Guy Black
Member
- Mar 30, 2020
- 67
- 65
Logo ya Dao System, " Dao" ni programu fupi ya mazoezi ya kujilinda, ambayo ilianzishwa nchini tanzania na mwl. Mazeru mwaka 2015.
Kwa lengo la kuipatia jamii uwezo wa kujilinda dhidi ya wanyang'anyi, wabakaji, watekaji,wauaji,magonjwa na mazingira hatarishi. Aidha, kuendeleza mbinu za kujihami nchini tanzania.
Program hii ya " Dao " kwa mara ya kwanza ilitambulishwa kwa jina la (mazeru karate ) lakini kutokana na maboresho ya ubunifu na usajili wa haki miliki, imebidi kutumia jina la Dao ambalo nitalifafanua maana yake katika makala zijazo. Mimi ni mwl. Mazeru nipo muanzilishi wa programu ya (Dao ).