umepotea njia. umekuja kwa mhemko sana. ndio mana umekosea jukwaa.Mleta mada umeandika kama umekalia boro??
Tanga ni mkoa taja eneo husika.
Wahuni wa CHADEMA imekuwaje wachome kituo cha watoto yatima,wana ugomvi na wamiliki wa hicho kituo au hao watoto???
Tuliza mshono andika vizuri jombaa..!!
Naona mizimu ya ukoo wenu inakuambia rudi nyumbani kumenoga
Mkuu angalia tu usije tututoa kafara tusio na hatia maana maisha yenyewe mafupi usije tufupishia zaidi.. nikutakie kazi njema..
wanakujaaDuniani huku ukiwa masikini ni mateso tu, na kudharauliwa, lakini siamini ya kwamba tumeletwa duniani kuteseka au kudharauliwa sababu ya kutokuwa na pesa.
Sina kazi, nimefukuzwa nyumba ya kupanga, nalazimika kuomba hela ya vocha ili nije kupaza sauti yangu huku kwenye mitandao ya kijamii kama huu, pengine ntapata usaidizi. Sitakubali kunyanyasika hivi, hivyo basi wadau.
Kama kuna yeyote atakuja kuniunganisha na mtaalam wa ndagu za utajiri nitamshukuru sana, nimedhamiria na nipo tayari. Haya maamuzi hayajaja leo bali ni ya muda sasa, hadi kusema hivi ni maji yamefikia shingoni.
______________
Update
Ndagu ndio nini, kukuuliza haimaanishi sijui, nakuuliza ili nione kama unajua unachozungumzia..mtoto mdogo hujui na usijue hivyo hivyo.
mahubiri peleka kanisani ..au fungua kanisa ..usiwe unadandia thread zisizokuhusu..Unajiona unashida na unahisi umesahaulika sio? Bado hujaishi wewe,ayo mambo ya kufukuzwa,kukosa kazi,kushinda njaa ni rasharasha tu,tupo wengi tunaopitia makuu kuliko wewe...Ukiona HUWEZI kabisa,jiue mwenyewe kuliko kuuwa wengine wasio na hatia ili ww uishi vizuri...
Nikwambie tu nimeshafukuzwa mara kibao kwny kupanga,nimeshalala njaa up to 5 clean days,kutukanwa na kudhalauliwa hayo ndo maisha yangu mpk sasa.Na vyeti ninavyi ila havijawai kunisaidia.
Why worrying,we all gonna die someday,ishi vile inavotakiwa kuishi mana ulikuja peke yako humu duniani na hukuomba kuja ila imetokea tu upo duniani km binadam na sio km ndege,chui,mmea etc.
Hukuwa na haja ya kuja huku kuanzisha nyuzi mbalimbali ili upate ndagu,wee tembea tu utawapata au ndo ile unataka relief ya moyomahubiri peleka kanisani ..au fungua kanisa ..usiwe unadandia thread zisizokuhusu..
Ndagu ni nini?hivi kuna mtu mzima mwenye akili timamu anaweza kuja kufungua thread asijue ameandika nini..