katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,762
Wewe usilolijua nisawa na usiku wa giza siwezi funguka hapa kisa umesema hivyo.Kubalehe siyo kulowa huko chini ukimuona mwanaume mzuri mzuri bali ni ule uwezo wa kuhimili vishindo, vitisho, vishawishi, joto ya jiwe,anasa, mawaa,e.t.c![emoji15][emoji15][emoji15]
Ni mungu wangu na roho yangu tu.