Maamuzi ni yako

Kila nikifikiria MKUBWA FELLA Sasa anaomba MSAADA NAPATA ukakasi kuandika ninacho KUSUDIA, anyway
 
Sawa mkuu ila acha nafasi kwenye maandishi yako ili madini tuyapate kwa uzuri zaidi
 
Sawa mkuu ila acha nafasi kwenye maandishi yako ili madini tuyapate kwa uzuri zaidi
Sawa mkuu ila kuna kitu cha kuongezea hapo nilisahau kukiweka na kukielezea nitaelezea kwa uchache sana na kurudiarudia sababu [repetition is the father of learning] unaporudia na kurudia na kurudia na kurudia ndio unavyozidi kujifunza zaidi, kua na pesa nyingi maana yake ni kutumia muda mwingi kuwekeza kwenye pesa.. hapo unielewe ninachomaanisha kwa ufasaha muda ni pesa, muda wako mwingi unavyouwekeza kwenye pesa ndivyo hivyo hivyo unavyojiongezea uwezo wa kua na pesa nyingi.. swali linakuja unafanya kitu gani ambacho kinakutengenea pesa nyingi? yaan sio unafanya kitu ilimradi upate pesa hapana kuna watu wana pesa na kuna watu wana pesa  nyingi.. hawa wenye pesa nyingi wamewekeza muda wao mwingi kwenye utafutaji wa pesa ambao huu muda ulikuja kuwalipa baadae, hapa namaanisha unaweza kufanya jambo lenye kuweza kukuingizia pesa nyingi leo ukatumia muda wa [miaka 10] mbele ndio ukafanikiwa kupata pesa nyingi watu wanaokuangalia ukiwa unaingiza faidi nyingi baada ya miaka 10 wengi hudhani umeanza jana leo ukafanikiwa kufika ulipofika kumbe wewe umetumia [muda] wa zaidi ya miaka 10 kufika hapo ulipofika.. mfano ni huu wewe anzisha kitega uchumi kimoja kisha weka [muda] wako hapo baada ya miezi 6 ukiona kinafanya vizuri na kinakuingizia faida kiasi kwamba kinaweza [kujiendesha] chenyewe hata wewe ukiwa haupo au umelala au umelazwa anzisha kitega uchumi kingine papohapo bila kuchelewa na hicho pia kipalilie taratibu kikue kikianza kuchanganya ndani ya miezi 6 kwamba kinaweza kukuingizia faida [maradufu] pasina kutetereka pale wewe utakapokua haupo au unaumwa au umelala kinaweza [kujiendesha] chenyewe bila kukutegemea wewe papohapo bila kuchelewa anzisha kitega uchumi kingine kisha anza kukipalilia taratibu taratibu kipe [muda] wako kipalilie taratibu ndani ya miezi 6 kikianza kukuonyesha kwamba kinaweza [kujiendesha] chenyewe bila kutegemea uwepo wako na kukupatia faida maradufu na chenji ikabaki papohapo usichelewe anzisha kitega uchumi kingine..

Ili unielewe inabidi akili yako iwe imetulia km maji ndani ya [mtungi..]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…