Marhaba Ngoswe...
Dah! hii topic... michango yaja, mimi nirarudi baadae... ila tu ndio aina na rangi ya matter...[/QUOTE]
sorry, Ngoswe, pamoja na dada zangu,
najua kidume mie sihitajiki hapa,
lakini nina angalizo dogo tu........................
unaonaje Ngoswe ukiongezea kuuliza kwa kusema,
je, hizo rangi za chupi na uvaaji wake, pia zinaendana na menstrual cycle (period) zao au...........?????
kuna mtu nilimnunulia za blue na nyeusi lakini naona kaziweka mchagoni, sijui nini sababu wajameni....................
Samahani wapendwa, ni katika kujifunza tu!Pole kama umekwazika
BWANA YESU ASIFIWE SANA!!!!!!!!!!!!!!!!!
Marhaba Ngoswe...
Dah! hii topic... michango yaja, mimi nirarudi baadae... ila tu ndio aina na rangi ya matter...
sorry, Ngoswe, pamoja na dada zangu,
najua kidume mie sihitajiki hapa,
lakini nina angalizo dogo tu........................
unaonaje Ngoswe ukiongezea kuuliza kwa kusema,
je, hizo rangi za chupi na uvaaji wake, pia zinaendana na menstrual cycle (period) zao au...........?????
Samahani wapendwa, ni katika kujifunza tu!Pole kama umekwazika
BWANA YESU ASIFIWE SANA!!!!!!!!!!!!!!!!!
sorry, Ngoswe, pamoja na dada zangu,
najua kidume mie sihitajiki hapa,
lakini nina angalizo dogo tu........................
unaonaje Ngoswe ukiongezea kuuliza kwa kusema,
je, hizo rangi za chupi na uvaaji wake, pia zinaendana na menstrual cycle (period) zao au...........?????
Samahani wapendwa, ni katika kujifunza tu!Pole kama umekwazika
BWANA YESU ASIFIWE SANA!!!!!!!!!!!!!!!!!
Dah asante sana kwa kutujuza hilo, lakini unaweza fafanua jibu lako? rangi ipi hasa ina-matter na wapi na ni wakati gani? kama hutojali tutafurahi kusikia kutoka kwako dada yetu mpendwa!
sorry, Ngoswe, pamoja na dada zangu,
najua kidume mie sihitajiki hapa,
lakini nina angalizo dogo tu........................
unaonaje Ngoswe ukiongezea kuuliza kwa kusema,
je, hizo rangi za chupi na uvaaji wake, pia zinaendana na menstrual cycle (period) zao au...........?????
Samahani wapendwa, ni katika kujifunza tu!Pole kama umekwazika
BWANA YESU ASIFIWE SANA!!!!!!!!!!!!!!!!!
Bacha maoni yako mazuri, ila the way umeuliza hio kitu kama vile una infor
ulipata mahali ya kushare.. please do..lol I know Ngoswe hata mind si ataka kujua..lol
Bacha maoni yako mazuri, ila the way umeuliza hio kitu kama vile una infor
ulipata mahali ya kushare.. please do..lol I know Ngoswe hata mind si ataka kujua..lol
Wapendwa wana JF Dada's , Heshima yenu nyote ....... shikamooooo!
Mie naomba kuuliza au kufahamishwa nafasi ya uvaaji wa nguo ya ndani = ch.u.p.i na bra katika kuhamasishwa tendo la ndoa kwa mpenzi wako i.e boyfriend, hubby n.k. Je ni kweli rangi ya chu.pi ina nafasi ktk kuamsha ari kwa mpenzi wako? Au rangi ya bra unayovaa?
NB: katika utafiti wangu mdogo nilioufanya (size of the sample was small, was not enough to lead me to generalize my study) imeonyesha kuwa wanawake wanapendelea sana kuvaa chu.pi rangi nyeupe/ most of them japo sio wote, na pia hupenda kuvaa bra nyeusi. Je nini hasa sababu ya nyie wadada kuvaa chu.pi nyeupe na sio nyekundu au pink? Au kuvaa bra nyeusi instead of white or pink, blue n.k
Naomba msinishambulie wapendwa akina dada's ndio maana nimekuja kwa heshima na upole (rejea hapo juu). Natanguliza shukrani kwa michango yenu na naamini pia hii itatoa somo kwa akina dada wengi kuwa wapendelee kuvaa chu.pi za rangi gani au bra zipi na kwa sababu zipi.
Nawaheshimu sana dada zangu wote hapa Jf.
Siku njema na kazi njema.