Kuna kiungo cha mwili kinaitwa nguvu za kiume?Kuna mwingine ni mwanaume na ana homoni nyingi za kike na hana nguvu za kiume,kwahyo akitumia Makalio kujamiana anakuwa hajatumia kinyume na maumbile kwasababu hana nguvu za kiume
Yote sawa.Hivi ni kinyume na umbile au ni kinyume na maumbile? Naona kama huwa linatumika kwa wingi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ushasema hana mikono sasa afanyeje??? Kwan hao hawana Vagina?
Umbea ni dhambi.Hata kutumia mdomo kupiga umbea badala ya kula ni kinyume na maumbile basi [emoji53]
Basi inaonekana matendo yote yaliopo kintume na maumbile ni dhambiUmbea ni dhambi.
Na ndivyo ilivyo.Basi inaonekana matendo yote yaliopo kintume na maumbile ni dhambi
Ni kinyume na maumbile mkuu, watu wanafanya maasi tu kwa kugeuza shingo upande.BJ nayo ni kinyume na maumbile.