Maalumu kwa tuliosoma chuo cha Vikindu

Maalumu kwa tuliosoma chuo cha Vikindu

mahugijafarAzzubayr

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2017
Posts
202
Reaction score
156
Huu uzi nimeuanzisha kwa lengo la kukutana wale tuliosoma chuo cha ualimu Vikindu au wanaoendelea kusoma pale chuo.
Uzi huu ni mahsusi kwa kusaidia juu ya changamoto mbali mbali .

Kujulishana mambo yanayo zidi endelea pale VTC.

Mnakaribishwa wote toka wale wa enzi
za UBUGUYU mpaka MAMa AMINA ToU ...
 
Mimi ni mwanachama mpya humu,Nina swali kwenu jamani .Natafuta chuo cha ualimu cha serikali kilichopo dar-es-salaam kinachotoa kozi ya ualimu wa shule ya msingi katika ngazi ya diploma.Naomba msaada wenu wana group jamani!
 
Mimi ni mwanachama mpya humu,Nina swali kwenu jamani .Natafuta chuo cha ualimu cha serikali kilichopo dar-es-salaam kinachotoa kozi ya ualimu wa shule ya msingi katika ngazi ya diploma.Naomba msaada wenu wana group jamani!
Kwa Dar, sizani Kama kipo, Labda hicho Vikindu Japo sikifahamu kabisa, kwanini usiende vyuo vingine huko mikoani vipo vingi tu!!
 
Back
Top Bottom