.
Na wana jf wote watakao kubaliwa kufanya maandaman wawahamasishe wananch kwenye vyombo vya habari.
Kwa mkoa wa dar ningependa maandamano yaishie ikulu kwa mheshimiwa jk yakifuatiwa na mkutano wa hadhara ambao utamtaka jk atoe msimamo wake na kauli juu ya ushoga.