Maana halisi ya SWAT .

Maana halisi ya SWAT .

Watu wengi wanawajua SWAT kwa Kazi za uncontrably Riot, crowd control au intensive robbery hawajui kwamba wale jamaa huwa wanafanya hadi counter terrorism na vita ya madawa kwa kupeleleza na kufanya ambush ndani na nje ya mipaka ya nchi wakishirikiana na Jeshi la marekani US army.

They are massive and everywhere.
Nisaidie operation iliofanywa na SWAT nje ya USA.
 
Watu wamezoea kuwaona SWAT wakifanya Kazi za ndani ya nchi wanahisi jamaa wana jurisdiction ya ndani ya nchi pekee. Hapana SWAT kama special force zingine zozote zile wana mandate ya kufanya Kazi ndani na nje ya nchi sema inakuwaga confidential.
Usichanganye na navy seal
 
Ni polisi tu.. Mpango wa kutisha ni navy seal
Navy seal hawana tofauti na komando wenzao wa Spetnaz ya Russia wao nguvu, uvumilivu, uwezo wa kuignore high level of pain ndio wanamudu zaidi ndio maana akili zinapungua but SWAT wako more technical, more brainiac, more modern maguvu yanafuata baadae.
 
Navy seal hawana tofauti na komando wenzao wa Spetnaz ya Russia wao nguvu, uvumilivu, uwezo wa kuignore high level of pain ndio wanamudu zaidi ndio maana akili zinapungua but SWAT wako more technical, more brainiac, more modern maguvu yanafuata baadae.
Nani kakuambia navy seal akili zimepungua... Those people are intelligent
 
SWAT is just a law enforcement unit, kitengo maalum cha polisi.
Mimi sijakataa hili! Ila nawakubali wako kuwa more tactical, more modern, more brainiac. e.t.c sipendi Soja wanaotumia nguvu pekee with less tactics.
 
Navy seal hawana tofauti na komando wenzao wa Spetnaz ya Russia wao nguvu, uvumilivu, uwezo wa kuignore high level of pain ndio wanamudu zaidi ndio maana akili zinapungua but SWAT wako more technical, more brainiac, more modern maguvu yanafuata baadae.
Duh Navy Seal akili zinapungua? Ngoja nilale Tu.
 
Nani kakuambia navy seal akili zimepungua... Those people are intelligent
Wale wavunja Matofali tu kama hawa wa hapa Lugalo. Kazi kuogelea na buti na kombati afu akili ziwe sawa? Miongoni mwaka vikosi vilivyofyatuka akili Navy na Spetsnaz ni vichaa wale. Kuna nati zishafyatuka kichwani. Kwanza wengi huwa wamefundishwa kuignore pain, hii tu technically inawafanya wawe mental retarded. [emoji16]
 
Mimi sijakataa hili! Ila nawakubali wako kuwa more tactical, more modern, more brainiac. e.t.c sipendi Soja wanaotumia nguvu pekee with less tactics.
Hao ni polisi mkuu. Wanakuja kwenye tukio lililowashinda polisi wa kawaida. Unakubali ni law enforcement unit, jeshi ni law enforcement unit?
 
Wale wavunja Matofali tu kama hawa wa hapa Lugalo. Kazi kuogelea na buti na kombati afu akili ziwe sawa? Miongoni mwaka vikosi vilivyofyatuka akili Navy na Spetsnaz ni vichaa wale. Kuna nati zishafyatuka kichwani. Kwanza wengi huwa wamefundishwa kuignore pain, hii tu technically inawafanya wawe mental retarded. [emoji16]
Huwajui Navy Seals.
 
Wale wavunja Matofali tu kama hawa wa hapa Lugalo. Kazi kuogelea na buti na kombati afu akili ziwe sawa? Miongoni mwaka vikosi vilivyofyatuka akili Navy na Spetsnaz ni vichaa wale. Kuna nati zishafyatuka kichwani. Kwanza wengi huwa wamefundishwa kuignore pain, hii tu technically inawafanya wawe mental retarded. [emoji16]
Sijui unaongea ujinga gani... Kuna general mkubwa tu na amepitia navy seal kama ingekuwa inazalisha machizi angefikaje juu
 
Hao ni polisi mkuu. Wanakuja kwenye tukio lililowashinda polisi wa kawaida. Unakubali ni law enforcement unit, jeshi ni law enforcement unit?
Huelewi mifumo ya kipolisi ya marekani according to their modified laws. SWAT sio paramilitary tena though inafanya Kazi na Polisi ndio maana wako endorsed hata kutoka nje ya mipaka na kufanya Kazi bila kuwasiliana na Interpol. Refer ishu ya operations ya mihadarati huko Mexico wanapiga Kazi na CIA, pamoja na US army bega kwa bega. Kasome tena. Itakusaidia mkuu.
 
Wale wavunja Matofali tu kama hawa wa hapa Lugalo. Kazi kuogelea na buti na kombati afu akili ziwe sawa? Miongoni mwaka vikosi vilivyofyatuka akili Navy na Spetsnaz ni vichaa wale. Kuna nati zishafyatuka kichwani. Kwanza wengi huwa wamefundishwa kuignore pain, hii tu technically inawafanya wawe mental retarded. [emoji16]
Ila tusibishane sana.. Mi naamini seal ni shida
 
Navy seal hawana tofauti na komando wenzao wa Spetnaz ya Russia wao nguvu, uvumilivu, uwezo wa kuignore high level of pain ndio wanamudu zaidi ndio maana akili zinapungua but SWAT wako more technical, more brainiac, more modern maguvu yanafuata baadae.
Kwenye upande wa akili zaidi ni FBI.
 
Sijui unaongea ujinga gani... Kuna general mkubwa tu na amepitia navy seal kama ingekuwa inazalisha machizi angefikaje juu
Mkuu trust me ni wachache wanapita Navy seal safe the rest huwa wanapata very big psychological damage kutokana na training kuwa intensive and inhumane. Hata human right watch walimind wakasema Navy seal training is beyond human ability. Wale watu wakimaliza mafunzo wanakuwa very suicidal and distorted. Mafunzo ni SWAT pekee wako very tactical, very brainiac, ni akili kwanza mwili na maguvu baadae. Ndio maana hata USA army wanawatumia sana kwenye joint operations zao za kijeshi.
 
Kwenye upande wa akili zaidi ni FBI.
FBI, CIA ni akili zaidi ila hawana utendaji mzuri zaidi field kwenye zile CQB yaani close quarter Battle ndio kinachowatofautisha zaidi na SWAT ambao wao wako poa kiakili na utimamu wa mwili. Wako poa field na darasani pia.

Ni SWAT pekee ndio wamespeciliaze na kufaulu kwenye mapambano ya ana kwa ana ya mkono au bunduki kwenye majengo au maeneo ya wazi. Wanafanya Kazi kwa team inayocomprise breachers and snipers wa world class.

SWAT ya USA is the real deal.
 
Back
Top Bottom