Maandamano nchi nzima yatangazwa baada ya bunge kukubali muswada wa sheria wa marekebisho ya katiba

Nilipenda kuwauliza Chadema.

Pale uwanjani NMC Arusha mlipamga mkae na kukesha hapo mpaka Lema atolewe gerezani kule uwanja ndege wa Kisongo.

Vipi mlifanikisha lengo lenu?

Je mnajua kuna akina Akili Mpwapwa wangapi Polisi, Kuna akina Kamanda Zuberi Mwombeki wangapi Polisi huko Tz.

Sisi yetu macho.
 
Watanzania wenzangu mimi inanisikitisha sa kuona serikali iliyoko madarakani haisikilizi na kufuata matakwa ya wananchi, Aliyoyaseme muheshimiwa Tundu Lisu Bungeni yana hoja ya msingi bila kufuata uchadema wala uccm.
Wana JF na Watanzania wenzangu nahamasisha mgomo wa nchi nzima kupinga suala hili la katiba inyojadiliwa kinyemela, tena tukiandamana tuwaache hao askari waje na bunduki zao wakisimama mbele yetu sisi tulale chini ili wasije wakasema tulikuwa tunawatupia mawe watupige risasi tukuwa tumelala au watukanyage na magari. Katiba gani inaruhusu askari kwenda kuzuia maandamano na risasi za moto? Katiba gani inayojadiliwa bila maoni na mchango madhubuti kutoka kwa raia wake? wakimaliza hapo utasikia wameunda tume alafu wataturudishia madudu yao yaleyale. Mimi nimeamka nawaamsheni ninyi please tuache woga tuitafute haki yetu ya msingi ili hata tukipata matatizo tujue tuliyataka wenyewe siyo haya ambayo hatujui mwisho wake wala mwanzo wake. JOIN ME TO FIGHT AND DIE FOR TANZANIA THIS SHOULD BE OUR SLOGAN
 
Jukwaa la Katiba latangaza uamuzi mgumu

Jijini Dar es Salaam, Jukwaa la Katiba limetangaza maandamano makubwa yasiyokoma nchi nzima, kama hatua ya kupinga hatua hiyo ya serikali baada ya jitihada zao za kuishauri serikali kwa njia za mazungumzo kushindikana.

Akizungumza mara tu baada ya uamuzi wa serikali kuruhusu muswada huo kusomwa kwa mara ya pili huko Dodoma, mwenyekiti wa jukwaa hilo, Deus Kibamba, alisema kwa kuwa wabunge wa CCM wameamua kuwadharau Watanzania na kupuuzia mawazo yao, sasa taifa litashuhudia maandamano ambayo hayajapata kuwapo nchini.

"Sasa tutawaonyesha watawala wetu ya kuwa sisi Watanzania ndio wenye nchi. Tutaagiza maandamano kutoka kila kona ya nchi kuelekea Dar es Salaam, na tutakusanyika katika uwanja mkubwa ambapo tutakaa kwa siku zote hadi serikali itakapoamua kuondoa muswada huo bungeni," alisema Kibamba.

Mwenyekiti huyo aliongeza kuwa ni masikitiko makubwa na mshangao kwa wapenda amani kuona jinsi serikali na wabunge wa CCM wanavyoweza kuwadharau wananchi wake katika mambo mazito ya taifa.

Mapema juzi, jukwaa hilo liliitahadharisha serikali kuwa isiposikia kilio cha Watanzania, wataamua kuandamana nchi nzima bila kukoma na wakalitahadharisha jeshi la polisi na majeshi mengine, kukaa pembeni kwa sababu Watanzania wanalilia haki yao ambayo haiwezi kuzuiwa kwa wingi wa askari, silaha na mabomu

Source: Gazeti la Mwananchi

Tisha toto hii jamani.

Je watanganyika watathubutu kufanya hayo maandamano? Kwani kwa kauzoefu kadogo pale UDSM niligundua watanganyika wakoje katika kuhamasisha na wakoje katika kutenda. Je ni maandamano gani kama haya waliowahi kufanya yakafanikiwa?

yetu macho maana yake naona inataka andikwa upya historia ya Tanganyika.
 
Tisha toto hii jamani.

Je watanganyika watathubutu kufanya hayo maandamano? Kwani kwa kauzoefu kadogo pale UDSM niligundua watanganyika wakoje katika kuhamasisha na wakoje katika kutenda. Je ni maandamano gani kama haya waliowahi kufanya yakafanikiwa?

yetu macho maana yake naona inataka andikwa upya historia ya Tanganyika.

Mkurugenzi wa habari uenezi mawasiliano ya umma na Haki za binadamu wa chama hicho, Salim Bimani alisema Tanzania kwa mara ya kwanza ilipata aibu kubwa ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu uliofanywa na vikosi vya ulinzi na usalama jambo ambalo linapaswa kuepushwa na lisitokee tena kwa kuwa kitendo hicho kimeitia doa Tanzania katika sura za kimataifa.
“Tunaadhimisha siku ya mauaji Zanzibar kimya kimya tofauti na siku za nyuma tulikuwa tukifanya mkutano wa hadhara na kuwakusanya waathirika wote lakini sasa tunasema tutasoma khitma kila wilaya na mkoa na kuwaombea wenzetu wlaiotangulia mbele ya haki katika tukio lile” alisisitiza Bimani.
Alisema hayo yaliotokea ambayo ni sawa na mauaji yake yaliofnayika Arusha mwanzoni mwa mwezi huu ni kutokana na katiba mbaya zilizopo nchini kwani bado demokrasia inahitaji kupewa nafasi yake hasa kwa kuwa Tanzania iliridhia mfumo wa vyama vingi.
Akitoa kasoro za kikatiba Bimani alisema kufnaya maandamano ni haki ya msingi ya kikatiba lakini jambo la kushangaza jeshi la polisi huwa linatafuta sababu nyingi kuwadhibiti wananchi wasiandamane licha ya kuwa hiyo ni moja ya haki yao ya msingi.
Akikazia kauli yake Bimani alisema wakati umefika wa kuandikwa katiba mpya na sio viraka kwa serikali zote mbili ya Muungano na ile ya Zanzibar kwani kufanya hivyo itakuwa ni sehemu ya kuwaunga mkono wanaharakati wote waliopoteza roho zao katika maandamano hayo.
“Hapa jambo la msingi kabisa na zuri kabisa ni kuandikwa kwa katiba mpya itakayowahsirikisha wananchi wote wa nchi hizi ….katiba itakayokidhi matakwa ya wananchi …katiba ambayo itakuwa inaendena na wakati husika maana katiba tulionayo ni ile ya mfumo wa chama kimoja tukumbuke kwamba sasa tuna mfumo wa vyama vingi lakini pia tunahitaji katiba ambayo itakuwa inakwenda sambamba na uhuru a kutoa fursa ya demokrasia ya kweli kwa umma” alisema Bimani.
Alisema kudai katiba mpya ni haki ya umma wa Tanzania ambao wanapaswa kutoa maoni katika kuiletea maendeleo nchi yao lakini pia ni kuiepusha nchi na kasoro kama hizo za majanga na malalamiko ya wanaanchi dhidi ya serikali yao.
 
Lazima pia jukwaa la katiba litambue kuwa hata wale wanaounga mkono swala hili nao ni watanzania,so kusema ati watanzania wataandamana si sawa,ni kwamba baadhi ya watanzania wataandamana.
 
Mimi sioni umuhimu wa kuanza kupigana virungu CHADEMA si kina imani ya kuchukua nchi 2015 subirini kipindi hicho kikifika mtamgeuza raisi awe na mamlaka kama ya mkuu wa mkoa haina shida. Kwasasa acheni JK ajinafasi baba riz tunakukubali, tunakuamini tunasonga mbele pamoja

Hivi kumbe JK yuko magogoni kwa ajili ya kujinafasi?sasa mwambie akae chonjo wenye nchi tumeishachoka.
 
Tatizo wa Tz porojo nyingi utendaji ni F.
Luti haitakiwi kuwa moja tu TAHADHARI!! ili kuwakoroga hao polisi inabidi tuwe na root kama nne katika kila mji! na wakati wengine tukiandamana kwa root tofauti tofauti lazima tuwe na vikosi maalumu ambavyo kazi yake itakuwa kufunga njia kuu za magari na kuwasha moto wa matairi ovyo ovyo ili kuwavuruga kabisa polisi na wakianza kutupiga risasi za moto tunatawanyika kazi inabaki kushambulia gari za serikali ,majengo ya serikali mahoteli ya kitalii mabengi na chochote kile ambacho kinahusiano na serikali.
 
Luti haitakiwi kuwa moja tu TAHADHARI!! ili kuwakoroga hao polisi inabidi tuwe na root kama nne katika kila mji! na wakati wengine tukiandamana kwa root tofauti tofauti lazima tuwe na vikosi maalumu ambavyo kazi yake itakuwa kufunga njia kuu za magari na kuwasha moto wa matairi ovyo ovyo ili kuwavuruga kabisa polisi na wakianza kutupiga risasi za moto tunatawanyika kazi inabaki kushambulia gari za serikali ,majengo ya serikali mahoteli ya kitalii mabengi na chochote kile ambacho kinahusiano na serikali.
 
Luti za maandamano haitakiwi kuwa moja tu TAHADHARI!! ili kuwakoroga hao polisi inabidi tuwe na root kama nne katika kila mji! na wakati wengine tukiandamana kwa root tofauti tofauti lazima tuwe na vikosi maalumu ambavyo kazi yake itakuwa kufunga njia kuu za magari na kuwasha moto wa matairi ovyo ovyo ili kuwavuruga kabisa polisi na wakianza kutupiga risasi za moto tunatawanyika kazi inabaki kushambulia gari za serikali ,majengo ya serikali mahoteli ya kitalii mabengi na chochote kile ambacho kinahusiano na serikali.
 
Luti za maandamano haitakiwi kuwa moja tu TAHADHARI!! ili kuwakoroga hao polisi inabidi tuwe na root kama nne katika kila mji! na wakati wengine tukiandamana kwa root tofauti tofauti lazima tuwe na vikosi maalumu ambavyo kazi yake itakuwa kufunga njia kuu za magari na kuwasha moto wa matairi ovyo ovyo ili kuwavuruga kabisa polisi na wakianza kutupiga risasi za moto tunatawanyika kazi inabaki kushambulia gari za serikali ,majengo ya serikali mahoteli ya kitalii mabengi na chochote kile ambacho kinahusiano na serikali.
 
Luti za maandamano haitakiwi kuwa moja tu TAHADHARI!! ili kuwakoroga hao polisi inabidi tuwe na root kama nne katika kila mji! na wakati wengine tukiandamana kwa root tofauti tofauti lazima tuwe na vikosi maalumu ambavyo kazi yake itakuwa kufunga njia kuu za magari na kuwasha moto wa matairi ovyo ovyo ili kuwavuruga kabisa polisi na wakianza kutupiga risasi za moto tunatawanyika kazi inabaki kushambulia gari za serikali ,majengo ya serikali mahoteli ya kitalii mabengi na chochote kile ambacho kinahusiano na serikali.
Katika Maandamano yajao tunatakiwa tujue kuwa watu zaidi ya elfu kumi wanaweza kufa kutoa nafasi ya watu million 42,746,620 ambapo tukiangalia vizuri kama inavyoonekana hapo chini.

MGAWANYO WA WATU KWA UMRI NA IDADI

0-14 years: 42% (male 9,003,152/female 8,949,061)
15-64 years: 55.1% (male 11,633,721/female 11,913,951)



65 years and over:
2.9% (male 538,290/female 708,445)

NGUVU KAZI INAYO FAA KWA MAMBO YA KIJESHI

males age 16-49: 5,860,339


females age 16-49: 5,882,279 (2010 est.)

Baada ya kuainisha hayo tutaona hakika hata wakiua hiyo idadi ya wa watu nikiwemo mimi, kuna uhakika mkubwa wa mabadiliko tunayotaka kufikia mahali fulani.

Katika Maandamano haya yanatakiwa kufanywa katika maeneo kumi tofauti ikiwa ni strategy YA KIVITA ZINGATIA YAFUATAYO

Military Operations (FM-3-0, sections 4-32 to 4-39) are[SUP][14][/SUP]:
  1. Objective (Direct every military operation towards a clearly defined, decisive, and attainable objective)
  2. Offensive (Seize, retain, and exploit the initiative)
  3. Mass (Concentrate combat power at the decisive place and time)
  4. Economy of Force (Allocate minimum essential combat power to secondary efforts)
  5. Maneuver (Place the enemy in a disadvantageous position through the flexible application of combat power)
  6. Unity of Command (For every objective, ensure unity of effort under one responsible commander)
  7. Security (Never permit the enemy to acquire an unexpected advantage)
  8. Surprise (Strike the enemy at a time, at a place, or in a manner for which he is unprepared)
  9. Simplicity (Prepare clear, uncomplicated plans and clear, concise orders to ensure thorough understanding)
1 AMINI UNACHOKIFANYA NI HAKI KWA MOYO NA USO
2 HAMASISHA WANAOKUZUNGUKA ANDAA MABANGO NA VIPEPERUSHI NA TSHIRT UKIWEZA


3. HAKIKISHA UNAKAA SEHEMU UJUMBE WAKO UNAPO ONEKANA.
.
4. HAKIKISHA UNAACHA BARUA YA MIRATHI NYUMBANI

Muhimu:

HAkikisha kunakuwa trafick jam kwa maeneo ya mijini.

Sababisha kugawa kundi la FFU

Hakikisha Mnawazunguka ili kuwanyima uwezo kuwablind focus.

Hakikisha unabeba mask au unavaa miwani swimming glasses are the best. ukishindwa beba maji.

Kama hujali kuchafuka jipake oil chafu maji yakuwasha hayakusumbui na pia huwezi kukamatwa kirahisi unateleza.

ni hayo kwa leo:

Mchage 25
 
Back
Top Bottom