Maandalizi bora kwa binti anayeelekea balehe

Maandalizi bora kwa binti anayeelekea balehe

yuzazifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2018
Posts
5,108
Reaction score
9,463
Natumai hamjambo wakuu

Wakuu kama una watoto wa kike basi pita hapa panaweza kukufaa, binti yangu alipotimiza miaka 6 nilitafakari nifanye kitu gani kumnusuru na mabaharia atakapobalehe ili atimize ndoto zake.

Nilikutana na mtaalam wa Saikolojia akanipa mbinu zenye kufaa, alinambia "binadamu huathiriwa na malisho ya mafunzo anayopata, na hayo ndio huijenga akili yake na kuipa mtizamo huo" akanambia ndo maana wazee wetu walifanikiwa kuwadhibiti watoto wakike.

Akanishauri niandae kijitabu kidogo nitakachotumia kama mtaala wa malezi kwa binti yangu kumjengea dhana ya kumuogopa mwanaume ili atimize ndoto zake

Niliandaa kijitabu kinachomzungumzia mwanaume kama adui wa ndoto za mtoto wakike pia majuto ya walioharibiwa ndoto zao na wanaume na maisha magumu wanayopitia.

Inshort kiasi fulani nimefanikiwa japo sijui ya mbeleni coz mabaharia nao kwa kubadili mbinu hawajambo.
 
Nimeisha tu kucheka, ngoja abalehe ndio utajua kama hicho kijitabu kilifanya kazi au hakikufanya kazi!
mkuu kuwaandalia mazingira bora ni jukum letu hivo kama mzazi play part yako, hayo mengine usiyawazie sana
 
Hizi mambo ni asili, uwez kuibadili asili kama ulichezea watoto wa watu jiandae kwa stress kedekede

Unachopaswa kufanya mfundishe elimu ya kujitegemea mwambie A B C zote kuhusu ngono na madhara yake yanavyoweza kukatiza ndoto zake...kisha muache achague mlango wa kutokea yeye mwenyewe.

Utakapo muacha hapo ndo Asili itaamua yenyewe...Acha kumfundisha kuchukia wanaume maana madhara yake ni makubwa na kwa upande wangu sipend wanawake wa kupambania haki 50\50.
 
Ngoja aje aambiwe ni tamuu na marafiki zake!
Hapo ndo utajua kwanini ni kwanini mbele ya kwanini..?😜

Mkuu ni vyema kulinda utu wa mtu lkn si kwa kupandikiza chuki mtu kuchukia utu wa kiumbe atakachokuja kuishinacho mpaka kufa!..

Somo lako ungelihamasisha kwenye wakati sahihi na sio kumchukiza!,akija kujua utamu wetu atakuchukia wewe!.
Mfundishe namna ya kuutumia wakati mueleze ukweli juu ya wakati wa kusoma na kuja kwenye hayo maakuli ya chumbani..

Hope one day to be your in law..😜😅
The baba the dingi..🙏🙏
 
mabaharia watampakia na puturuu au mkongo ili akutukane kabisa
 
Sema kuvunja ungo kubalehe amekuwa mwanaume, sema muombe God tuu sababu hujui ya mbeleni genye zikikamata ni mbya Sana hasa pale zinapoamia kichwan usijemkuta ana musturbate sitting room afu upo na wageni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom