Ni kelele kwa wasiohusika.
Intolerance of the highest degree. And that is what CDM and its supportes are! You differ with them, they call you names!
Ni kelele kwa wasiohusika.
Uchaguzi ulifanyika j2 ibada iliheshimiwa hapo??kuna adhana kila siku saa 10alfajiri siwafichi huwa ni usumbufu sababu kama kila imani ingekuwa inafanya maombi alfajiri kwa style ya kipaza sauti "private nuisance"hata jana chadema waliandamana kuna watu wanakwenda fellowship so walisumbua pia?? Waislam nani aliyetuloga mbona mitizamo yetu haiendani na mabadiliko ya karne hii??kama wakristo wangekuwa na roho kama zetu idont knw wat culd happen,itakuwa ngumu kwa dini kuingia kwenye siasa naomba tuache kujidhalilisha .TUMEZIDI KULALAMIKA WENZETU WAO NI WATU WA KUTATUA MATATIZO YAO KWANJIA YOYOTE NA MUNGU WAO ANAWASAIDIA,
wanalazimisha watu waupende uislamu. si unasikia huko misri watu wameuwawa kwa sababu kuna mkristo alitaka kubadili dini kuwa muislamu wazee wa kanisa wakapinga, kilichofuata ni vita, kuchoma makanisa na mauwaji.
dini zingine kinyaa kwelikweli![/QUOTE]
Jinyonge sasa , sijui na wewe anza kuchoma misikiti kama umekasirika sana...watu wengine kinyaa kwelikweli..
A testimony of an uncivilized goon. Hakuna kinyaa kama gabbage unayoitoa humu. Kuwa focused na mada iliyotolewa siyo kukurupuka tu kuonyesha upuuzi wako. Wewe ukipewa nafasi basi nchi hii utafyeka wote wasio-share imani na wewe wakati hata huku dini zilikoanzia wenzio wanaishi kwa kuheshimiana. Hao waislam wa Misri wana ujinga sawa na wa kwako!
Yaani ni vigumu kuutofautisha u-chadema na u-kristo! Watu humu wanatetea CDM kama wanatetea kanisa! Na pia viongozi wa CDM sidhani kama wanajua kama Tanzania kuna waislamu! Nauliza Prof. Safari alikuwepo mbeya? Hawa kwenye sherehe zao si watakuwa wanatwanga kiti-fire na mbege bila kujali kitu? Wakichukua nchi move ya kwanza ni kumtangaza kitimoto kuwa ni chakula cha taifa!
we mmasai nini? jifunze kwanza kuongea kabla ya kujifunza kuandika! au we bubu? angalia hizo red!
Mawazo mgando sana, maandamano yasiyo na tija ni upotevu wa fikra na ufujaji wa fedha za wananchi. Hayo maandamano ni mtajii wa watu kujivunia pesa.
Ingekuwa kama yale ya Misri ama Tunisia ama hata siria, kweli ningeshawishika kwa namna fulani kuwa yana tija maana hata kama wengeshindwa kuwaoondoa viongozi lakini baada ya maandamano lazima serikali ingejipanga ama kujirekebisha. Lakini haya ya CHADEMA ni uhuni tu wenye nia ya kurekebisha maesabu ya ruzuku na komba komba nyingine.
Kwahiyo serikali ya Maalim JK (mwislamu tena mdini) ina fanya sawa kuweka uchaguzi J2 au kwa kuwa wanaoathirika ni wakristo...pumbavu wewe tena Mby hakuna hao waislamu kama unavyodhani acha udini wa kijinga.... unaleta propaganda za kitoto sana.......Waambie zimeshindwa watafute nyingine....na bado CDM itaendelea kuwapeleka puta mpaka mjuvue na ngozi sio gamab tuuuu
Kweli kuna ujinga mwingi sana katika mjadala huu! Aliyeanzisha thread hii alitoa a very useful angalizo kwa matumizi ya baadae lakini religious chauvinists an wale wanaodhani kuwa CDM damu ni kuacha kuwa rational wameigeuza kuwa ya kidini na kashfa kwa imani tofauti. Huyu alichosema ni kwamba as a result of the demonstrations na shouting ya shamra shamra za maandamano hayo, kulikuwa na disruption katika uendeshaji wa sala hiyo ya ijumaa na akapendekeza kwamba katika kuheshimu uhuru wa kuabudu, na ili hii stigma wanayotembea nayo CDM, ya kuonekana ni chama cha kidini (sina hakika kama ni kweli) iondoke. Majibu ya kifedhuli kama hayo hapo juu hayasaidii chama na kinyume chake inaonyesha kwamba kumbe madai hayo sasa yana chembe ya ukweli. Umezungumzia uchaguzi kufanyika jumapili, so what? Jumapili imekuwa designated hapa kwetu kama siku ya mapumziko na hata siku moja uchaguzi haujawahi kuvuruga uhuru wa kuabudu na hakujawahi kutokea malalamiko ya kuvurugwa kwa ibada.
Kuhusu adhana za alfajiri kusumbua usingizi, this is far fetched na ni ajabu inaingizwa hapa wakati huu baada ya karne nyingi za utamaduni huu. Ndiyo maana hata siku moja kengele za makanisani hazijawahi kuwa kero wala msingi wa malalamiko kwa watu ambao si wa dini hiyo. Hapa kilicho wazi ni kushindwa kuelewa mada na kukosa uvumilivu wa kiimani na hili limefanya mijadala mingi humu kuchukua a very nasty and ugly turn. Tujirekebishe ili tuendane na imani na jina la hii forum Home to Great Thinkers!
Jamani mbona sisi tunaishi karibu na msikiti kila alfajiri hatulali kwa kupigiwa makelele na hatusemi kitu? CDM wana haki ya kuandamana na ndio maana walipewa ruksa naona wewe ulitaka kuhudhuria maandamano ukakosa tu. Tusianze kuingiza UDINI kwenye siasa jamani.
Uchaguzi ulifanyika j2 ibada iliheshimiwa hapo??kuna adhana kila siku saa 10alfajiri siwafichi huwa ni usumbufu sababu kama kila imani ingekuwa inafanya maombi alfajiri kwa style ya kipaza sauti "private nuisance"hata jana chadema waliandamana kuna watu wanakwenda fellowship so walisumbua pia?? Waislam nani aliyetuloga mbona mitizamo yetu haiendani na mabadiliko ya karne hii??kama wakristo wangekuwa na roho kama zetu idont knw wat culd happen,itakuwa ngumu kwa dini kuingia kwenye siasa naomba tuache kujidhalilisha .TUMEZIDI KULALAMIKA WENZETU WAO NI WATU WA KUTATUA MATATIZO YAO KWANJIA YOYOTE NA MUNGU WAO ANAWASAIDIA,
Yaani ni vigumu kuutofautisha u-chadema na u-kristo! Watu humu wanatetea CDM kama wanatetea kanisa! Na pia viongozi wa CDM sidhani kama wanajua kama Tanzania kuna waislamu! Nauliza Prof. Safari alikuwepo mbeya? Hawa kwenye sherehe zao si watakuwa wanatwanga kiti-fire na mbege bila kujali kitu? Wakichukua nchi move ya kwanza ni kumtangaza kitimoto kuwa ni chakula cha taifa!
Kwahiyo serikali ya Maalim JK (mwislamu tena mdini) ina fanya sawa kuweka uchaguzi J2 au kwa kuwa wanaoathirika ni wakristo...pumbavu wewe tena Mby hakuna hao waislamu kama unavyodhani acha udini wa kijinga.... unaleta propaganda za kitoto sana.......Waambie zimeshindwa watafute nyingine....na bado CDM itaendelea kuwapeleka puta mpaka mjuvue na ngozi sio gamab tuuuu
mkuu mimi naomba nikupe asante kwa maandishi yangu mwenyewe na wala si kubofya kitufe ...... !
The Following User Says Thank You to seniorita For This Useful Post:
LAT (Today)