Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
Hujui kuwa Mzee mwenye umeme leo ndo anasoma Bajeti yake?.Anataka kuungwa mkono na baada ya Bajeti yake kupita mgao kama kawa.Leo naona tangu jana saa kumi na mbili mpaka sasa umeme upo au mvua imenyesha kule mtera...?