Maamuzi ya Mbowe yapingwa Sikonge

Maamuzi ya Mbowe yapingwa Sikonge

No!! not cheap to me!!Ni rahisi sana mbona! agombee yule wananchi wanamkubali, it doesn't need a PHD holder to work that one out sir!!even lofa kama mimi naweza pata jawabu hilo bila wasiwasi!!

Nakumbuka tulikuwa pamoja pale line police na kushuhudia hilo tukio.Kwa njia aliyotumia Mbowe ilikuwa ni rahisi kutatu Mgogoro uliokuwepo kwa sababu wanachama wa UKAWA ndio wenye final say.
 
Mayala Masuka ameshatangulia kukwambia Mbowe kawasimamisha wagombea wote wawili na kuwauliza mkutano ni yupi wangependa abaki kuwa mgombea wao ashindanishwe na wa ccm na wote tumeshuhudia hivyo. Sasa wewe na mleta uzi kwa sababu zenu mnazozielewa ninyi na pengine kwa manufaa yenu mnataka kuwachanganya wananchi.Hata kama jimbo liliachwa kwa cuf nao wakaweka mgombea dhaifu Mbowe aliache jimbo lichukuliwe kirahisi na ccm?

una uhakika gani kuwa watu wote walionyoosha mikono ni wa ukawa, je pia una uhakika gani kuwa ni wanachama wa cdm na cuf wenye vitambulisho vya kura. isije ikawa nao ni wa ccm waliangalia kiongoz dhaifu ili waje wamwangushe.
pia tuliziona kura za maoni wanachama hawakuwa wanazidi 300. waliopiga kura" je huoni kuwa walionyosha mikono walikuwa karibia mkutano mzima~toka lini mgombea wa ukawa akateuliwa na wanachama wa ccm Gerald
 
Last edited by a moderator:
Nakumbuka tulikuwa pamoja pale line police na kushuhudia hilo tukio.Kwa njia aliyotumia Mbowe ilikuwa ni rahisi kutatu Mgogoro uliokuwepo kwa sababu wanachama wa UKAWA ndio wenye final say.

Exactly!! hiyo ndio njia safi ya kidiplomasia ya kutatua utata fairly ila maCcM wataona ngumu sababu wamezoea kudodge njia hiyo haswa ukizingatia huko bungeni huwa wanaitumia kulazimishia umafia wao. Tunawaa mini wanachama wetu na hao ndio mabosi, they get what they want. Viva Ukawa!!! njia ya ukombozi inaanza kuonekana baada ya giza nene kuanza kutoweka!!
 
Gerald kaka, mgombea wa cuf hakuwepo, uliyemuona ww ni mgombea udiwani ambapo na penyewe palikuwa na mgogoro ule ule, lakini yeye alikubali kushindwa na kumwachia mwenzake kwa ridhaa yake yeye mwenyewe, ndio maana yeye sikumsemea/kumwongelea.

Sasa ndio mnazidi kutuchanganya.Kwa hiyo Mbowe kamaliza mgogoro wa udiwani na sio wa ubunge Igunga? Tuamini yeye Mbowe alipowasimamisha wale wagombea walikuwa ni wawania udiwani na sio ubunge na wananchi wanyamaze kimya wasigundue kosa hilo? Hivi kama diwani huteuliwa na wakaaji wa kata husika ule mkutano ulikuwa wa kata au wilaya? Ile mikono tuliyoiona ya karibu watu wote kwa yule mgombea wa chadema ni ya wakazi wa kata moja inayomchagua diwani?
 
Last edited by a moderator:
hivi kuna ukawa kweli?? au porojo tu, ki uhalisia ni kwamba ukawa ni chadema, hata Duni Haji anajidhalilisha tu, ngoja uchaguzi uishe wasanii wa cdm wamuingize mjini
 
Mwaka 2010 Mbowe aliposhinda ubunge jimbo la Hai, mgombea wa ccm bwana Fuya aligoma kusaini fomu za kukubali matokeo. Wananchi walikuwa wamechoka kusubiri matokeo hadi saa nne usiku ndipo walipodai kuwa kama Fuya anaamini ameshinda basi wagombea wote wawili watoke nje halafu wananchi wapige kura ya papo kwa papo. Fuya aligoma ila mbowe alitoka na mkurugenzi akamtangaza mshindi bila kupoteza muda.
Anajua ni kiasi gani watu wakimtaka mtu hawazuiliki.
 
Sasa ndio mnazidi kutuchanganya.Kwa hiyo Mbowe kamaliza mgogoro wa udiwani na sio wa ubunge Igunga? Tuamini yeye Mbowe alipowasimamisha wale wagombea walikuwa ni wawania udiwani na sio ubunge na wananchi wanyamaze kimya wasigundue kosa hilo? Hivi kama diwani huteuliwa na wakaaji wa kata husika ule mkutano ulikuwa wa kata au wilaya? Ile mikono tuliyoiona ya karibu watu wote kwa yule mgombea wa chadema ni ya wakazi wa kata moja inayomchagua diwani?

Mkuu nilikuwepo kwenye uchaguzi mdogo wa Igunga baada ya rostam kuachia ngazi......cuf walikuwa na kura 2,000 na cdm walikuwa na kura 23,000.
 
CUF, NCCR Mageuzi na kale kachama kengine ni madaraja tu, kutoka hivyo vyama labda atakayeweza kunufaika kidogo ni

Mbatia. Ila wengine watabaki washangiliaji tu.
 
Watamalizana wenyewe huko...
 
Nina omba ukawa musisitize wizi wa ma ccm na katiba ya warioba
 
muulize jinga jinga si upo nae karibu na ndo anayekupa hizo taarifa
 
Story yako imeelea juu juu.kwenye mgao wa majimbo lilienda upande gani?kuanzia hapo ndo ulalamike.usilaumu@Mayala
 
Story yako imeelea juu juu.kwenye mgao wa majimbo lilienda upande gani?kuanzia hapo ndo ulalamike.usilaumu@Mayala

Ni hivi Sky net jimbo hilo hawakuwa wamefikia mwafaka tena cuf walienda mbali kwa kusema~wangeweza kuwaachia hilo jimbo ila wao cdm walibugi step maana hapo awali walimteua kibaraka wa ccm nkumba, ndipo walipokosa imani na cdm na kuapa hawawapi nafasi tena.
 
Last edited by a moderator:
Baada ya kiura za wazi wananchi wamemchagua nani?je aliyechaguliwa ndo chaguo lao? Kama ndio mbowe ana ttz gani hapo?
 
Exactly!! hiyo ndio njia safi ya kidiplomasia ya kutatua utata fairly ila maCcM wataona ngumu sababu wamezoea kudodge njia hiyo haswa ukizingatia huko bungeni huwa wanaitumia kulazimishia umafia wao. Tunawaa mini wanachama wetu na hao ndio mabosi, they get what they want. Viva Ukawa!!! njia ya ukombozi inaanza kuonekana baada ya giza nene kuanza kutoweka!!

njia zuri ni kuwatenganisha kwa magroup wanaomkubali fulani waende upande huu na wana mkubal namba 2 waende kushoto. Hiyo ndo jia sahihi
 
Back
Top Bottom