Maamuzi ni yako

Maamuzi ni yako

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,193
Reaction score
3,957
Mchezaji wa mpira wa mguu= 504million kwa mwaka kwa bongo ni neo maema
Teacher wa secondary = 8.4 million kwa mwaka elimu degree
Daktari bigwa= 20.4million kwa mwaka
Mwanasiasa (mbunge) = 141.6 million plus posho kwa mwaka
Drug dealer= 1 siku 300million
NB, ni makadirio sijaangalia scale zao kupanga ni kuchagua unafikili ni kwanini wanasiasa wako radhi kuuana kisa kiti hio ndoo sababu moja wapo money money
 
Kwa hiyo ukiwa mwanasiasa anayeuza drugs unakuwa na hela nyingi kama naniliu🐼
 
20251229_192503.jpg
 
Mchezaji wa mpira wa mguu= 504million kwa mwaka kwa bongo ni neo maema
Teacher wa secondary = 8.4 million kwa mwaka elimu degree
Daktari bigwa= 20.4million kwa mwaka
Mwanasiasa (mbunge) = 141.6 million plus posho kwa mwaka
Drug dealer= 1 siku 300million
NB, ni makadirio sijaangalia scale zao kupanga ni kuchagua unafikili ni kwanini wanasiasa wako radhi kuuana kisa kiti hio ndoo sababu moja wapo money money
Sasa wote watakuwa wachezaji wa mpira, wanasiasa, au drug dealers? Ni wapi huko Daktari Bingwa analipwa 20m kwa mwaka? Comparison za kijinga hizi!
 
Mchezaji wa mpira wa mguu= 504million kwa mwaka kwa bongo ni neo maema
Teacher wa secondary = 8.4 million kwa mwaka elimu degree
Daktari bigwa= 20.4million kwa mwaka
Mwanasiasa (mbunge) = 141.6 million plus posho kwa mwaka
Drug dealer= 1 siku 300million
NB, ni makadirio sijaangalia scale zao kupanga ni kuchagua unafikili ni kwanini wanasiasa wako radhi kuuana kisa kiti hio ndoo sababu moja wapo money money


Hayo mambo muwe mnaongelea jikoni au uani. Sisi wanaume tunakosa la kuchangia kabisa. Mnaongea kwa mafumbo na mambo yenu wenyewe ya mipasho. Mnatuchanganya sana. Baadaye mseme hatuwasupport
 
Pesa ni Siri kubwa sana na kua na pesa nyingi inabidi ufanye mambo mengi ya siri yasiyokubarika na [jamii] na uwe msiri kiasi cha kujifanyia siri wewe mwenyewe sio tu kumwambia mtu hata wewe usijiambie siri zako maana ukifanya hivyo ni namna moja wapo ya kujisariti.. kua na pesa nyingi kuna hitaji ukwepe vikwazo vya wanyonyaji wa pesa ambao wamejitungia vijisheria vya kukukwangua pesa huku wewe unateseka wao wanakuja tu kuzipakua wakati unazitafuta walikua wamejiweka pembeni.. mifano ni mingi ila kua na pesa nyingi sio lazima uwe hao wote uliowataja kuna formula ndogo sana ukiitumia unakua na rundo la maburungutu ya pesa ila siwezi kukupa hio nitakupa mfano mdogo tu wengi unaowaona wana pesa nyingi wanatumia kanuni ya kumkwepa adui wa kuzikwapua pesa zao kwa mbinu na namna yoyote iwe kwa kuroga (wabongo na waafrika wengi hufanya hivyo) au kwa kutumia ukatiri ilimradi tu wawe na pesa nyingi na ili uwe na pesa nyingi kanuni kuu ni kutokua na roho ndogo au roho nyepesi wenye roho ndogo au roho nyepesi hawana pesa nyingi wana pesa za kutimiza mahitaji yao ya kila siku tu.. ili uwe na pesa nyingi inakubidi uwe na roho ngumu ya kuweza kulinda himaya ya pesa zako maana utakua unamiliki vitega uchimi vingi sio kawaida km ni kampuni basi utakua una miliki si chini ya kampuni 20+ sasa ku-control hivyo vitega uchumi ili pesa zisikukimbie roho ngumu lazima ihusike na hapa simaanishi kulinda himaya kwa kuzirasimisha kwa mamlaka za kiutawala yaan unaweza ukarasimisha ila kinachoendelea nyuma sivyo km kinavyoonekana mbele au kuzihifadhi bank la hasha pesa zako.. mfano wachezaji mpira/mabondia wa ngumi za kulipwa ukiangalia utaona wanavunjwa miguu/kupasuka vichwa na kufumuana misuli ya mapaja na kubakia na makovu na maumivu ambayo hayafutiki mpaka kufa kwao still bado mtu anajiuguza baada ya muda mfupi utamuona yupo tena uwanjani au kapanda ulingoni sio kwamba amesahau kilichompata uwanjani ila sababu ni roho ngumu ya kuweza kulinda himaya ya pesa zake usipofanya hivyo pesa zinakukimbia.. kingine cha mwisho na cha umuhimu ni muda mwenye pesa nyingi anatumia muda mwingi kutafuta pesa kwa kila namna na kila jinsi ili kupata pesa nyingi.. na kingine cha mwisho ambacho sio cha umuhimu hakuna pesa tamu km pesa isiyokua na makato yoyote yaan unauza bidhaa pesa unayopokea inakua vilevile bila kua na mtu wa kati kupiga panga lake mfano unauza kitu laki unapata laki km ilivyo bila kua na panga la kukatwa elfu 20 ukabakia na 80 hio pesa ndio tamu zaidi nakwambia nikiwa na experience
 
Back
Top Bottom