Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
<br /> <br / ondoa upupu wako hapa we c unaishi KWAMTOGORE umejileta hapa jf unadanganya mbembers kuwa uko USA! acha upuuzi wk jaribu ku2mia akili japo kidogo kikwete ni kiongoz mbovu na hafai kupongezwaKuna jitihada kubwa zinafanyika kuhakikisha Rais JK anapokewa kwa heshima atakapokuja Washington. Watanzania mnaombwa kushiriki kwa wingi ktk Ubalozi wa TZ uliopo Washington DC kumpa Support na changamoto Rais JK ambaya alishinda uchaguzi 2010. WTZ mliopo Marekania mnaombwa mjitokeze kwa wingi kumpa Support Rais JK.<br /> <br /> Mpenda Haki, na Ukweli.<br /> NY, USA
<br />Hapa hakuna cha "taarifa za kiintelijensia" wala mabomu au maji ya kuwasha! JK, this time unalo, dunia nzima itatambua "who you real are!"
<br />Kuna jitihada kubwa zinafanyika kuhakikisha Rais JK anapokewa kwa heshima atakapokuja Washington. Watanzania mnaombwa kushiriki kwa wingi ktk Ubalozi wa TZ uliopo Washington DC kumpa Support na changamoto Rais JK ambaya alishinda uchaguzi 2010. WTZ mliopo Marekania mnaombwa mjitokeze kwa wingi kumpa Support Rais JK.<br />
<br />
Mpenda Haki, na Ukweli. Acha uongo wewe, haki ipi ya kuifunga familia ya Babu Seah? Kuruhusu mafisadi na wauza madawa ya kulevya!<br />
NY, USA
unasema wanasaliti utamaduni, mila na desturi za taifa? utamaduni upi wanaousaliti? utamaduni wa kukaa kimya na kuwaacha wachache waenjoy hii nchi wakati Watanzania wanaumia na maisha magumu?Waraka huu ni kwako wewe hasidi wa upendo, utulivu, na amani ya taifa letu la Tanzania unayejiita Eliakim Mallya na wapuuzi wenzako. Sina uhakika kama kweli jina hilo ulilotoa ni lako, maana kina cha woga na ujinga ulionao, havikuwezeshi wewe kuwa na ushujaa wa kutoa jina lako la kweli. Ninasikitika kwamba imebidi watu wenye heshima zetu tukae chini kutoa kauli kuhusiana na upumbavu uliowekwa kwenye mtandao na mtu asiyekuwa na heshima wala adabu kama wewe, na wapuuzi wenzako wengine mlioko katika kapu moja.
Kwanza, tendo la kumvunjia heshima kiongozi wa taifa letu kwa kutoa kashifa iliyotolewa, pia ni tendo la kulivunjia heshima taifa letu na watu wake, jambo ambalo linakufanya wewe Eliakim Mallya na wote mnaohusika na kashifa hii kuwa mahayawani, maana hayawani hana aibu.
Pili, ukosefu wa utimamu wa akili yenu nyie mhusikao na kashifa hii, pia unajidhihirisha kwa jinsi mlivyojaribu kukosea heshima Watanzania tunaoishi Marekani kwa kujifanya kutuwakilisha wakati nyie ni vivuli. Ni mtu gani awezaye kusikiliza maneno yatokayo kwenye vinywa vya wapumbavu? Ninawajutia kuwa mmesoma kwa kiasi fulani lakini hamkuelimika hata kidogo.
Tatu, ninyi ni viumbe msiokuwa na tone la shukurani kwani pamoja na kwamba Tanzania iliwasomesha na kuwafikisha hapo mlipo (hamwezi kulikataa hilo), mnaanza kuisaliti na kuibeza. Hali kadhalika ninyi ni wasaliti wa utamaduni, mila na desturi za taifa letu na watu wake. Hadhi ya Watanzania iko katika kauli zao njema nyumbani na hata ughaibuni-mahali popote walipo. Taifa letu limepata sifa kubwa sana kutokana na ubora na mwenendo wa tabia za watu wake dunia nzima. Leo hii, watu wachache mliochanganyikiwa mnataka kuupaka matope ubora wetu; hatutaruhusu wala kukubali vitendo na mienendo ya kihuni.
Nne, wahenga walisema debe shinda haliachi kutika, na debe tupu haliachi kuvuma; ninyi mlionena na kuchapisha uvundo wenu huu, ni mifafano dhahiri ya methali hizo. Kwa vile Eliakim Mallya na wenzako mmetota, endeleeni kutota katika tope la ujinga na utovu wa adabu kama walivyo wahaini wa aina yenu.
Mwesigwa. Blandesi
<br /><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Sheikh ubwabwa nakuahidi kukuchinjia yule mwanakondoo wa maajabu mwenye baka leupe ubavuni katika ile sikukuu yenu ya kuadhimisha siku 30 za kushinda njaa.</span></font>
<br /><br /><br />
<br />
Yaani mnaficha maovu yake? Kumpongeza kwa lipi? Labda kwa kuwa mtanzania anayesafiri kuliko wote!
Achana na siasa fanya kitu kingine maana huna hoja. CDM ndo chama kinachowatetea walalahoi na kuchukiwa na mafisadi na wote wasio wapenda haki. Inawezekana ww c Mtanzania ndo maana haupingi hoja bali CHADEMA mara CCM pemba.tupo pamoja mzeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
<br /><span style="font-family: Arial"><font size="2"><font color="#000000"> <span style="font-family: Times New Roman"><font size="3">Waraka huu ni kwako wewe hasidi wa upendo, utulivu, na amani ya taifa letu la Tanzania unayejiita <b>Eliakim Mallya</b> na wapuuzi wenzako. Sina uhakika kama kweli jina hilo ulilotoa ni lako, maana kina cha woga na ujinga ulionao, havikuwezeshi wewe kuwa na ushujaa wa kutoa jina lako la kweli. Ninasikitika kwamba </font></span><span style="font-family: Arial"><font size="2"><font color="#000000"><span style="font-family: Times New Roman"><font size="3"><font color="#ff0000"><b>imebidi watu wenye heshima zetu tukae chini kutoa kauli kuhusiana na upumbavu uliowekwa kwenye mtandao na mtu asiyekuwa na heshima wala adabu kama wewe</b></font></font></span></font></font></span><span style="font-family: Times New Roman"><font size="3">, na wapuuzi wenzako wengine mlioko katika kapu moja.</font></span> <br />
<span style="font-family: Times New Roman"><font size="3">Kwanza, tendo la kumvunjia heshima kiongozi wa taifa letu kwa kutoa kashifa iliyotolewa, pia ni tendo la kulivunjia heshima taifa letu na watu wake, jambo ambalo linakufanya wewe Eliakim Mallya na wote mnaohusika na kashifa hii kuwa mahayawani, maana hayawani hana aibu.</font></span><br />
<br />
<span style="font-family: Times New Roman"><font size="3">Pili, ukosefu wa utimamu wa akili yenu nyie mhusikao na kashifa hii, pia unajidhihirisha kwa jinsi mlivyojaribu kukosea heshima Watanzania tunaoishi Marekani kwa kujifanya kutuwakilisha wakati nyie ni vivuli. Ni mtu gani awezaye kusikiliza maneno yatokayo kwenye vinywa vya wapumbavu? Ninawajutia kuwa mmesoma kwa kiasi fulani lakini hamkuelimika hata kidogo.</font></span><br />
<br />
<span style="font-family: Times New Roman"><font size="3">Tatu, ninyi ni viumbe msiokuwa na tone la shukurani kwani pamoja na kwamba Tanzania iliwasomesha na kuwafikisha hapo mlipo (hamwezi kulikataa hilo), mnaanza kuisaliti na kuibeza. Hali kadhalika ninyi ni wasaliti wa utamaduni, mila na desturi za taifa letu na watu wake. Hadhi ya Watanzania iko katika kauli zao njema nyumbani na hata ughaibuni-mahali popote walipo. Taifa letu limepata sifa kubwa sana kutokana na ubora na mwenendo wa tabia za watu wake dunia nzima. Leo hii, watu wachache mliochanganyikiwa mnataka kuupaka matope ubora wetu; hatutaruhusu wala kukubali vitendo na mienendo ya kihuni.</font></span><br />
<br />
<span style="font-family: Times New Roman"><font size="3">Nne, wahenga walisema debe shinda haliachi kutika, na debe tupu haliachi kuvuma; ninyi mlionena na kuchapisha uvundo wenu huu, ni mifafano dhahiri ya methali hizo. Kwa vile Eliakim Mallya na wenzako mmetota, endeleeni kutota katika tope la ujinga na utovu wa adabu kama walivyo wahaini wa aina yenu.</font></span><br />
<br />
<span style="font-family: Times New Roman"><font size="3">Mwesigwa. Blandesi</font></span></font></font></span>
Jamani tunajua shida za Tanzania na si kweli kwamba kuna wana diaspora waliohaidiwa chochote lakini kwa mawazo yangu fanyane maaandamano UN JK atakapo hutubia sio DC kwani tuna mambo muhimu ambayo tunataka kuongelea kwenye dispora meeting. Kikwete sio lazima aje na kama maandamano yataendela basi tutamuomba asije kwenye mkutano wetu wa DC kwani Kikwete hasaidii lolote kuja kwenye mkutano lakini mkutano ni lazima tufanye. Huu mkutano kama nilivyokuwa nafikiria ni mawazo mabaya kuchanganya na ubalozi kwani watu wanaanza kufikiria ni mkutano wa serikali si kweli huu ni mkutano wa Watanzania na Wamerakani wenye nia nzuri waishio huku na mgeni wa Tanzania kama mwaka jana alikuwa katibu mkuu kiongozi aliongea dakika 30 tu. Kuna watu wa vyuo, Mkuu wa miradi ya barabara ya millenium challenge, representative wa USA wa kanda ya mashariki kutoka kwa mama clinton, representative wa world bank, IMF, n.k hivyo kama kikwete ataleta drama ni bora asiwepo!. Mimi sio mshabiki wa Chama chochote kile lakini kwa mawazo yangu ningeona ni vizuri watu kuandamana UN na sio DC hii pesa ya mikutano tumelipa sisi na si serikali!!. Serikali ni mwalikwa mmoja tu kati ya wengi! hata kama tusipokuwa na kiongozi wa bongo poa tu
unasema wanasaliti utamaduni, mila na desturi za taifa? utamaduni upi wanaousaliti? utamaduni wa kukaa kimya na kuwaacha wachache waenjoy hii nchi wakati Watanzania wanaumia na maisha magumu?
Waraka huu ni kwako wewe hasidi wa upendo, utulivu, na amani ya taifa letu la Tanzania unayejiita Eliakim Mallya na wapuuzi wenzako. Sina uhakika kama kweli jina hilo ulilotoa ni lako, maana kina cha woga na ujinga ulionao, havikuwezeshi wewe kuwa na ushujaa wa kutoa jina lako la kweli. Ninasikitika kwamba imebidi watu wenye heshima zetu tukae chini kutoa kauli kuhusiana na upumbavu uliowekwa kwenye mtandao na mtu asiyekuwa na heshima wala adabu kama wewe, na wapuuzi wenzako wengine mlioko katika kapu moja.
Kwanza, tendo la kumvunjia heshima kiongozi wa taifa letu kwa kutoa kashifa iliyotolewa, pia ni tendo la kulivunjia heshima taifa letu na watu wake, jambo ambalo linakufanya wewe Eliakim Mallya na wote mnaohusika na kashifa hii kuwa mahayawani, maana hayawani hana aibu.
Pili, ukosefu wa utimamu wa akili yenu nyie mhusikao na kashifa hii, pia unajidhihirisha kwa jinsi mlivyojaribu kukosea heshima Watanzania tunaoishi Marekani kwa kujifanya kutuwakilisha wakati nyie ni vivuli. Ni mtu gani awezaye kusikiliza maneno yatokayo kwenye vinywa vya wapumbavu? Ninawajutia kuwa mmesoma kwa kiasi fulani lakini hamkuelimika hata kidogo.
Tatu, ninyi ni viumbe msiokuwa na tone la shukurani kwani pamoja na kwamba Tanzania iliwasomesha na kuwafikisha hapo mlipo (hamwezi kulikataa hilo), mnaanza kuisaliti na kuibeza. Hali kadhalika ninyi ni wasaliti wa utamaduni, mila na desturi za taifa letu na watu wake. Hadhi ya Watanzania iko katika kauli zao njema nyumbani na hata ughaibuni-mahali popote walipo. Taifa letu limepata sifa kubwa sana kutokana na ubora na mwenendo wa tabia za watu wake dunia nzima. Leo hii, watu wachache mliochanganyikiwa mnataka kuupaka matope ubora wetu; hatutaruhusu wala kukubali vitendo na mienendo ya kihuni.
Nne, wahenga walisema debe shinda haliachi kutika, na debe tupu haliachi kuvuma; ninyi mlionena na kuchapisha uvundo wenu huu, ni mifafano dhahiri ya methali hizo. Kwa vile Eliakim Mallya na wenzako mmetota, endeleeni kutota katika tope la ujinga na utovu wa adabu kama walivyo wahaini wa aina yenu.
Mwesigwa. Blandesi
<br />Miafrika band ndivyo ilivyo.<br />
Yaani wanaandamana kwa kumpongeza kwa kuyafanya maisha ya wadanganyika kuwa magumu lol <br />
Mnaishi na weupe huko huko mnashindwa hata kujifunza wenzenu wanaishije? Kiongozi mbovu wanamfanyaje!