Maandamano makubwa nchi nzima 28 April, 2014

Maandamano makubwa nchi nzima 28 April, 2014

Na watanzania tulivyo utakuta hao wako kwenye maandamano;
Ukikamatwa kinakula kwako wewe na familia yako, wenzio wanakula raha.

Tena naomba waache ujinga wa kushawishi watu huu upuuzi wa kuandamana, posho wamekula wenyewe halafu leo hii wanaleta story za maandamano?
WAACHE WATU WAFANYE SHUGHULI ZA UZALISHAJI MALI MAANA WAO TAYARI WANA PESA ZAO, HADANGANYIKI MTU HAPA.
 
Wewe akili zako za kushikiwa wapelekee wajinga wenzio, kama wanahoja waende Bungeni wakajadili , huko wapambane na hoja sio kuandamana.
 
Uliza kule arusha ndo utajua kama mabomu yanatumikaje.

Sisi wakwere tuko tayari kuingia njiani tumechoka upuuzi wa maccm ndo tutajua kapteni ni mwananchi au komba. Shenzi na utakayepinga shenzi
 
Tatizo Rais hajielewi na kauli za kipuuzi ; alishawahi sema udini udini; mziki wake akaupata ; sasa anataka kuwaamusha wanajeshi waanze kufikiri kuchukua nchi?????? yawezekana walikuwa hawana wazo hilo, ila sasa washakuwa nalo maana wamejua kumbe wakikosa mishahara solution ni kupindua nchi .
 
Bongo hakishindikani kitu,tena kwenye vitisho ndipo wengi tupatakapo kurusha shilingi za bahati.

Mbona nchi imeshapinduliwa-pinduliwa na viongozi wabadhilifu na wala rushwa wakiongozwa na hicho ki-JK?

Kila jambo lina msingi wake,na haki haipatikani kwa amani bali kwa ncha ya upanga... aluta continua!!!
 
People cannot be bribed or forced into changing their history. And no country is powerful enough, even when they think that they are, to change the facts. After all, les faits sont têtus-P.Kagame-Tanganyika nakulilia!
 
Kaandamane wewe na mama yako ila mimi sitaki kabisa kusikia huo upuuzi wako yalionikuta k/koo kwenye maandamano ya waislam sitaki hata kuwaona kabisa hao ffu+polisi +mgambo wa jiji kwa ufupi nikiona wanaenda east nabadili uelekeo to west.
 
We kweli kiboko,yaani watu waandame kwa ujinga huo wakati wakubwa wao wamekula pesa na kusepa.

Mie nitaandamana endapo wote waliotoka bungeni watakuwa mbele ya maandamano.Sio watu tunavyunjwa miguu wao na wake zao na watoto zao wanakula bata halafu mie naangaisha familia yangu.

Wao kama wanaunchungu,warejeshe kwanza zile pesa laki 3 kwa siku walizochukua na kusepa mjengoni,ili wananchi waone kweli wanawajali.

Kichapo cha maandano kikikupa ulema wa maisha hakuna atakaekuja kukusaidia na familia yako.
Na ukichapwa kwenye kiuno baso ujue mke wako watu watakuchapia tu.Huku Zanzibar kuna watu walikuwa kichapo miaka mingi ile ya vurugu wakakuta Dushelele haisimami kwa kucheze marungu ya kiuno,leo hii waliokuwa na mke au wake wawili watu wanawasaidia majukum.

Ujinga huu sitaki hata kuusikia,hata hao wanaopiga kelele wapata mambo yatakuwa hayo hayo,maisha unayatengeneza mwenyewe na sio wanasisasa.We unaandamana watu wanaingiza siku
 
kuandamana ndo njia pekee ya kuexpress mawazo ya watu.Tanzania kamwe haitapiga hatua kwa kuwa na watu wa aina hii,watz wanaona kila kitu kipo sawa,ujinga tunao sana tubadilike.na viongozi wa siasa wanafanya wanavyotaka lakini sie kimya,kisa mtapigwa mabomu.

Hatujafika huko bana; kama wanatunga katiba yao waache waendelee nasisi tukija tutatunga ya kwetu kwani tatizo ni nini? kama hao wananchi wamechoka si watatupa mamlaka tuwapatie katiba wanayoitaka? yanini kuunguza ngozi yako bure ndugu yangu?
 
Inafadhaisha sana kusikia maneno makali yanayohatarisha amani ya Nchi hii yanatoka vinywani mwa viongozi waliopo madarakani. Hivi karibuni viongozi wa3 kwa nyakati tofauti wametoa kauli zinazohusu utumikaji wa Jeshi la wananchi kupindua serikali iwapo bunge litaidhinisha muundo wa muungano wa Serikali 3.

Baada ya wajumbe wa bunge maalum la katiba kumaliza wajibu wao, itabidi katiba watakayoipitisha ipigiwe Kura na wananchi wote kukubali ama kukataa mapendekezo yao. Sasa tayari Rais wa Jamhuri ya Muungano Jakaya Mrisho, Waziri wa Sera Wiliam Lukuvi, pamoja na Kapteni mstaafu wa JWTZ John Komba wamejitokeza hadharani kutoa matamko rasmi kuwa Bunge likiidhinisha muundo wa Serikali 3 JWTZ litapindua nchi. Kwa kauli hizi tunamjengea nini mwananchi wa kawaida tunaetarajia apiga kura kukubali mfumo wa S3?

Kama kweli humu nchini kuna taasisi za kupigania haki za binadamu, ni kwanini mpaka leo zimekaa kimya mpaka hapo kauli za Kikwete, Lukuvi na Komba zianze kutekelezwa kwa mapigano na vifo vya raia ndio taasisi hizo zijitokeze? Suala la kulinda amani ya nchi hii si la UKAWA peke yao.

Taasisi zote zilizopo nchini ziwe za dini, haki za binadamu, vyama vya wafanyakazi, vyama vya wanafunzi, taasisi za kisheria kwanini mmekaa kimya mpaka muone Komba na wenzake wamevaa Kombati za Kijeshi kuingia nyumba hadi nyumba kukata vichwa vya watu ambao wanaunga mkono Serikali 3?

Ni kwanini yasiitishwe maandamano nchi nzima ya taasisi zote zijiorodheshe kuingia barabarani kukemea ushenzi wa vitisho hivi vya wapuuzi wachache walioshindwa kujenga hoja za kidiplomasia na hata waone wana nguvu za Kijeshi kufanya wayatakayo!

Nipo tayari kuingia barabarani dakika yoyote kuunga mkono upingaji wa Kauli za kishenzi zinazohatarisha amani ya Nchi hii.

Huku kukemea kwa mtu mmoja mmoja akiwa amejifungia chumbani kwake hakitasaidia wala kuwashtua hao wapuuzi wanaojisikia kuropoka hovyo. Ni vyema dunia ipate taarifa kuwa watanzania wameamka sasa toka usingizi mzito.

Napendekeza taasisi zote kwa Dar es Salaam tukutane uwanja wa JANGWANI tarehe 28th April, 2014. Mikoani wananchi waende viwanja vikubwa vya wazi mfano viwanja vya Furahisha pale Mwanza. kwanini tarehe 28, kwakuwa bado wajumbe watakuwa Dodoma kujadili Katiba. Sababu ni kukemea kauli za kishenzi za viongozi. Suluhisho, wote waliotoa kauli hizo washughulikiwe ikiwezekana wavuliwe nyadhifa zao zote na kichaguliwe kisiwa wawekwe detention kwa uangalizi. Sheria itakayotumika kuwahukumu zitatungwa hapohapo JANGWANI maana sheria ni za wananchi waamualo ndilo.

Wewe ndiye mchochezi wa maandamano na kama unayataka tanguliza familia yako mbele wewe uwe nyuma yao ndo wrngine watafuata. Wewe hiyo kauli unayoitamka mi ya uvunjaji wa amani. Hatuhitaji maanadamano hayooooooooooooopp eish.
 
Kuna mtuliza fujo mmoja ameniambia safari hii lazima wawakameruni waandamanaji wamechoka na ujinga wao.
 
wazo nzuri, ila sasa watanzania ni waoga ndugu, yani vile wanavyotumia posho kwa maneno yaleyale tulitakiwa kuandamana warudi tu, maana hawana jipya.
 
Sisi wakwere tuko tayari kuingia njiani tumechoka upuuzi wa maccm ndo tutajua kapteni ni mwananchi au komba. Shenzi na utakayepinga shenzi

We ------ au mumeo ndio ------? Sema ukweli usiogope mtu hajitambuishi kwa kabila la mumewe
 
Inafadhaisha sana kusikia maneno makali yanayohatarisha amani ya Nchi hii yanatoka vinywani mwa viongozi waliopo madarakani. Hivi karibuni viongozi wa3 kwa nyakati tofauti wametoa kauli zinazohusu utumikaji wa Jeshi la wananchi kupindua serikali iwapo bunge litaidhinisha muundo wa muungano wa Serikali 3.

Baada ya wajumbe wa bunge maalum la katiba kumaliza wajibu wao, itabidi katiba watakayoipitisha ipigiwe Kura na wananchi wote kukubali ama kukataa mapendekezo yao. Sasa tayari Rais wa Jamhuri ya Muungano Jakaya Mrisho, Waziri wa Sera Wiliam Lukuvi, pamoja na Kapteni mstaafu wa JWTZ John Komba wamejitokeza hadharani kutoa matamko rasmi kuwa Bunge likiidhinisha muundo wa Serikali 3 JWTZ litapindua nchi. Kwa kauli hizi tunamjengea nini mwananchi wa kawaida tunaetarajia apiga kura kukubali mfumo wa S3?

Kama kweli humu nchini kuna taasisi za kupigania haki za binadamu, ni kwanini mpaka leo zimekaa kimya mpaka hapo kauli za Kikwete, Lukuvi na Komba zianze kutekelezwa kwa mapigano na vifo vya raia ndio taasisi hizo zijitokeze? Suala la kulinda amani ya nchi hii si la UKAWA peke yao.

Taasisi zote zilizopo nchini ziwe za dini, haki za binadamu, vyama vya wafanyakazi, vyama vya wanafunzi, taasisi za kisheria kwanini mmekaa kimya mpaka muone Komba na wenzake wamevaa Kombati za Kijeshi kuingia nyumba hadi nyumba kukata vichwa vya watu ambao wanaunga mkono Serikali 3?

Ni kwanini yasiitishwe maandamano nchi nzima ya taasisi zote zijiorodheshe kuingia barabarani kukemea ushenzi wa vitisho hivi vya wapuuzi wachache walioshindwa kujenga hoja za kidiplomasia na hata waone wana nguvu za Kijeshi kufanya wayatakayo!

Nipo tayari kuingia barabarani dakika yoyote kuunga mkono upingaji wa Kauli za kishenzi zinazohatarisha amani ya Nchi hii.

Huku kukemea kwa mtu mmoja mmoja akiwa amejifungia chumbani kwake hakitasaidia wala kuwashtua hao wapuuzi wanaojisikia kuropoka hovyo. Ni vyema dunia ipate taarifa kuwa watanzania wameamka sasa toka usingizi mzito.

Napendekeza taasisi zote kwa Dar es Salaam tukutane uwanja wa JANGWANI tarehe 28th April, 2014. Mikoani wananchi waende viwanja vikubwa vya wazi mfano viwanja vya Furahisha pale Mwanza. kwanini tarehe 28, kwakuwa bado wajumbe watakuwa Dodoma kujadili Katiba. Sababu ni kukemea kauli za kishenzi za viongozi. Suluhisho, wote waliotoa kauli hizo washughulikiwe ikiwezekana wavuliwe nyadhifa zao zote na kichaguliwe kisiwa wawekwe detention kwa uangalizi. Sheria itakayotumika kuwahukumu zitatungwa hapohapo JANGWANI maana sheria ni za wananchi waamualo ndilo.

Nenda na familia.yako mkaandamane,
 
Back
Top Bottom