kioju
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 804
- 272
Maandamano hayo wajinga ndo waliwao, viongozi wala familia zao wanabaki home,
alafu nyie bendera fata upepo mnavunjwa viuno.
Tangulia wewe, hata huyo mbowe hatakuwepo
Mkuu kuwa mstaarabu basi, au unafikiri kukosoa kilichoandkwa ukajua ni mfuasi, usinichefue tafadhari na chunga mdomo wako jaribu kufikir kabla ya kuongea naomba upite hv.