bissmark marktosh
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 233
- 47
Yamkini najua kusoma na kuandika kichinjio kipo
Acha tuseme yeye ni INTERNATIONAL PUMBA PRODUCER
UKIWA UKAWA WEWE NI MPUMBAVU.
Kutokana na SUGU 2013 (BUNGENI) - alitoa maana ya upumbavu Kwa kusema hivi "NAOMBA TAIFA LIELEWE UPUMBAVU SIO TUSI, NI STUPIDITY, LACK OF KNOWLEDGE OF UNDERSTANDING"
Kwa wale wenzangu tusiojua Kiingereza (Sugu ana maana kukosa maarifa na uelewa ndiyo maana sahihi ya UPUMBAVU.
Hivyo UKAWA wote NI wapumbavu kwasababu zifuatazo
1. Kutanguliza FISADI papa kupambana na UFISADI.
2. Kuuza vyama vinne katika mnada mmoja na kutegemea Pesa za mabepari kufanya Kampeni bila kujua wanauza Nchi.
3. Kupambana na mfumo wa CCM kwa kutumia viongozi waliolelewa na mfumo wa CCM.
4. Kusahau kashfa na uchafu wote wa Lowassa ndani ya usiku mmoja.
5. Kuwataka Watanzania wenye ushahidi juu ya Lowasa waende mahakamani na kusahau kuwa walitutangazia wana ushahidi na kumtaka Lowassa kama anaonewa aende mahakamani.
6. UKAWA wote ni wapumbavu na marofa Kwa kupingana na kauli zao wenyewe juu ya UFISADI wa Lowassa.
7. UKAWA wote ni wapumbavu Kwa kushindwa kujua na kukemea ajenda ya siri iliyoanzishwa na chief Mareale na kuendelezwa na Mtei na 2012 kusimamia na Mpumbavu Joshua Nassari.
8. UKAWA wote ni wapumbavu kwa kushindwa kusimamia misingi ya uanzishwaji wa Ukawa na kuwapuuza waasisi wa UKAWA yaani Prof. Lipumba na Dr. Slaa.
9. UKAWA wote ni wapumbavu kwa kuwa kichaka cha kuficha wezi, mafisadi na wapumbavu wengine.
10. Ukiwa mwana UKAWA wewe NI mpumbavu Kwa kukubali kuburuzwa kama "mbuzi" na kushindwa kuhoji Lowasa NI msafi toka lini? Slaa, Mbowe, Lema, Mnyika, Lissu wanamtofautishaje Lowasa wa 2008 na 2015.
Jitafakari, Upo Ukawa hadi sasa? Basi wewe NI mpumbavu Kwa kushindwa kunielewa na kushindwa kujua nia ya mafisadi,Mabepari na wa walanguzi kumpeleka Lowasa ikulu.
Acha kuwa mpumbavu na lofa.
UKAWA NI
U - UMOJA
KA - KAMILI WA
WA - WAPUMBAVU
KARIBU CCM MPE KURA YAKO MAGUFULI
#TEAM TINGATINGA
#HAPA KAZI TUUU
#SITAWAANGUSHAA
#MAGUFULI
Kutokwenda shule si lazima kutokuwa umefika chuo kikuu au madarasani ila ni kutafuta majibu mahali pasipo sahihi. Ukiwa umeenda shule halafu ukaenda kwa fundi viatu kutafuta dawa za kutuliza maumivu ya kichwa hata ungekuwa profesa unakuwa hujaenda shule...sasa sikujua kama na SUGU naye siku hizi ni kamusi sahihi ya maneno ya kiswahili au kiingereza....!!!! Hata bunge lote haliwe kamusi sembuse mtu mmoja mmoja...? Nenda tu hapo mlimani wanauza kamusi za kiswahili usihangaike kuanza kumtafuta Sugu kila unapopata neno gumu la kiswahili. Kwa taarifa yako huyo si mamlaka ya utafsiri wa maneno ya kiswahili wala hawezi kunukuliwa kwa sababu hiyo. Akiongea bungeni kwa kuwa ni lugha za kwao hayo tuwaachie wenyewe watamjadili huko huko na tafsiri yao sahihi au si sahihi, wataomba miongozo toka kwa mheshimiwa spika...vinginevyo kama tunamnukuu tuelewe kama ni Profesa wa Kiswahili amebobea katika taaluma yake au namna gani...ni ushauri wangu tu si lazima pia nitukanwe unaweza kuupokea au kuukataa ni suala lako binafsiUKIWA UKAWA WEWE NI MPUMBAVU.
Kutokana na SUGU 2013 (BUNGENI) - alitoa maana ya upumbavu Kwa kusema hivi "NAOMBA TAIFA LIELEWE UPUMBAVU SIO TUSI, NI STUPIDITY, LACK OF KNOWLEDGE OF UNDERSTANDING"
Kwa wale wenzangu tusiojua Kiingereza (Sugu ana maana kukosa maarifa na uelewa ndiyo maana sahihi ya UPUMBAVU.
Hivyo UKAWA wote NI wapumbavu kwasababu zifuatazo
1. Kutanguliza FISADI papa kupambana na UFISADI.
2. Kuuza vyama vinne katika mnada mmoja na kutegemea Pesa za mabepari kufanya Kampeni bila kujua wanauza Nchi.
3. Kupambana na mfumo wa CCM kwa kutumia viongozi waliolelewa na mfumo wa CCM.
4. Kusahau kashfa na uchafu wote wa Lowassa ndani ya usiku mmoja.
5. Kuwataka Watanzania wenye ushahidi juu ya Lowasa waende mahakamani na kusahau kuwa walitutangazia wana ushahidi na kumtaka Lowassa kama anaonewa aende mahakamani.
6. UKAWA wote ni wapumbavu na marofa Kwa kupingana na kauli zao wenyewe juu ya UFISADI wa Lowassa.
7. UKAWA wote ni wapumbavu Kwa kushindwa kujua na kukemea ajenda ya siri iliyoanzishwa na chief Mareale na kuendelezwa na Mtei na 2012 kusimamia na Mpumbavu Joshua Nassari.
8. UKAWA wote ni wapumbavu kwa kushindwa kusimamia misingi ya uanzishwaji wa Ukawa na kuwapuuza waasisi wa UKAWA yaani Prof. Lipumba na Dr. Slaa.
9. UKAWA wote ni wapumbavu kwa kuwa kichaka cha kuficha wezi, mafisadi na wapumbavu wengine.
10. Ukiwa mwana UKAWA wewe NI mpumbavu Kwa kukubali kuburuzwa kama "mbuzi" na kushindwa kuhoji Lowasa NI msafi toka lini? Slaa, Mbowe, Lema, Mnyika, Lissu wanamtofautishaje Lowasa wa 2008 na 2015.
Jitafakari, Upo Ukawa hadi sasa? Basi wewe NI mpumbavu Kwa kushindwa kunielewa na kushindwa kujua nia ya mafisadi,Mabepari na wa walanguzi kumpeleka Lowasa ikulu.
Acha kuwa mpumbavu na lofa.
UKAWA NI
U - UMOJA
KA - KAMILI WA
WA - WAPUMBAVU
KARIBU CCM MPE KURA YAKO MAGUFULI
#TEAM TINGATINGA
#HAPA KAZI TUUU
#SITAWAANGUSHAA
#MAGUFULI ✅✅
#CCM ✅✅✅✅
UMOJA NI USHINDI UNGANA NA CCM TEAM YA USHINDI
BY MTANZANIA MZALENDO
INNOCENT MBILINYI MAGUFULI
MTOTO WA SAMIA SULUHU NA MJUKUU WA DR SHEIN PIA NI KITUKUU CHA CCM IMARA NA ZALENDO.
#TUKUTANE OCTOBER 25
UKIWA UKAWA WEWE NI MPUMBAVU.
Kutokana na SUGU 2013 (BUNGENI) - alitoa maana ya upumbavu Kwa kusema hivi "NAOMBA TAIFA LIELEWE UPUMBAVU SIO TUSI, NI STUPIDITY, LACK OF KNOWLEDGE OF UNDERSTANDING"
Kwa wale wenzangu tusiojua Kiingereza (Sugu ana maana kukosa maarifa na uelewa ndiyo maana sahihi ya UPUMBAVU.
Hivyo UKAWA wote NI wapumbavu kwasababu zifuatazo
1. Kutanguliza FISADI papa kupambana na UFISADI.
2. Kuuza vyama vinne katika mnada mmoja na kutegemea Pesa za mabepari kufanya Kampeni bila kujua wanauza Nchi.
3. Kupambana na mfumo wa CCM kwa kutumia viongozi waliolelewa na mfumo wa CCM.
4. Kusahau kashfa na uchafu wote wa Lowassa ndani ya usiku mmoja.
5. Kuwataka Watanzania wenye ushahidi juu ya Lowasa waende mahakamani na kusahau kuwa walitutangazia wana ushahidi na kumtaka Lowassa kama anaonewa aende mahakamani.
6. UKAWA wote ni wapumbavu na marofa Kwa kupingana na kauli zao wenyewe juu ya UFISADI wa Lowassa.
7. UKAWA wote ni wapumbavu Kwa kushindwa kujua na kukemea ajenda ya siri iliyoanzishwa na chief Mareale na kuendelezwa na Mtei na 2012 kusimamia na Mpumbavu Joshua Nassari.
8. UKAWA wote ni wapumbavu kwa kushindwa kusimamia misingi ya uanzishwaji wa Ukawa na kuwapuuza waasisi wa UKAWA yaani Prof. Lipumba na Dr. Slaa.
9. UKAWA wote ni wapumbavu kwa kuwa kichaka cha kuficha wezi, mafisadi na wapumbavu wengine.
10. Ukiwa mwana UKAWA wewe NI mpumbavu Kwa kukubali kuburuzwa kama "mbuzi" na kushindwa kuhoji Lowasa NI msafi toka lini? Slaa, Mbowe, Lema, Mnyika, Lissu wanamtofautishaje Lowasa wa 2008 na 2015.
Jitafakari, Upo Ukawa hadi sasa? Basi wewe NI mpumbavu Kwa kushindwa kunielewa na kushindwa kujua nia ya mafisadi,Mabepari na wa walanguzi kumpeleka Lowasa ikulu.
Acha kuwa mpumbavu na lofa.
UKAWA NI
U - UMOJA
KA - KAMILI WA
WA - WAPUMBAVU
KARIBU CCM MPE KURA YAKO MAGUFULI
#TEAM TINGATINGA
#HAPA KAZI TUUU
#SITAWAANGUSHAA
#MAGUFULI 💚💚✅✅
#CCM ✅✅✅✅
UMOJA NI USHINDI UNGANA NA CCM TEAM YA USHINDI
BY MTANZANIA MZALENDO
INNOCENT MBILINYI MAGUFULI
MTOTO WA SAMIA SULUHU NA MJUKUU WA DR SHEIN PIA NI KITUKUU CHA CCM IMARA NA ZALENDO.
#TUKUTANE OCTOBER 25