Andamaneni hukohuko kwenu na chama chenu cha ukoo.
Ila nawashauri muwaambie viongozi wa ngazi za juu za kitaifa wawe mbele ili virungu vianzie kwao sio muwe mabwege kujipeleka mbele.
Kumbuka:-Ukipatwa na matatizo katika vurugu hizo ni wewe na familia yako,na kama una dem mzuri basi unapigwa kirungu cha kiuno unasizz watu wanachukua mtoto.
Tafakari chukua hatua.
Sie Zanzibar shwarrii na Waislam hatumooo kwenye Maandamano hayo,Ungesema tu ni baadhi ya wale aliowataja Mhemshimiwa sita.
Halafu tujiulize kwanini Chadema tu?mbona vyama vingine ikiwe CUF wao kimyaaaa na wakati ni UKAWA.
Huku Zanzibar hakuna hata mtu mmoja anaepiga tena zogo,mambo yameisha watu wanahangaikia maisha yao ya kawaida.
Maana tunaona haina haja ya kupiga zogo mitaani wakati mwisho wa siku ni sie ndio tutaamua tunaitaka au la,Sasa nini kupotezeana muda wa kuandamana.
Nyie mnasema katiba ya wananchi imekataliwa na imeundwa katiba ya kisiasa,sasa jibu ni moja,njooni mitaani mjenge hoja ya watu kuikataa kwa vigezo muhim.
Maana watu wameiona.Tatizo ni kwamba watu wameishiwa hoja,wanaishi kwa matukio,na wananchi wa siasa za miaka ya 1995 - 2000 sio wa sasa.