Maandamano ya Karagwe ktk picha

Maandamano ya Karagwe ktk picha

haya ni mapokezi ya kagera wanachama wana kadi za chama chao

IMG_2574-1.JPG
 
hivi kura za hao watoto wanaoonekana hapa huwa zinahesabiwa pia?...kwa kweli kwa kura hizi Slaa ni rais wa........
kwani kuna kupiga kura tena!? hicho ndicho kitakuwa kiama chenu....
 
kwani kuna kupiga kura tena!? hicho ndicho kitakuwa kiama chenu....

Hicho ndicho na sisi tunakitaka sema pale Ikulu yupo mtu wenu, ingekuwa kamanda Ben leo mngekwisha jua, tuna ndege nyingi mno za kutuliza maandamano lakini hazijawahi kutumika.
 
.Busara ya mpumbavu hukataa ushauri wa maana anaopewa na wenye hekima hata apatapo madhara ndipo hushituka kumbe alikua kakosea,KUANDAMANA NIHAKI YA KIKATIBA UJUMBE KATIKA MABANGO NI UHURU NA HAKIYA MAONI ukishindwa kuongoza kaapembeni usisubiri kuuawatu ilikulinda utawala uliokataliwa MAFISADI kuwaongoza.

YAPO YANAYO VUMILIKA NA YASIO VUMILIKA NA UVUMILIVU UNA UKOMO WAKE eti amani huku tukiiishi maisha ya taabu ..!!.." (GOVERNMENT is the PEOPLE of the PEOPLE for the PEOPLE) atakae lipa dowans ahamie huko ufaransa( ICC)

.."True peace is not merely the absence of tension, it is the presence of justice'' Dr.Martin Luther King Jr.!!..

.....Usually
when people are sad they don't do anything they just CRY over their
condition but when they gel Angry they bring about a change" (MALCOLM X)
 
hivi kura za hao watoto wanaoonekana hapa huwa zinahesabiwa pia?...kwa kweli kwa kura hizi Slaa ni rais wa........

hujui km 2015 watakuwa above 18 hao? hesabu pia itumike hapo
 
maandamo siku za kazi halafu mnataka maisha bora,inamaana wote hawa hawana kazi za kufanya:hand:
 
mbona watu wa kawaida?
we ulidhani ni majini au? mbona hata jk ni wa kawaida sana ndio maaana anaogopa peoples power. na kama unadhani hao ni wachahce mwmbie mkwere aende akahutubie tuone atapata wangapi kama sio viongozi wa ccm na magari yao ndio watakao hudhria
 
Back
Top Bottom