Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Naimani mu wazima. Dakika chache zilizopita nimetoka kujiunga na mtandao wa Telegram. Hii ni baada ya kupitia replies za baadhi ya members humu, wakijaribu kuuthaminisha mtandao huu zaidi ya jinsi ambayo mtandao wa WhatsApp unavyofanya kazi
Pia nimepita google, nimekutana na maelezo kibao kuihusu telegram ikiwa ni pamoja na bots. Hizo bots ni nini? Binafsi sielewi. Na je, kuna vitu gani vya ziada kwenye huo mtandao?
N.B: Hata verified account ya JF nimeikuta uko. Tayari nimekwisha subscribe. Pia JamiiChat pia.
Wataalamu wa telegram njooni mmwage madini hapa
Kumbe simu haiwezi kuscreenshot kurasa yoyote ya telegram!!!!?
Karibuni:
Pia nimepita google, nimekutana na maelezo kibao kuihusu telegram ikiwa ni pamoja na bots. Hizo bots ni nini? Binafsi sielewi. Na je, kuna vitu gani vya ziada kwenye huo mtandao?
N.B: Hata verified account ya JF nimeikuta uko. Tayari nimekwisha subscribe. Pia JamiiChat pia.
Wataalamu wa telegram njooni mmwage madini hapa
Kumbe simu haiwezi kuscreenshot kurasa yoyote ya telegram!!!!?
Karibuni: