masanjasb
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 2,364
- 864
wazee wa movie watakuwa washategesha camera zao tayari kwa ajiri kuchukua ushahidi wa mbinguni,cdm msitegemee ulinzi wa policcm pekee,jipangeni kwani CDM inatakiwa kufa ndani ya mwaka huu<maneno ya wasira na nape plus mh mandevu> ila kwa nguvu za mwenyezi Mungu anaekamilisha kazi ya mikono yake within no time,daima wishez zenu hazitafanikiwa kwani cdm haifi leo wala kesho na hata ntondogoooooo