Mwingine si wewe! Au?Mwenyekiti hana maadili kabisa. Huyo ni mke wake yupi jois au kuna mwingine?
Yaani mtu akimpiga busu mke wake inakuuma sana - na hapo nyuma hiyo ni familia yake - Ulitaka uolewe wewe nini!
Umesomeka Mkuu!Tunaopinga katiba ya Mafisadi pia tupo na mabango yetu katikati yao.... Twende kazi
Siwezi kushiriki huo upuuzi nyalandu andamana mwenyewe na aunt ezekiel na faraja kota na wanao maana ndo mnafaidika na hap tembo pia kumbukeni kuandamana kuelekea kwa kinana......
Wanachadema wanaongoza kwa kuua tembo Arusha.
Katibu mkuu wa chama chake nyalandu ndo mhusika wa mauaji ya tembo,anazuga kuandamana
Wewe lowasa lazima akupige miaka kadhaa jela...we ngoja tuWapi nilipoandika imeniuma?
Mimi nimeweka kumbukumbu sahihi tu!
Hakuna jambazi zaidi ya Lema katika jiji la Arusha
Tunaopinga katiba ya Mafisadi pia tupo na mabango yetu katikati yao.... Twende kazi
Mpeleke mahakamani basi
Hakuna jambazi zaidi ya Lema katika jiji la Arusha
Jiji la Arusha litapata mtikisiko wa maandamano asubuhi hii yatakayoanzia Majengo, kuzunguka viunga mbalimbali vya jiji, hatimae kuishia uwanja wa Sheikh Amri Abeid Kaluta. Maandamano hayo yameandaliwa na umoja wa waongoza watalii, Tato, na yataongozwa na Waziri Nyalandu. Lengo lake ni kupinga mauaji ya Tembo nchini.
Itakumbukwa kwamba mauaji ya tembo yamekuwa ni janga hapa nchini tangu uongozi mpya wa Chama cha mapinduzi uingie madarakani na licha ya watuhumiwa mbalimbali kutajwa, akiwemo Katibu mkuu wa chama hicho, bado takwimu zinaonesha Tembo mmoja anauawa kila siku nchini na itakapofika mwaka 2025 Tembo watakuwa historia hapa nchini.
Nawasihi wakazi wa Arusha na maeneo ya jirani kujitokeza kwa wingi kushiriki maandamano haya na kulaani kwa nguvu zote mauaji ya Tembo wetu!
wapi nilipoandika imeniuma?
Mimi nimeweka kumbukumbu sahihi tu!
na ww nae hubadiliki kutwa kucha unamuwaza marehemu ukawa tu, shame on you!