Kamanda wa polisi mkoani kagera philp kalangi amemaliza press cof hivi punde na kueleza kuwa jeshi hilo limetoa kibali kwa CHADEMA kufanya maandamano na mkutano wa kumpokea mwenyekiti wa CHADEMA M Kagera hapo kesho kutwa june 19,2013 katika uwanja wa uhuru.
amesema ulinzi,utaimarishwa na kuwaomba wafuasi wa CDM kuwa makini kwa kueleza sera zao na kufunga mkutano saa 12:00 jioni.
Jimbo la Bukoba linaongozwa na Balozi Khamis Kagasheki wa CCM tangu 2005.
amesema ulinzi,utaimarishwa na kuwaomba wafuasi wa CDM kuwa makini kwa kueleza sera zao na kufunga mkutano saa 12:00 jioni.
Jimbo la Bukoba linaongozwa na Balozi Khamis Kagasheki wa CCM tangu 2005.