Maamuzi niliyoyafanya juu ya mke wangu..

jamii01

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
1,974
1,400
Siku chache zilizopita niliaweka post yangu kuwa mke wangu habebeki,nashukuru wachangiaji mbali mbali na inbox mlizokuwa mnanitumia nimesoma comments zote zaidi 126,nashukuru sana.

Kama nilivyotoa haadi ya kuwa leo nitatoa feedback baada ya kuchambua maoni tofauti na message nyingi mlizokuwa mnanitumia nimefanya maamuzi haya Ijumaa kama ifuatavyo..kama nitakuwa nilikosea mtanisamehe.

1.Mke wangu bado atabaki kuwa mke wangu katika hari yoyote ya maisha hiwe ya shida au tabu..nakumbuka nimetoka naye katika hari ya chini sana bado tukiwa wachumba.hivyo pesa isiwe kigezo cha kututenganisha leo zipo kesho hazipo.zaidi nikiona ametoka nje ya ndoa hapo maamuzi yatakuwa mengine.

2.Nimeamua kumchukua mtoto wangu na kwenda kukaa kwa wazazi wangu chini ya uangalizi wa wazazi wangu..japo mke wangu atahusika pia.

3.Nimeamua kumchukua mke wangu na kuishi naye ughaibuni hii itategemea kama atakubali kuacha kazi au la..japo hajanipa jibu nimpe mda wa kutaakari..

4.Nimemwambia aondoke nyumbani akaishi na wazazi wangu au wazazi wake baada ya kuacha kazi nikifanya utaratibu wa VISA na makazi pia..

5.Haijalishi atakataa kuacha kazi au la nyumbani asiendelee kukaa..nyumba nimeagiza wakae ndugu zake fulani kwa ajili uangalizi..ila baadhi ya vyumba vitafungwa.

6.Matumizi yote ya pesa haitapitia tena kwake awasiliane na wazazi wangu pesa ndiyo ataipata pale kwa sababu mtoto yuko pale japo mikoa ni tofauti umbali utakuwa shida pia.

7.Kuhusiana na matumizi yake binafsi mshahara wake hupo atumie huo,kwa sababu sijawahi kuugusa wala kumuuliza huwa anafanyia nini..


Ndugu zangu haikuwa rahisi hata kidogo kutoa maamuzi ya namna hiyo kwa mke wangu na wazazi wangu kuwapa taarifa..niliongea na mke wangu online via skype zaidi ya masaa 4 hakuamini nini kilichotokea ghafla..ameniuliza maswali mengi sana huku akitokwa na machozi..nilijaribu kumpa moyo nikimwambia nimwitaji zaidi kuwa naye karibu kuliko ilivyo sasa japo aliuliza taarifa zilikuwa za ghafla sana..


NAWASHUKURU SANA..
 
hongera kaka, cha muhimu kudumisha ndoa hakikisha unammbeleza akubali kuja kuishi na wewe.
 
ni kweli ushauri ulipewa mwingi sana lakini naamini ulichanganya na zako......................
 
Siku chache zilizopita niliaweka post yangu kuwa mke wangu habebeki,nashukuru wachangiaji mbali mbali na inbox mlizokuwa mnanitumia nimesoma comments zote zaidi 126,nashukuru sana.

Kama nilivyotoa haadi ya kuwa leo nitatoa feedback baada ya kuchambua maoni tofauti na message nyingi mlizokuwa mnanitumia nimefanya maamuzi haya Ijumaa kama ifuatavyo..kama nitakuwa nilikosea mtanisamehe.

1.Mke wangu bado atabaki kuwa mke wangu katika hari yoyote ya maisha hiwe ya shida au tabu..nakumbuka nimetoka naye katika hari ya chini sana bado tukiwa wachumba.hivyo pesa isiwe kigezo cha kututenganisha leo zipo kesho hazipo.zaidi nikiona ametoka nje ya ndoa hapo maamuzi yatakuwa mengine.

2.Nimeamua kumchukua mtoto wangu na kwenda kukaa kwa wazazi wangu chini ya uangalizi wa wazazi wangu..japo mke wangu atahusika pia.

3.Nimeamua kumchukua mke wangu na kuishi naye ughaibuni hii itategemea kama atakubali kuacha kazi au la..japo hajanipa jibu nimpe mda wa kutaakari..

4.Nimemwambia aondoke nyumbani akaishi na wazazi wangu au wazazi wake baada ya kuacha kazi nikifanya utaratibu wa VISA na makazi pia..

5.Haijalishi atakataa kuacha kazi au la nyumbani asiendelee kukaa..nyumba nimeagiza wakae ndugu zake fulani kwa ajili uangalizi..ila baadhi ya vyumba vitafungwa.

6.Matumizi yote ya pesa haitapitia tena kwake awasiliane na wazazi wangu pesa ndiyo ataipata pale kwa sababu mtoto yuko pale japo mikoa ni tofauti umbali utakuwa shida pia.

7.Kuhusiana na matumizi yake binafsi mshahara wake hupo atumie huo,kwa sababu sijawahi kuugusa wala kumuuliza huwa anafanyia nini..


Ndugu zangu haikuwa rahisi hata kidogo kutoa maamuzi ya namna hiyo kwa mke wangu na wazazi wangu kuwapa taarifa..niliongea na mke wangu online via skype zaidi ya masaa 4 hakuamini nini kilichotokea ghafla..ameniuliza maswali mengi sana huku akitokwa na machozi..nilijaribu kumpa moyo nikimwambia nimwitaji zaidi kuwa naye karibu kuliko ilivyo sasa japo aliuliza taarifa zilikuwa za ghafla sana..


NAWASHUKURU SANA..


Uamuzi mzuri kama nadharia ya mbayuwayu ilipewa nafasi. Hata hivyo mbona 4 na 7 vinapingana mkuu. Kwa nini asiache kazi baada ya wewe kuwa na uhakika wa VISA na makazi. Yaani asubirie visa ili hali hana kazi. Hatuombei mabaya, vp ikitokea 'ukavuta kamba' kabla ya kupata makazi na visa na hali yeye kisha acha kazi?.

Angalia upya hapo mkuu!
 
Mmmh.....kuacha kazi??? Alafu hiyo namba 6 dah.......!!! Anyways, ni mikakati tu muhimu maelewano na matokeo mazuri. M/Mungu awarahisishie zaidi!!
 
Siku chache zilizopita niliaweka post yangu kuwa mke wangu habebeki,nashukuru wachangiaji mbali mbali na inbox mlizokuwa mnanitumia nimesoma comments zote zaidi 126,nashukuru sana.

Kama nilivyotoa haadi ya kuwa leo nitatoa feedback baada ya kuchambua maoni tofauti na message nyingi mlizokuwa mnanitumia nimefanya maamuzi haya Ijumaa kama ifuatavyo..kama nitakuwa nilikosea mtanisamehe.


7.Kuhusiana na matumizi yake binafsi mshahara wake hupo atumie huo,kwa sababu sijawahi kuugusa wala kumuuliza huwa anafanyia nini..

Mimi nitakushauri ifuatavyo kuhusu hicho kipengele namba 7. Maadam ni mkeo, endelea kumtumia pesa (ziwe kidogo kama dolla 200 hivi) ili kuonyesha kuwa unamjali licha ya kwamba ana mshahara wake.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mh; kuna mambo hukusema kwenye first thread; kama mlitoka nae kwenye shida imekuwaje amebadilika na kutojua kutunza fedha. Any way the truth unajua mwenyewe. Nakuombea strategy zako zi work ili ndoa yenu idumu.
 
siku chache zilizopita niliaweka post yangu kuwa mke wangu habebeki,nashukuru wachangiaji mbali mbali na inbox mlizokuwa mnanitumia nimesoma comments zote zaidi 126,nashukuru sana.

Kama nilivyotoa haadi ya kuwa leo nitatoa feedback baada ya kuchambua maoni tofauti na message nyingi mlizokuwa mnanitumia nimefanya maamuzi haya ijumaa kama ifuatavyo..kama nitakuwa nilikosea mtanisamehe.

1.mke wangu bado atabaki kuwa mke wangu katika hari yoyote ya maisha hiwe ya shida au tabu..nakumbuka nimetoka naye katika hari ya chini sana bado tukiwa wachumba.hivyo pesa isiwe kigezo cha kututenganisha leo zipo kesho hazipo.zaidi nikiona ametoka nje ya ndoa hapo maamuzi yatakuwa mengine.

2.nimeamua kumchukua mtoto wangu na kwenda kukaa kwa wazazi wangu chini ya uangalizi wa wazazi wangu..japo mke wangu atahusika pia.

3.nimeamua kumchukua mke wangu na kuishi naye ughaibuni hii itategemea kama atakubali kuacha kazi au la..japo hajanipa jibu nimpe mda wa kutaakari..

4.nimemwambia aondoke nyumbani akaishi na wazazi wangu au wazazi wake baada ya kuacha kazi nikifanya utaratibu wa visa na makazi pia..

5.haijalishi atakataa kuacha kazi au la nyumbani asiendelee kukaa..nyumba nimeagiza wakae ndugu zake fulani kwa ajili uangalizi..ila baadhi ya vyumba vitafungwa.

6.matumizi yote ya pesa haitapitia tena kwake awasiliane na wazazi wangu pesa ndiyo ataipata pale kwa sababu mtoto yuko pale japo mikoa ni tofauti umbali utakuwa shida pia.

7.kuhusiana na matumizi yake binafsi mshahara wake hupo atumie huo,kwa sababu sijawahi kuugusa wala kumuuliza huwa anafanyia nini..


Ndugu zangu haikuwa rahisi hata kidogo kutoa maamuzi ya namna hiyo kwa mke wangu na wazazi wangu kuwapa taarifa..niliongea na mke wangu online via skype zaidi ya masaa 4 hakuamini nini kilichotokea ghafla..ameniuliza maswali mengi sana huku akitokwa na machozi..nilijaribu kumpa moyo nikimwambia nimwitaji zaidi kuwa naye karibu kuliko ilivyo sasa japo aliuliza taarifa zilikuwa za ghafla sana..


Nawashukuru sana..

hapo kwenye saba sielewi ,wewe umesema umeamua aache kazi aamie ughaibuni ...huo mshahara wa kutumia atautoa wapi akiacha kazi?
 
Hongera Mkuu kwa uamuzi wa busara. Tambua kwamba mke siyo kitunguu inapatikana sokoni. Umeshamkongoroa komaa naye ni wa kwako.
 
nakupa hongera naamini hayo yatakuwa ni maboresho ya mgogoro wenu kuliko kulimwaga.
 
Uamuzi sio mbaya sana ndugu, lla bado kuna uwalakini na mambo fulani ambayo kwa mtazamo wangu yataleta madhara kwa ndoa yako unayoipenda.

  1. Mkeo kupatiwa hela na wazazi wako nadhani sio vizuri, itamjengea imani na roho mbaya kwa wazazi: Mi nafikiri kwenye hili bora umtumie hela yeye mwenyewe na umuamrishe kiasi fulani cha pesa yeye ndio apeleke kwa wazazi. kama hii itashindikana labda uamue hiyo awali ambayo mi binafsi nadhani sio salama.
  2. Suala la mke kuacha kazi pia sidhani kama ni sahii sana labda utuambie huko ughaibuni unategemea kukaa kwa muda gani. kama ni miaka 2 au 3 bora mkeo aendelee na kazi yake kama kawaida. kumbuka kumleta huko mkeo utajiongezea gharama za maisha.
 
Ingependeza saana kama tungekua tunapata feedback kwa woote kama hivi.... Hongera Mkuu...
 
Siku chache zilizopita niliaweka post yangu kuwa mke wangu habebeki,nashukuru wachangiaji mbali mbali na inbox mlizokuwa mnanitumia nimesoma comments zote zaidi 126,nashukuru sana.

Kama nilivyotoa haadi ya kuwa leo nitatoa feedback baada ya kuchambua maoni tofauti na message nyingi mlizokuwa mnanitumia nimefanya maamuzi haya Ijumaa kama ifuatavyo..kama nitakuwa nilikosea mtanisamehe.

1.Mke wangu bado atabaki kuwa mke wangu katika hari yoyote ya maisha hiwe ya shida au tabu..nakumbuka nimetoka naye katika hari ya chini sana bado tukiwa wachumba.hivyo pesa isiwe kigezo cha kututenganisha leo zipo kesho hazipo.zaidi nikiona ametoka nje ya ndoa hapo maamuzi yatakuwa mengine.

2.Nimeamua kumchukua mtoto wangu na kwenda kukaa kwa wazazi wangu chini ya uangalizi wa wazazi wangu..japo mke wangu atahusika pia.

3.Nimeamua kumchukua mke wangu na kuishi naye ughaibuni hii itategemea kama atakubali kuacha kazi au la..japo hajanipa jibu nimpe mda wa kutaakari..

4.Nimemwambia aondoke nyumbani akaishi na wazazi wangu au wazazi wake baada ya kuacha kazi nikifanya utaratibu wa VISA na makazi pia..

5.Haijalishi atakataa kuacha kazi au la nyumbani asiendelee kukaa..nyumba nimeagiza wakae ndugu zake fulani kwa ajili uangalizi..ila baadhi ya vyumba vitafungwa.

6.Matumizi yote ya pesa haitapitia tena kwake awasiliane na wazazi wangu pesa ndiyo ataipata pale kwa sababu mtoto yuko pale japo mikoa ni tofauti umbali utakuwa shida pia.

7.Kuhusiana na matumizi yake binafsi mshahara wake hupo atumie huo,kwa sababu sijawahi kuugusa wala kumuuliza huwa anafanyia nini..


Ndugu zangu haikuwa rahisi hata kidogo kutoa maamuzi ya namna hiyo kwa mke wangu na wazazi wangu kuwapa taarifa..niliongea na mke wangu online via skype zaidi ya masaa 4 hakuamini nini kilichotokea ghafla..ameniuliza maswali mengi sana huku akitokwa na machozi..nilijaribu kumpa moyo nikimwambia nimwitaji zaidi kuwa naye karibu kuliko ilivyo sasa japo aliuliza taarifa zilikuwa za ghafla sana..


NAWASHUKURU SANA..

Mkuu kama ungetukumbusha thread yako ilihusiana na nini ingependeza ili nasi tujifunze pindi tutakapokumbana na hili
 
Back
Top Bottom