Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,712
Only Ukawa can do that sharp-witted trick! kama aliyoifanya leo Mbowe hapa Nzega, kawashika wagombea wawili wa ubunge waliokuwa ktk utata wa maamuzi akawashika mikono na kuuliza umma ni yupi waliyempenda! then huyo ndiye atapeperusha bendera ya ubunge kwa ticket ya ukawa, bila kujali chama chake period!!
Kama ni rahisi hivyo basi wangewapa zoezi la kuvuta kamba Slaa na Lowasa, ambaye angeibuka mshindi ndo angepewa nafasi ya kugombea urais....
Cheap politics.....!!!