Maandamano makubwa Arusha tar 24/07/2011

Sio kwamba wananchi semeni CHADEMA a.k.a Magwanda ndio wanao andaa wananchi kuandamana na kumwaga damu
GB upo? Chochote kitakachofanyika ili mradi ni kudai haki zetu za msingi mtasema magwanda kwakuwa magamba wamechakachua na wanajisikia hatia mioyoni mwao basi wakiwaona wananchi wako kinyume nao wanafikiri ni magwanda
 
Waandamane tu maana nasikia mgao wa Arusha ni kama wanawakomoa wana Arusha maana ni mkali mno wansema yaani ni kama hamna umeme kabisa pale Arusha mjini

Ni vyema siasa zitenganishwe na utendaji, kama tunajidanganya kwamba tunakomoa mkoa fulani kwa sababu za kisiasa tutakuwa na maamzi ya kiajabu ajabu. jambo ambalo silishangai kwa uongozi na serikali tuliyonayo kwa sasa.

Mchango wa mkoa huo kwa utalii unafahamika, tulikuwa tuna tatizo la mahoteli mazuri jambo ambalo lilisababisha watalii wengi waishi Nairobi na kutembelea mbuga zetu. Leo hii tukianza kudhoofisha huduma za kitalii kwa sababu za kisiasa tutakuwa hatukomoi wananchi wa Arusha bali tunakomoa nchi nzima.

Natumaini kwamba watanzania sasa tumejifunza matokeo au madhala ya kuchagua viongozi pasipo uangalifu mkubwa. Dakika moja tunayoitumia kupiga kura kama hatukuwa makini inatughalimu miaka mitano. Hivyo uchaguzi legelege huzaa uongozi legelege, tuwe wakweli sasa nchi imefika mahala pabaya, sijajua na ningeomba kujulisha katiba yetu kama ina kifungu kinacho elezea hatua zipi zichukuliwe pale wananchi wanapokosa imani na uongozi wao. Miaka iliyo mbele yetu ni mingi kwa uongozi tulio nao.
 
Sio kwamba wananchi semeni CHADEMA a.k.a Magwanda ndio wanao andaa wananchi kuandamana na kumwaga damu
Halafu bahati mbaya ni kwamba' wanachama pekee wa Chadema ndio wanaopata taabu na huu mgao! Wakati wenzao wa ccm wanakula kuku kwa mrija! Kitu kingine ulichonikumbusha ni kuwa Chadema ndio wanaopiga risasi wananchi na kuwaua huku serikali ikilaani vikali matukio hayo! HONGERA SANA KWA KUONESHA MAPENZI YAKO YA DHATI KWA CCM MPAKA UMESAHAU MAUMIVU YANAYOSABABISHWA NA SEKALI HII DHAIFU!
 
Kweli mgao wa umeme ni mkali sana umeme unakatika siku 2 ukirudi masaasita unawaka saa sita mpaka
aubuhi kumi na mbili basi. haki haiombwi inatafutwa lazima kieleweke.

Fridge zetu zote imebidi ziwemakabati maana kila kitu kimeoza na inabdi ugawe au sandakalawe.

hatuhami chadema wazime kabisa hio mitambo yao. pumbavu sana CCM
 
Back
Top Bottom