jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,974
- 1,400
Siku chache zilizopita niliaweka post yangu kuwa mke wangu habebeki,nashukuru wachangiaji mbali mbali na inbox mlizokuwa mnanitumia nimesoma comments zote zaidi 126,nashukuru sana.
Kama nilivyotoa haadi ya kuwa leo nitatoa feedback baada ya kuchambua maoni tofauti na message nyingi mlizokuwa mnanitumia nimefanya maamuzi haya Ijumaa kama ifuatavyo..kama nitakuwa nilikosea mtanisamehe.
1.Mke wangu bado atabaki kuwa mke wangu katika hari yoyote ya maisha hiwe ya shida au tabu..nakumbuka nimetoka naye katika hari ya chini sana bado tukiwa wachumba.hivyo pesa isiwe kigezo cha kututenganisha leo zipo kesho hazipo.zaidi nikiona ametoka nje ya ndoa hapo maamuzi yatakuwa mengine.
2.Nimeamua kumchukua mtoto wangu na kwenda kukaa kwa wazazi wangu chini ya uangalizi wa wazazi wangu..japo mke wangu atahusika pia.
3.Nimeamua kumchukua mke wangu na kuishi naye ughaibuni hii itategemea kama atakubali kuacha kazi au la..japo hajanipa jibu nimpe mda wa kutaakari..
4.Nimemwambia aondoke nyumbani akaishi na wazazi wangu au wazazi wake baada ya kuacha kazi nikifanya utaratibu wa VISA na makazi pia..
5.Haijalishi atakataa kuacha kazi au la nyumbani asiendelee kukaa..nyumba nimeagiza wakae ndugu zake fulani kwa ajili uangalizi..ila baadhi ya vyumba vitafungwa.
6.Matumizi yote ya pesa haitapitia tena kwake awasiliane na wazazi wangu pesa ndiyo ataipata pale kwa sababu mtoto yuko pale japo mikoa ni tofauti umbali utakuwa shida pia.
7.Kuhusiana na matumizi yake binafsi mshahara wake hupo atumie huo,kwa sababu sijawahi kuugusa wala kumuuliza huwa anafanyia nini..
Ndugu zangu haikuwa rahisi hata kidogo kutoa maamuzi ya namna hiyo kwa mke wangu na wazazi wangu kuwapa taarifa..niliongea na mke wangu online via skype zaidi ya masaa 4 hakuamini nini kilichotokea ghafla..ameniuliza maswali mengi sana huku akitokwa na machozi..nilijaribu kumpa moyo nikimwambia nimwitaji zaidi kuwa naye karibu kuliko ilivyo sasa japo aliuliza taarifa zilikuwa za ghafla sana..
NAWASHUKURU SANA..
Kama nilivyotoa haadi ya kuwa leo nitatoa feedback baada ya kuchambua maoni tofauti na message nyingi mlizokuwa mnanitumia nimefanya maamuzi haya Ijumaa kama ifuatavyo..kama nitakuwa nilikosea mtanisamehe.
1.Mke wangu bado atabaki kuwa mke wangu katika hari yoyote ya maisha hiwe ya shida au tabu..nakumbuka nimetoka naye katika hari ya chini sana bado tukiwa wachumba.hivyo pesa isiwe kigezo cha kututenganisha leo zipo kesho hazipo.zaidi nikiona ametoka nje ya ndoa hapo maamuzi yatakuwa mengine.
2.Nimeamua kumchukua mtoto wangu na kwenda kukaa kwa wazazi wangu chini ya uangalizi wa wazazi wangu..japo mke wangu atahusika pia.
3.Nimeamua kumchukua mke wangu na kuishi naye ughaibuni hii itategemea kama atakubali kuacha kazi au la..japo hajanipa jibu nimpe mda wa kutaakari..
4.Nimemwambia aondoke nyumbani akaishi na wazazi wangu au wazazi wake baada ya kuacha kazi nikifanya utaratibu wa VISA na makazi pia..
5.Haijalishi atakataa kuacha kazi au la nyumbani asiendelee kukaa..nyumba nimeagiza wakae ndugu zake fulani kwa ajili uangalizi..ila baadhi ya vyumba vitafungwa.
6.Matumizi yote ya pesa haitapitia tena kwake awasiliane na wazazi wangu pesa ndiyo ataipata pale kwa sababu mtoto yuko pale japo mikoa ni tofauti umbali utakuwa shida pia.
7.Kuhusiana na matumizi yake binafsi mshahara wake hupo atumie huo,kwa sababu sijawahi kuugusa wala kumuuliza huwa anafanyia nini..
Ndugu zangu haikuwa rahisi hata kidogo kutoa maamuzi ya namna hiyo kwa mke wangu na wazazi wangu kuwapa taarifa..niliongea na mke wangu online via skype zaidi ya masaa 4 hakuamini nini kilichotokea ghafla..ameniuliza maswali mengi sana huku akitokwa na machozi..nilijaribu kumpa moyo nikimwambia nimwitaji zaidi kuwa naye karibu kuliko ilivyo sasa japo aliuliza taarifa zilikuwa za ghafla sana..
NAWASHUKURU SANA..