Maana Halisi ya Kugegeda.....

Maana Halisi ya Kugegeda.....

Mfiaukweli

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2018
Posts
5,636
Reaction score
8,779
Vijana siku hizi mnatuweka kwenye difficult position kina sie of a certain age. Tumekuzwa tukitumia neno kugegeda very innocently.
Muhogo mbichi unagegedwa, muwa unatafunwa na mfupa (wenye nyama) unang'ong'onwa.

Leo hii hatuwezi tena kusema hadharani kuwa "nilikuwa nagegeda muhogo". Ah! Nyie vijana! Basi tu.
 
Hahaha--hata neno Mchepuko lilikuwa Lina maanisha kuchepuka njia (bara bara )

-yaani kuachana na njia ya moja kwa moja nakuifuata njia inayo jitokeza katika hiyo njia(Bara Bara ) uliyo kuwa unaipita awali
 
Hahaha--hata neno Mchepuko lilikuwa Lina maanisha kuchepuka njia (bara bara )

-yaani kuachana na njia ya moja kwa moja nakuifuata njia inayo jitokeza katika hiyo njia(Bara Bara ) uliyo kuwa unaipita awali

Sema leo mbele ya mwenzio kuwa "niliona muda unaenda na nitachelewa nikaona bora nichepuke" ukione cha moto!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom