Maandamano ya Karagwe ktk picha

Maandamano ya Karagwe ktk picha

mchonga

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2006
Posts
1,233
Reaction score
249
karagwe5.jpg

karagwe6.jpg

karagwe7.jpg

karagwe8.jpg

karagwe2.jpg
 
Mbona umebaki na picha akilini mwako na kuwasilisha kisichokwepo?
 
Ndo maana mkwere anapata presha.

JAMANI SIO MCHEZO WE UNAIITA RAIS,halafu mtu ambaye umemchakachulia kura watu bado wanamsapoti hivi, duu! Naona usalama wa taifa walimpelekea videos bila kuchakachua,..
 
picha zinaonekana labda mtandao wako upo slow,si mchezo hadi watoto wamemchoka mkwere
 
Mdau tunakushukuru sana kwa picha japokuwa quality yake haiko poa sana.

At least wananchi sasa wanaanza kuelewa maana ya maandamano kwa kuwa miaka ya nyuma maandamano ilikuwa ni Dar tu,leo hadi Karagwe wanaandamana? Du hapo CDM kwa kweli wana haki ya kujivunia walivyoweza kuwahamasisha watu na wale wanaoyapinga maandamano wakienda dukani tunawaomba wanunue sukari kwa sh 2,000 kwa kuwa bei imeshushwa kutokana na juhudi za CDM kuandamana
 
Inabidi aachie ngazi tuu..wananchi waliodanganywa tayari wamemshtukia kuwa hayupo kihalali kwenye hiyo ofisi kuu
 
kwani hao watu ni wengi? mbona wamepiga upande mmoja?:A S 112:

We unavyofikiri huyo JK wako akienda Karagwe anaweza akapata idadi hiyo?Awamu iliyopita alipigwa mawe kule Mbeya safari hii watamrushia mavi.Rais gani hapendwi na wananchi?
 
kwani hao watu ni wengi? mbona wamepiga upande mmoja?:A S 112:
unataka kufananisha na wapi? dar, Mwanza, Arusha, Mbeya....? sehemu kama hizo kuwapata hata watu 3000 siyo mchezo ndiyo maana CCM hupeleka wasanii wa ze comedi, bongo fleva, kuwabeba kutoka vijiji tofauti tofauti
 
Back
Top Bottom