Waache kuandamana kwani serikali yao sikivu ns inalifanyia kazi hilo, hakuna ambaye hatapatikana jeshi letu lina wataalamu wa kutambua walipofichwa.Tetesi zinasema kwamba leo huko lamadi watu wameandamana kutoka na kile kinachodaiwa ya kwamba utekaji uliokithiri umekuwa ni janga kubwa mno.Watu wanapotezwa na watu wasiojulikana na hakuna ripoti ya maana zaidi ya danadana kutoka kwa vyombo vya habari
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Acha kutukana wakombozi wa nchi hii wewe!
Inawezekana kabisa awamu hii wameamua kurasimisha jela za siri zenye watesajiTetesi zinasema kwamba leo huko lamadi watu wameandamana kutoka na kile kinachodaiwa ya kwamba utekaji uliokithiri umekuwa ni janga kubwa mno.Watu wanapotezwa na watu wasiojulikana na hakuna ripoti ya maana zaidi ya danadana kutoka kwa vyombo vya habari
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Tetesi zinasema kwamba leo huko lamadi watu wameandamana kutoka na kile kinachodaiwa ya kwamba utekaji uliokithiri umekuwa ni janga kubwa mno.Watu wanapotezwa na watu wasiojulikana na hakuna ripoti ya maana zaidi ya danadana kutoka kwa vyombo vya habari
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Ngoja nisubiri idhaa ya kiswahili ya DW saa 12 jioni kama watatangaza.Umepita asubuhi sisi tumeandamana mchana. Na MTU mmoja kafariki wengine wamejeruhiwa.
Mtu mzima hovyo ulokosa ya manaKubwa jinga Lisu anasemaje
Kwahiyo vyombo vya usalama vina support utekajiMabomu ya machozi Kama yote
Mimi namuomba Mungu tuchapane na kuuwana.Mungu ibariki Tanzania nchi yetu!
Nasikia kuna mtu kapigwa risasiTetesi zinasema kwamba leo huko lamadi watu wameandamana kutoka na kile kinachodaiwa ya kwamba utekaji uliokithiri umekuwa ni janga kubwa mno.Watu wanapotezwa na watu wasiojulikana na hakuna ripoti ya maana zaidi ya danadana kutoka kwa vyombo vya habari
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Wananchi washaamkaTetesi zinasema kwamba leo huko lamadi watu wameandamana kutoka na kile kinachodaiwa ya kwamba utekaji uliokithiri umekuwa ni janga kubwa mno.Watu wanapotezwa na watu wasiojulikana na hakuna ripoti ya maana zaidi ya danadana kutoka kwa vyombo vya habari
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Semeni wamepita wangapi?Tetesi zinasema kwamba leo huko lamadi watu wameandamana kutoka na kile kinachodaiwa ya kwamba utekaji uliokithiri umekuwa ni janga kubwa mno.Watu wanapotezwa na watu wasiojulikana na hakuna ripoti ya maana zaidi ya danadana kutoka kwa vyombo vya habari
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Hongera sana watu wa Simiyu sikutegemea kama kungetoka mwamko wowote huko kumbe ninyi ni ngome imara ya CHADEMA, nitamjulisha Mbowe na Lissu wawekeze nguvu zaidi kanda ya ziwa kuna matumaini makubwa.Wakombozi wa nchi au wakombozi wa Acacia?
Tutashitakiwa MIGA
Kwenye List ya TLS kanda ya ziwa ilikuwa inaongoza.Tetesi zinasema kwamba leo huko lamadi watu wameandamana kutoka na kile kinachodaiwa ya kwamba utekaji uliokithiri umekuwa ni janga kubwa mno.Watu wanapotezwa na watu wasiojulikana na hakuna ripoti ya maana zaidi ya danadana kutoka kwa vyombo vya habari
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app