Maandamano ya CCM Singida Thibitisho la Kifo Chake

Maandamano ya CCM Singida Thibitisho la Kifo Chake

Leo nimeona CCM wakifanya Maandamano Singida wakiwa Katika Ziara ya keelezea Kujivua Gamba

Kwa Nilichokiona Katika yale Maandamano hakika naweza Sema kwamba Kweli CCM ni Chama Kikongwe na Wanachama wake wengi ni Vikongwe na Kutokana na Hilo KINAELEKEA Kaburini.

Buriani CCM
kaburi lao lipo baharini, we gonna use USA tactics
 
pole sana kwa taarifa yako ccm itatawala miaka mingine mia moja ijayo sababu kubwa ni kwamba upinzani umekosa viongozi makini.mfano mbowe anahutubia wananchi huku anajisifia ya kuwa ni lazima watasusia baadhi ya maamuzi ya bunge kwa kutoka nje kama si utoto ni nino

kheee sasa huyu anayekesha na misemina elekezi kwa mijitu mizima na mbowe nani hana akili? we umeona wapi duniani serikali inafanyia mawaziri wake semina elekezi kama maafisa ughani? ndo shida ya kuchagua rais asiyejua vipaumbele mikwara mingi kazi hakuna...ushawahi kusikia mkapa nanafanya semina elekezi????yaani JK wenu hana strategy by the way hajui anafanya nini kwanza anashangaa tu muda unakwenda anakopa mpka mishahara ya kulipa wafanyakazi ..hahaaaaaa
 
tatizo ni kuwa ccm hawana tena hata ufahamu wa kusoma alama za nyakati. kila mwenye ufahamu na hata ndani ya ccm wanajua kabisa ccm imepoteza ladha. hao wanaobisha wao waendelee na shingo ngumu hivohivo mpaka watakapozama nayo baharini
 
tatizo ni kuwa ccm hawana tena hata ufahamu wa kusoma alama za nyakati. kila mwenye ufahamu na hata ndani ya ccm wanajua kabisa ccm imepoteza ladha. hao wanaobisha wao waendelee na shingo ngumu hivohivo mpaka watakapozama nayo baharini
hizo ni ndoto za alinacha endeleeni kupiga kelele tu ikifika 2015 tuwalize tena kama kawaida yenu mlalame kuwa matokea yamechachuliwa.wimbo wenu wa ufisadi umepitwa na wakati tafuteni mziki mwingine
 
hizo ni ndoto za alinacha endeleeni kupiga kelele tu ikifika 2015 tuwalize tena kama kawaida yenu mlalame kuwa matokea yamechachuliwa.wimbo wenu wa ufisadi umepitwa na wakati tafuteni mziki mwingine

ukishashiba pilau ni kutoa mashuzi tuu.....! kweli ccm ina pesa za kuchezea kuwahudumia viazi kama hawa

mpaka mapovu yanakutoka .... teeh teeh teeh
 
Mlengo wa kati shabiki! Hutofautiani na unaowapinga nyote mnaupeo mdogo wa kufikiri.
 
Leo nimeona CCM wakifanya Maandamano Singida wakiwa Katika Ziara ya keelezea Kujivua Gamba

Kwa Nilichokiona Katika yale Maandamano hakika naweza Sema kwamba Kweli CCM ni Chama Kikongwe na Wanachama wake wengi ni Vikongwe na Kutokana na Hilo KINAELEKEA Kaburini.

Buriani CCM

Uzee ni mgodi wa hekima na busara HIVYO CCM itazidi kuwasikiliza na kutumia mawazo ya wazee wetu!
 
Mimi nimeiona taarifa ile kiukweli wazee ndio waliandamana halafu ni wachache mno na wamechoka kuanzia mavazi mpaka afya na akili zao pia.Mungu atawalaani viongozi wa ccm pmj na chama chao kwa kutumia njaa na ujinga wa Watanzania kutawala,kwa alieiona taarifa ile lazima ajiulize mara mbilimbili ni kweli waliandamana kutoka moyoni ama ni njaa(kupewa rushwa)iliwatuma kufanya kitu wasichokitaka au kukijua?
Mungu ibariki Tanzania,wabariki na watu wake
 
Sekretariat ina enda Singida kesho naona maandamano hayo ni ya nini? Na kwa taarifa zilizopo wao watakua na mkutano wa hadhara na sio maandamano! Pole na Uongo wa Mchana kweupe ndani ya JF!

nimesoma kwenye uhuru Nape amehutubia singida, una maana uhuru limedanganya? Fanyeni mikutano muone kama mtapata watu. Gamba lenyewe mmeshaogopa kulivua sijui watu mtawaambia nini
 
Kweli CCM imepoteza Mvuto hata Miongoni mwa Wanachama. Wenzenu CDM wanafanya Maandamano Mbeya na hata Bibi yangu kule Mwanza anafahamu leo hii Wana CCM wa JF hamna habari kwamba Chama chenu Kimefanya Maandamano?

Kweli CCM ni chama Kinachokufa
Unazungumza ukweli mkuu. Leo nilikuwa nazungumza na mwenyekiti wa mkoa mmoja wa ccm akaniambia anahofia ccm imeshakufa kabisa. Alisema ukitaka kujua soma magazeti ya leo utaona maandamano makubwa ya cdm lakini ni gazeti moja tu tena kwa maneno machache sana limeandika kuhusu maandamano ya ccm singida. Kama chama kinakosa hata coverage si kufa huko ni nini?
 
Back
Top Bottom