Sawa mkuu ila acha nafasi kwenye maandishi yako ili madini tuyapate kwa uzuri zaidi
Sawa mkuu ila kuna kitu cha kuongezea hapo nilisahau kukiweka na kukielezea nitaelezea kwa uchache sana na kurudiarudia sababu [
repetition is the father of learning] unaporudia na kurudia na kurudia na kurudia ndio unavyozidi kujifunza zaidi, kua na pesa nyingi maana yake ni kutumia muda mwingi kuwekeza kwenye pesa.. hapo unielewe ninachomaanisha kwa ufasaha muda ni pesa, muda wako mwingi unavyouwekeza kwenye pesa ndivyo hivyo hivyo unavyojiongezea uwezo wa kua na pesa
nyingi.. swali linakuja unafanya kitu gani ambacho kinakutengenea pesa
nyingi? yaan sio unafanya kitu ilimradi upate pesa hapana kuna watu wana pesa na kuna watu wana pesa
nyingi.. hawa wenye pesa
nyingi wamewekeza muda wao
mwingi kwenye utafutaji wa pesa ambao huu muda ulikuja kuwalipa baadae, hapa namaanisha unaweza kufanya jambo lenye kuweza kukuingizia pesa
nyingi leo ukatumia muda wa [
miaka 10] mbele ndio ukafanikiwa kupata pesa
nyingi watu wanaokuangalia ukiwa unaingiza faidi nyingi baada ya miaka 10 wengi hudhani umeanza jana leo ukafanikiwa kufika ulipofika kumbe wewe umetumia [
muda] wa zaidi ya
miaka 10 kufika hapo ulipofika.. mfano ni huu wewe anzisha kitega uchumi kimoja kisha weka [
muda] wako hapo baada ya miezi 6 ukiona kinafanya vizuri na kinakuingizia faida kiasi kwamba kinaweza [
kujiendesha] chenyewe hata wewe ukiwa haupo au umelala au umelazwa anzisha kitega uchumi kingine papohapo
bila kuchelewa na hicho pia kipalilie taratibu kikue kikianza kuchanganya ndani ya miezi 6 kwamba kinaweza kukuingizia faida [
maradufu] pasina
kutetereka pale wewe utakapokua haupo au unaumwa au umelala kinaweza [
kujiendesha] chenyewe bila
kukutegemea wewe papohapo bila kuchelewa anzisha kitega uchumi kingine kisha anza kukipalilia taratibu taratibu kipe [
muda] wako kipalilie taratibu ndani ya miezi 6 kikianza kukuonyesha kwamba kinaweza [
kujiendesha] chenyewe bila
kutegemea uwepo wako na kukupatia faida
maradufu na chenji ikabaki papohapo usichelewe anzisha kitega uchumi kingine..
Ili unielewe inabidi akili yako iwe imetulia km maji ndani ya [
mtungi..]