Maandamano ya CCM nchi Nzima yaja

Maandamano ya CCM nchi Nzima yaja

Bado Niponipo

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2008
Posts
680
Reaction score
168
Kwa kuwa CDM wanatumia haki yao ya kikatiba kuzunguka nchi nzima kutangaza sera zao na msingi wao juu ya hali mbaya ya umeme, ugumu wa maisha na kadhalika haina budi kwa CCCM na wao kuzunguka nchi nzima kutumia majukwaa na maandamano kujibu hoja na tuhuma za CDM na kuwaeleza wananchi wanampango gani katika kutatua kero zao, na kwa kuanzia waende kanda ya ziwa kufuta nyayo za CDM na wafanye hivyo hivyo kwa mikoa mingine ambayo CDM watafanya maandamano na mikutano ya hadhara.

Lakini angalizo langu ni jee, nani katika CCCM mwenye mvuto na anayekubalika na watanzania ambaye atazunguka Tanzania nzima kujibu tuhuma na hoja za CDM, je CCCM watapata mahudhurio makubwa kama wanayopata CDM na je mwitikio wa maandamano na mikutano ya hadhara ukiwa mbaya hii itatufundisha nini?

Je mwenyekiti na katibu wa CCCM wako tayari kuchukua jukumu hili na kuzunguka Tanzania nzima kujibu hoja za CDM kwa wananchi.

Nawakilisha.
 
hii gahawa ya leo safi sana, leta kashata mbili
 
Mi nafikiri badala ya wao kuzunguka na kujibu hoja, wafanyie kazi hizo kero zote, moja baada ya nyingine, priority ikiwa ni hili limgao la umeme ambalo halina kichwa wala miguu aaaaaargh!
 
Mie hata sijui nani katibu wa CCM vile; jmani nifahamisheni maana hicho chama kwangu kimekufa eti...kumbe kina na katibu...je huyo ni nani na I feel sorry kama atakuwa wa kujibu hoja za CDM...they must find a true match (that is, if there is still one left out there for CCM)....
 
Mi nafikiri badala ya wao kuzunguka na kujibu hoja, wafanyie kazi hizo kero zote, moja baada ya nyingine, priority ikiwa ni hili limgao la umeme ambalo halina kichwa wala miguu aaaaaargh!

Nipo na wewe kuzunguka waje wazunguke kwenye kampeni uchaguzi umeisha wachape kazi watuondolee kero maana maisha ni magumu sana na hayawezi kuboreshwa na mikutano ya hadhara....... inahitaji kushirikiana na si kushutumu na kushutumiana!!!!
 
Mwenyekiti yuko paris na katibu mkuu sidhani kama anakubalika. Labda mwingine
 
utaandamana wewe JK na Makamba.
 
Kwa kuwa CDM wanatumia haki yao ya kikatiba kuzunguka nchi nzima kutangaza sera zao na msingi wao juu ya hali mbaya ya umeme, ugumu wa maisha na kadhalika haina budi kwa CCCM na wao kuzunguka nchi nzima kutumia majukwaa na maandamano kujibu hoja na tuhuma za CDM na kuwaeleza wananchi wanampango gani katika kutatua kero zao, na kwa kuanzia waende kanda ya ziwa kufuta nyayo za CDM na wafanye hivyo hivyo kwa mikoa mingine ambayo CDM watafanya maandamano na mikutano ya hadhara.

Lakini angalizo langu ni jee, nani katika CCCM mwenye mvuto na anayekubalika na watanzania ambaye atazunguka Tanzania nzima kujibu tuhuma na hoja za CDM, je CCCM watapata mahudhurio makubwa kama wanayopata CDM na je mwitikio wa maandamano na mikutano ya hadhara ukiwa mbaya hii itatufundisha nini?

Je mwenyekiti na katibu wa CCCM wako tayari kuchukua jukumu hili na kuzunguka Tanzania nzima kujibu hoja za CDM kwa wananchi.

Nawakilisha.

Hapo kwenye red unamaanisha nini? Au CCM (Chama Cha Mafisadi)?
 
Wajaribu waone kama hawataishia kutupiwa mayai viza na kuzomewa.CCM imeoza, inanuka ,haipendwiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
 
ni ngumu kidogo kung'amua kuwa ms SI MWANACHAMA WA CCM......!

ninapenda pia staili ya ms ya kuichallange ccm...!
 
Kwa kuwa CDM wanatumia haki yao ya kikatiba kuzunguka nchi nzima kutangaza sera zao na msingi wao juu ya hali mbaya ya umeme, ugumu wa maisha na kadhalika haina budi kwa CCCM na wao kuzunguka nchi nzima kutumia majukwaa na maandamano kujibu hoja na tuhuma za CDM na kuwaeleza wananchi wanampango gani katika kutatua kero zao, na kwa kuanzia waende kanda ya ziwa kufuta nyayo za CDM na wafanye hivyo hivyo kwa mikoa mingine ambayo CDM watafanya maandamano na mikutano ya hadhara.

Lakini angalizo langu ni jee, nani katika CCCM mwenye mvuto na anayekubalika na watanzania ambaye atazunguka Tanzania nzima kujibu tuhuma na hoja za CDM, je CCCM watapata mahudhurio makubwa kama wanayopata CDM na je mwitikio wa maandamano na mikutano ya hadhara ukiwa mbaya hii itatufundisha nini?

Je mwenyekiti na katibu wa CCCM wako tayari kuchukua jukumu hili na kuzunguka Tanzania nzima kujibu hoja za CDM kwa wananchi.

Nawakilisha.

CCM wako busy kutimiza yale waliyowaahidi wananchi, wako maofisini na pembe zingine zote za utekelezaji wa ahadi zao hawana muda wa kuandamana na kulumbana, kuwaita wananchi na kuwapotezea muda wao badala ya kutatua kero zao kwa vitendo. Hivi maandamano na maneno ni utekelezaji wa vitendo huo au maneno tu. Acheni uchochezi.
 
Si kila kitu unajibu kwa style ya ya maandamano Hiyo hela ya kuzunguka siitumike kununua mafuta ya kuwasha IPTL? CHADEMA kuzunguka nchini kufanya maandamano hiyo hela wanayoitumia wangekua na mipango thabiti ya kushinda kisiasa na kisayansi wangefaya mambo makubwa sana ambayo wananchi wangewakumbuka milele na hata CCM wangekata tamaa kabisa ya uwepo wake. Sasa kufanya maandamano na agenda ni lawama ccm hawafai wezi na dowans isilipwe, I don't thing is worthful to watanzania. Watanzania tunataka mawazo na mipango mbadala itakayoleta maji, huduma bora za afya elimu bora, garama nafuu za maisha, wananchi kujua wajibu wao na kuufanyia kazi nk.
 
Kwa kuwa CDM wanatumia haki yao ya kikatiba kuzunguka nchi nzima kutangaza sera zao na msingi wao juu ya hali mbaya ya umeme, ugumu wa maisha na kadhalika haina budi kwa CCCM na wao kuzunguka nchi nzima kutumia majukwaa na maandamano kujibu hoja na tuhuma za CDM na kuwaeleza wananchi wanampango gani katika kutatua kero zao, na kwa kuanzia waende kanda ya ziwa kufuta nyayo za CDM na wafanye hivyo hivyo kwa mikoa mingine ambayo CDM watafanya maandamano na mikutano ya hadhara.

Lakini angalizo langu ni jee, nani katika CCCM mwenye mvuto na anayekubalika na watanzania ambaye atazunguka Tanzania nzima kujibu tuhuma na hoja za CDM, je CCCM watapata mahudhurio makubwa kama wanayopata CDM na je mwitikio wa maandamano na mikutano ya hadhara ukiwa mbaya hii itatufundisha nini?

Je mwenyekiti na katibu wa CCCM wako tayari kuchukua jukumu hili na kuzunguka Tanzania nzima kujibu hoja za CDM kwa wananchi.

Nawakilisha.

utasikia yafuatayo:

1. msafara wa CCM wapata ajali

2. Zomea Zomea yamkumba JK

3. Wafuasi wa CCM wapambana na wa CDM

3. Damu yamwagika kwenye mkutano wa CCCM

4. Msafara wa CCCM wapigwa mawe
 
teh! CCCM teh! Ndio chama cha wap hcho? Ila pouwa nimeipenda hyo!
 
utasikia yafuatayo:

1. msafara wa CCM wapata ajali

2. Zomea Zomea yamkumba JK

3. Wafuasi wa CCM wapambana na wa CDM

3. Damu yamwagika kwenye mkutano wa CCCM

4. Msafara wa CCCM wapigwa mawe

Ushirikina umewakaa sana wale, viongozi wao wote wanavaa pete za majini ya sheikh yahaya nimeshangaa hata wasomi na vijana kama kina Ngereja William naye analo pete kuuuuuubwa.
 
Back
Top Bottom