Ivi Arusha ndio kuna vijana waliokosa maadili Tanzania nzima naomba tuheshimiane na uwaheshimu wananchi wa Arusha hata kama haukubaliani na baadhi yao KI-ITIKADI.labda Arusha kwa vijana wanywa viroba wapiga bangi ungeenda uko mawazo yako mgando yangepata wafuasi mkiongozwa na Lema. pu-mba-fuuu!!!! mfua nguo za mama mshumbusi nyang'au mkubwa wewe.
Yaani niache kazi zangu nikaandamane?
Mimi pia naunga mkono kwa nguvu zote.Ninaunga mkono hoja 100%
Je unaujua utamu wa maandamano? Kawaulize wamakonde wa mtwara na sera yao ya gesi haitoki. Kaandamane mwenyewe ukakutane na waliokunywa maji ya bendera uone mziki wake maana umesahau yale ya operesheni tokomeza ya kulazimishwa kuupa mimba mti na uite baby. Sitaki hata kusikia hayo maandamano yenu maana yatanifanya nishindwe kwenda job na wanangu washindwe kwenda shule kwa kweli namuomba mungu atakayeanzisha maandamano yamkute ya dr. Ulimboka.
Anzen ninyi sisi tuko nyuma yenu
Kama hauogopi mabomu wewe nenda tu kaandamane.
alafu tukiandamana tuje kula kwenu? Alafu watanzania mnawaona wajinga eeh kila kitu chenye maslahi yenu manataka twandamane? Mahitaji muhimu yakipanda bei wala hatuwaoni mkisema twandamane? Acheni siasa za matukio!
kuandamana ndo njia pekee ya kuexpress mawazo ya watu.Tanzania kamwe haitapiga hatua kwa kuwa na watu wa aina hii,watz wanaona kila kitu kipo sawa,ujinga tunao sana tubadilike.na viongozi wa siasa wanafanya wanavyotaka lakini sie kimya,kisa mtapigwa mabomu.