Maandamano ya Amani Nchi Nzima

Nonda,

Anza na wadau huko huko Gongo La Mboto Mwisho wa Lami,SunguraTex(KIU), Mombasa, Mzambarauni, Mzizini na Majohe

Nategemea Viongozi pia wamesikia muda umekaribia, Rais Wangu amesema Januari analianzisha la katiba.

Ishu ya katiba ifunguliwe Rasmi na Maandamano haya ili watu wafahamu, kIsha Operation Katiba Ianze.

Hawa ni wezi na Mafisadi wanaokumbatiana, hakuna kuwaogopa Tena.

Namuogopa MUNGU pekee, hivyo namtiii- Mafisadi siwaogopi nikifa mimi najua Elfu watasimama badala yangu
:whoo:
Peoples......Power
 

umesema vyema. tatizo ni hapo kwenye red. pananikumbusha hadithi ya dada niliyemuona leo barabarani akifagia lami huku akiwa amevalia kofia ya CCM.

nchi yetu ina matatizo kweli. lakini hata sisi watanzania tuna matatizo
 

Mkuu,

Nimekufahamu vizuri tu.

Usisahau wazo ni maandamano nchi nzima, sio Dar tu.

Kwa hiyo, kutokana na wananchi wengi kutokuwa na muamko ndio maana nikashauri kutumia network ya vyama vya upinzani,katika kila mji,wilaya ,mkoa Tanzania kuna at least network ya chama kimoja cha upinzani ,hii itafanya kazi ya kuelimisha wananchi juu ya haya uliyoyaorodhesha kuweza kufafanuliwa kwa wananchi.

Wananchi wakishaelimika juu ya hili basi ugumu utakuwa umepungua, atakapotokea kuandamana atajuwa mtu anaandamana kwa sababu gani. Sio kuja kusema nimeeambiwa na kiongozi wangu au mtu fulani niandamane.

Ili maandamano yawe na impact tunayoitegemea basi ni lazima yapangwe, yapangike yasiwe ad hoc ! yakiwa adhoc ni rahisi kuwa branded « wahuni wachache ! ». na polisi hii tuijuavyo, watapata kazi wanayoipenda, kuwadhalilisha wananchi. Tusiwape nafasi hiyo au kisingizio.

Unless hapa hatuzungumzii tena « maandamano ya amani » bali ni unrest ! au fujo!

Wazo lako ni zuri mkuu,ila tusikurupuke tu kwa jazba.
 

Anza kutuma wewe kwa maneno hayo hayo uliyoandika tuone mwitikio utakuwaje!
 
Mimi nasema tuamue tusiende kazini siku moja kwa kila mmoja awe mkulima hadi mfugaji lakini hii hamasa tukiiweka kwenye ballot box si tosha kabisa

Watanzania mbona tuna ogopa nimetoa mwelekeo wa nini kifanyika jumanne ,ni kwamba kila mmoja mwana harakati mzalendo wa afrika mtanzania halisi uchukue jukumu andike ujumbe mfupi wa simu kumtaarifu mtu yeyeyote sms zimeanza kutembea kuwa jumanne kutakuwa na maandamano ya amani kudai haki na kupinga hujuma zinazofanywa na mafisadi kupitia serikali ya kikwete sasa unataka nini zaidi ya hili.acheni uoga wakti umefika kama alivyoamua adolf hitlier wa ujerumani ,benitho mussollin huko italia hawa walipambana kiume ndiyo maana leo mataifahayo yana nguvu kiuchumi na mambo mengine
 
Nonda, Ninaposema anza na Karataka na Banana, namaanisha

Aliye shinyanga atadeal na Mejengo mapya, Korandoto, Maganzo nk

Aliye Mwanza aanze na Mkolani, Kitangiri,Bwiru, Igoma nk

Aliye Musoma aanze na Makoko, Mukendo, nyakato nk

Aliye Mbeya aanzia Mafiati,Mwanjelwa,Meta, mbarizi nk,

Aliye Arusha aanza na Sanawari, Kijennge, Kisongo,ngarenaro nk

Aliye Morogoro aanze na Kihonda, mikese, msufini nk

Aliye Babati aanze na Magugu,Endasaki, Dareda nk

Aliye Tanga aanzie Nguvumali, Kisosora, chumbageni, mabawa nk

Namaanisha kila sehemu NOnda.
 

Binafsi nakubaliana na unachosema ni sahihi kwa kiasi kikubwa (i.e theoretically speaking).

Lakini tunahitaji zaidi a much stronger nucleus (kiini) ya huu mkakati. You need think tanks (si vyama vya siasa pls - too unpredictable, these).

Vyama na makundi ya kijamii, NGO, media, etc vitakuwa na guvu zaidi kuliko vyama vya siasa.

Just look at the resulting impact if a certain Sheik Simba or Bishop Pengo makes a statement. Compare and contrast that reaction if a similar (or even stronger) statement is made by the likes of Lyatongas, Mbowes, Mbatias, Zittos, etc.

Sina haja ya kukumbushia impact iliyoletwa na statement za akina Mgaya/Tucta wakati ule.
Nadhani hizi ndizo effective platforms za kutumia. Zinalipa!
 
Naunga mkono maandamano na kama ikiwezekana MAANDAMANO YAWE HATA UINGEREZA ILI UJUMBE UWAFIKIE TOKA KWA WATANZANIA ASILIA PIA. TUMECHOKA INABIDI TUPAZE SAUTI ILI DUNIA NZIMA IPATE HABARI
 
Naunga mkono tuandamane kupinga kwanini watanzania tunakuwa mabwege nasema nikotayari kuandamana hata kufa

Just a few weeks ago we had an election, and the voters have decided...):bump:
Please, Please, Please...you need to be patient till 2015 so that you can voice your anger in the ballot!
Good luck
 

Heshima mbele
mkuu! nilikuwa nakumbushia enzi za Tanzania bila ukimwi. anyway naungana na wewe kuhusu suala la kujiorodhesha, cha muhimu vitu kama hivi vinahitaji muda katika kuvipangilia sababu si vitu vya kukurupuka tu, Ndani ya Jf na kwenye serikali ya Kikwete kuna wasomi wengi tu ambao wanaweza kuandaa rasimu na kisha kufanyiwa kazi, ila sema kwamba Watanzania pamoja na kwamba inawezekana elimu tukawa nayo kichwani sio ile ya jando, tukipata mtu mwenye ujasiri wa kutosha kama yule mwandishi , anaitwa Kubenea, angalau hata mmoja basi tunaweza kuomba maandamano ya amani, pia naungana na mchangiaji mwingine hapo juu aliyegusia suala la kuhusisha taasisi za kijamii n.k . ni kweli kabisa hili suala linawezekana kabisa, suala ni mpangilio tu.
 
Kuandama nchi nzima kudai nini?

Assume maandamano yameruhusiwa yakafanyika what next?

Tuache uchafu kwanza tuufanyao wenyewe (popote ulipo) then utaaminiwa na wengine?

Frankly sioni anayeweza kunishawishi kuandamana wakati najua hata tukiandamana hana jipya atakalofanya?

Heri "afadhali" kuliko "shauri yako"...ushauri tuu
 
JK anakubali ushauri jengeni hoja kwa kutumia njia sahihi kuliko rabsha, rais wetu anasikiliza vizuri tu.
 
nakuunga mkono mkuu huu ukondoo wa watz utatufikisha shimoni, lets send the message to these scum
 
Tuwe wakweli jamani. Migomo yenyewe ya wafanyakazi ambao atleast wamesoma inatushinda kuiandaa. Hivi kweli maandamano ya nchi nzima tutaweza??

Hivi nguvu ya Mgaya imeishia wapi??? Au ndiyo washa m-corrupt??
 
Ni kweli na ni appropriate action,lakini hiyo enormous brainwashing na mind control ambayo imeshafanyika watanzania wana ubavu tena wa ku-rise up against the rulers,I doubt it.

Hata kama ikitokea, it will be limited without much effect. Frankly the ellite have done it we are their zombies. Can a zombie raise up againt the master? Extremely rare, and if it does, the rebellion is crushed with brutal force. Inauma sana, lakini ukweli unabaki kwamba it's too late.

Kumbukeni kwamba huu ni mtandau wa kimataifa,and what is happening in Europe has a strong correlation with what is happening in Tanzania, it's not an isolated incident.
 
Tukiyaita "maandamano" tutalazimika kuomba kibali kwa S. Mwema. Tuyaite " Matembezi ya Amani Nchi Nzima". Mwishoni mwa matembezi hayo tunapeana mikakati ya kuiboresha nchi kiutawala. Faida ya kuyaita "Matembezi" ni kuwa wale ambao walikuwepo tangu enzi za TANU itakuwa rahisi kuelewa somo kwani watakumbuka "Matembezi ya Mshikamano"
 

Hilo nalo neno, matembezi ya amani yakishafanyika next? Nimron ataendelea kutesa, lowassa ataendelea kupanga kuchukua ikulu, RA ataendlea kupewa tender...sijui..manufaa yake..

Hao watakaoandaa (leaders) watapewa vyeo (platform za kufahamika), yale yale ya mwakyembe na sitta wamepiga kelele we ili wawe mawaziri..watanzania mind set is more of a problem than matembezi...
 

Mkuu Nonda
umeelezea mengi muhimu..
Labda nikuulize swali:
unavyosema vyama vya upinzani vibebe hili jukumu unamaanisha nini hasa?
I mean, unazungumzia vyama vipi hasa?
 

gsana ujamtaja,hatokosa kuandamana na bango kubwa,"WACHUUZI WAGENI WARUDI MAKWAO!"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…