haiingii akilini kwa rais mstaafu kuita watu wapumbavu na malofa
Kuna mengi yamejificha hapa kumfanya mzee mzima aseme kwa jazba maneno kama yale..pengine mie niseme tu baada ya maneno ya hovyo ya Makongoro na huyu mzee sikua tena na appetite ya kusikiza kilichofuata. CCM ikumbuke kua kuna neutrals wengi ambao bado tunaangalia wapi kuna unafuu kidogo. Kwa kauli za kishenz kama hizi mnazidi kujipalia makaa kichwani. Tena cha kusikitisha zaidi baada ya maneno yale Bw. JK na Magufuli wake wakagongesheana na kukenua kwa furaha kabisa... sijui kama hiki chama kinajitambua!
Mkuu zumbemkuu,
Hakikisha unatumia upumbavu wako na ulofa wako unawahamasisha wapumbavu wote kuifuta CCM tarehe 25/10
Itabid tutumie msemo mmoja wa wamarekani "no matter whether he will bring development or not we will choose Obama to show the world that America is for everyone"
Sisi tunasema "no matter whether he will bring development or not we will choose lowasa from ukawa to show the world that Tanzania is not for ccm only"
Mimi pia ni mpumbavu, tena mpumbavu namba moja!
Itabid tutumie msemo mmoja wa wamarekani "no matter whether he will bring development or not we will choose Obama to show the world that America is for everyone"
Sisi tunasema "no matter whether he will bring development or not we will choose lowasa from ukawa to show the world that Tanzania is not for ccm only"
Mimi ndie mkuu wa malofa,
Mi UPUMBAVU na ULOFA WANGU.... ni kuwapa kura ya uraisi CCM 2010 kwa Ahadi ya GRID YA TAIFA SONGEA.... Ahadi ambayo haijatekelezwa wala kuchakata na hakuna waziri aliyechakatia nje ya uwaziri..
UPUMBAVU na ULOFA huo sitautumia tena kwa ahadi za MAGUFULI... kwamba..
1. Ataanzisha mahakama za mafisadi na majizi, wakati majizi hao anao huko huko na ndio waliompa nafasi hiyo, hataweza...
2. Nchi ya Magufuli ni ya viwanda wakati hao hao ndo waliouwa viwanda vya nguo, Pamba engineering etc...
Poa sisi ni Wapumbavu na tutawachagua wapumbavu wenzetu na ikulu tutaingia