Mhadithiwe tu msiane kwa macho, haishangazi chama chetu kuchanganyikiwa, Jamani wazee tulizeni vichwa fanyeni vitu genuine hii aibu sitaki kuiona kwenye macho yangu dah... tofauti hapa hakuna unafiki... CHADEMA watu wanakuja wenyewe, sisi tunaitana weeeee na kutafutiana posho za kwenda kwenye mikutano kazi kwelikweli... Wazee tafuteni kiongozi ndani yenu tuokoe chama, siasa za majungu uzushi kejeli zimepitwa na wakati Generation X hawqaelewi hilo sijui kama mnasoma alama za nyakati....