Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,868
- 6,480
Kipindi Cha , karne ya 14, barani Ulaya, walikuwa wanauwa paka baaada ya kuwahusisha na uchawi.
Baada ya kuuliwa paka wengi, ulitokea mlipuko wa Gonjwa la TAUN/PLAGUE, ambao unasababishwa na panya baada ya panya hao kuzaliana kwa wingi.
Inakadiliwa zaidi ya watu milioni 75, walikufa katika janga hilo la black plague/tauni, na miili ya watu hao ilipelekwa na kutupwa katika kisiwa cha povegilia ambapo ,mpaka Sasa kisiwa hicho kimekuwa gumzo kwasababu zaidi ya nusu ya ardhi ya kisiwa hicho kimefunikwa na mifupa na mafuvu ya Binadamu...
Baada ya kuuliwa paka wengi, ulitokea mlipuko wa Gonjwa la TAUN/PLAGUE, ambao unasababishwa na panya baada ya panya hao kuzaliana kwa wingi.
Inakadiliwa zaidi ya watu milioni 75, walikufa katika janga hilo la black plague/tauni, na miili ya watu hao ilipelekwa na kutupwa katika kisiwa cha povegilia ambapo ,mpaka Sasa kisiwa hicho kimekuwa gumzo kwasababu zaidi ya nusu ya ardhi ya kisiwa hicho kimefunikwa na mifupa na mafuvu ya Binadamu...