Viongozi wa Chadema mlioko humu tafadhali tujuzeni kuhusu maandamano ya nyanda za juu kusini yanayoanza tarehe 4,Mei.Tunaomba kujua hayo kwani kuna watu wengi wanataka kutoka wilayani kwenda kwenye centre za maandamano.
Kitengo cha habari cha Chadema chini ya Erasto Tumbo mpo wapi??
Kitengo cha habari cha Chadema chini ya Erasto Tumbo mpo wapi??