Maana ya kutokata tamaa

Maana ya kutokata tamaa

Joined
Jul 17, 2016
Posts
46
Reaction score
62
Mwanzoni nilipofeli kidato cha nne mwaka wa majanga 2012 nilihisi ndo mwisho wa kuiona degree kutokana na maneno ya kukatishana tamaa kutoka kwa baadhi ya ndugu na ukilinganisha wanafunzi wengi marafiki zangu walifauru kuendelea na masomo ya kidato cha tano, lakini namshukuru mungu sikukata tamaa nilipambana mwanzo mwisho kuanzia certificate mpaka diploma na leo hii nimechaguliwa kuendelea masomo ya degree mwaka 2016/2017 namshukuru sana mungu kwa jambo hili limezekana. Mimk nawahasa wanajamii forum ambao walikua kwenye hali kama yangu cha nsingi ni kumuomba mungu na kusoma kwa bidii hakuna jambo lisilowezekana
 
hongera sana mkuu,kweli Mungu ni mwema endlea kumtegemea katika kila jambo na uzidi kusonga mbele na upige hatua ukianguka simama endelea mbele.maisha yanatakiwa kuwa
 
Cha muhimu si kuchaguliwa kuingia masomo ya digrii cha muhimu utaifanyia nini hiyo digrii usiwe umekariri maisha ya kijijini kuwa kila mwenye digrii ameyapatia coz naona unakenua meno yote

Huku mjini digrii tunaziweka kwenye themomiter then tunatumia kupima watu joto tena makwapani
 
Back
Top Bottom