Flucytosine
Member
- Feb 19, 2012
- 16
- 4
Hesabu simple,
Lema kahukumiwa tukielekea pasaka, do you people know what it means??
Refer the philosophy of Easter/ Pass over/ Christian Paschal Festival...
Uchaguzi ni within 90 days= miezi 3(I stand to be corrected), resurrection was in 3 days...
Wait and see how we shall overcome!!
Aluta Continua!!eace:
CHADEMA Arusha urban reloaded!!!
huyu meya feki wa arusha ana kampuni za construction zilizokamata tenda za halmashauri.usikute hata huu ujenzi wa barabara arusha ana mkono wake hapo.hakika ccm wanajizika wenyewe, hata mimi niliona tena huyo meya alikuwa akiongea kwa mbwembwe
Na ilaaniwe CCM, kwa kuchakua hadi mahakamani. Kuna siku wizi na dhuluma zetu zitawamaliza pamoja na vizazi vyenu
hakika kama aishivyo Mungu tunayemwamini na kumtumikia natoa unabii huyu jagi sio jaji mvi zake hazitashuka kaburini kwa amaniNadhani ifike mahala wananchi tutafute namna ya kuwatia adabu watu wanaotumia taaluma zao kuingiza hii nchi shimoni. Nina imani huyu Judge anaishi mitaani, anatembelea barabarani. Kuna haja ya kutafuta hata namna ya kumwajibisha na yeye. Hakika watu wametanguliza hela utafikiri wataishi millele. Kumbe ndo maana watu huwa wanajitoa mhanga. Huyu judge bado natafakari huenda nikaja na njia inayoweza kutumika kumtia adabu.
Hivi wazo la kwamba hii ni vita halijaeleweka bado? Kilichonishtua mimi zaidi siyo hukumu yenyewe hasa - kwani ingeweza kwendwa vyovyote vile kutegemeana na ushahidi. Kilichonishtua mimi ni kuwa siku moja kabla hukumu ilikuwa tayari inajulikana. Hili sikumbuki kuwahi kutokea kwenye kesi nyingine yoyote kwenye mahakama kuu. Je kuvuja huko kwa hukumu kumetoka wapi? Na kuna maana gani katika siasa na utawala wetu? Majibu ya haya yanatisha zaidi kwani ina maana vita inapiganwa sasa siyo kwenye sanduku la kura tu bali sasa tunaenda hadi mahakamani na ni wakati wa kuangalia mikakati yetu ikoje.
Katika kile ambacho kinaonekana CCM walijua ni kitu gani kitatokea mahakamani leo( Lema atavuliwa ubunge).Jana walianza campeni rasmi kwa vibaraka wao TBC1 kuonyesha projects za barabara ambazo zinajengwa katikati ya mji wa Arusha kwa msada wa Benki ya Dunia, tuliona meya wa Arusha akitamba kwamba project hizo ni msada kutoka Benki ya Dunia na Serikali imechangia kidogo.
Maswali ya kujiuliza:Meya wa Arusha alikuwa wapi kufanya publicity hiyo kabla ya jana? au ndio CCM wanataka kutumia projects hizo za world bank kama mtaji wao wa kisiasa kuomba uruma kwa wananchi wa Arusha?
Hivi wazo la kwamba hii ni vita halijaeleweka bado? Kilichonishtua mimi zaidi siyo hukumu yenyewe hasa - kwani ingeweza kwendwa vyovyote vile kutegemeana na ushahidi. Kilichonishtua mimi ni kuwa siku moja kabla hukumu ilikuwa tayari inajulikana. Hili sikumbuki kuwahi kutokea kwenye kesi nyingine yoyote kwenye mahakama kuu. Je kuvuja huko kwa hukumu kumetoka wapi? Na kuna maana gani katika siasa na utawala wetu? Majibu ya haya yanatisha zaidi kwani ina maana vita inapiganwa sasa siyo kwenye sanduku la kura tu bali sasa tunaenda hadi mahakamani na ni wakati wa kuangalia mikakati yetu ikoje.
Lema ameshinda kesi, ila hukumu iliyosmwa sio ya kesi aliyokua nayo ... Kahukumiwa kwa mambo ya Baada ya ubungeMkuu wangu kwa nini ulisema Lema atashinda hii kesi ya uchaguzi ukaweka na asilimia 99.99?