LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,496
- 3,388
Lema na genge lake.la wahuni ndio wanaongoza kwa kuua tembo mkuu
Funika aibu yako wee mpu...nguani! Mwone alivyo! Toa ujinga wako hapa!
Lema na genge lake.la wahuni ndio wanaongoza kwa kuua tembo mkuu
endeleeni tu na nyimbo wakati comrade kinana anachanja mbuga nchi nzima bila kuchoka kuhamasisha maendeleo na utawala bora.Jiji la Arusha litapata mtikisiko wa maandamano asubuhi hii yatakayoanzia Majengo, kuzunguka viunga mbalimbali vya jiji, hatimae kuishia uwanja wa Sheikh Amri Abeid Kaluta. Maandamano hayo yameandaliwa na umoja wa waongoza watalii, Tato, na yataongozwa na Waziri Nyalandu. Lengo lake ni kupinga mauaji ya Tembo nchini.
Itakumbukwa kwamba mauaji ya tembo yamekuwa ni janga hapa nchini tangu uongozi mpya wa Chama cha mapinduzi uingie madarakani na licha ya watuhumiwa mbalimbali kutajwa, akiwemo Katibu mkuu wa chama hicho, bado takwimu zinaonesha Tembo mmoja anauawa kila siku nchini na itakapofika mwaka 2025 Tembo watakuwa historia hapa nchini.
Nawasihi wakazi wa Arusha na maeneo ya jirani kujitokeza kwa wingi kushiriki maandamano haya na kulaani kwa nguvu zote mauaji ya Tembo wetu!
Tunaopinga katiba ya Mafisadi pia tupo na mabango yetu katikati yao.... Twende kazi
Na ngoja tuungane Kamanda wetu Mungi
Mtaungana kuelekea JELA KISONGO
Jiji la Arusha litapata mtikisiko wa maandamano asubuhi hii yatakayoanzia Majengo, kuzunguka viunga mbalimbali vya jiji, hatimae kuishia uwanja wa Sheikh Amri Abeid Kaluta. Maandamano hayo yameandaliwa na umoja wa waongoza watalii, Tato, na yataongozwa na Waziri Nyalandu. Lengo lake ni kupinga mauaji ya Tembo nchini.
Itakumbukwa kwamba mauaji ya tembo yamekuwa ni janga hapa nchini tangu uongozi mpya wa Chama cha mapinduzi uingie madarakani na licha ya watuhumiwa mbalimbali kutajwa, akiwemo Katibu mkuu wa chama hicho, bado takwimu zinaonesha Tembo mmoja anauawa kila siku nchini na itakapofika mwaka 2025 Tembo watakuwa historia hapa nchini.
Nawasihi wakazi wa Arusha na maeneo ya jirani kujitokeza kwa wingi kushiriki maandamano haya na kulaani kwa nguvu zote mauaji ya Tembo wetu!
Wanachadema wanaongoza kwa kuua tembo Arusha.[/QUOTEkanga moko LAKI SI PESA rudi kwenye kundi lako ukaendeleye kumwagiwa bia kwenye 17133 huku huta pata mfuasi komba hayupo humu😡
Utajikuta uko jela kisongo
View attachment 193220
Hatakuwepo?
Mtaungana kuelekea JELA KISONGO
Nakusikitikia sana mkuu Lema ameshaoa!Lema na genge lake.la wahuni ndio wanaongoza kwa kuua tembo mkuu
Yaani mtu akimpiga busu mke wake inakuuma sana - na hapo nyuma hiyo ni familia yake - Ulitaka uolewe wewe nini!
Yaani mtu akimpiga busu mke wake inakuuma sana - na hapo nyuma hiyo ni familia yake - Ulitaka uolewe wewe nini!