GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,881
Nasema hili ( haya ) kama Mzalendo na pia baada ya Kujiridhisha kutoka kwa Wahusika na Wadau eneo la Tukio ( Wafanyabiashara wakubwa ) na Wazoefu eneo hilo kwa Kilichotokea.
Kwa Taarifa za ndani kutokana na 'Umafia' ambazo GENTAMYCINE Mimi nimehakikishiwa na Mmoja wa Mfanyabiashara maarufu na mkubwa hapo ni kwamba Tukio zima lilipangwa na Kuratibiwa vyema Kimkakati wa Kutingisha Serikali ya Rais Samia na kuikomoa Kiuchumi.
Tafadhali sana naomba Jeshi la Polisi na Mamlaka za Ulinzi na Usalama nchini Tanzania 'Kamateni' haraka wale Watu wote wa iliyokuwa Bodi ya Soko la Kariakoo ambayo ilivunjwa kisha fanyeni nao Mahojiano ya 'Kiadhabu' na yenye 'Umedani' mwingi bila kuwaonea Huruma na Watatajana wote na kuupata Ukweli wote.
Hii siyo mara ya Kwanza kwa Bodi za haya Masoko makubwa nchini ( hasa Dar es Salaam na Mwanza ) ikitokea tu 'zikavunjwa' basi 'Visasi' vyao kwa Mamlaka husika za Manispaa au Wilaya au Mkoa huwa ni Kusababisha Ajali za Moto ili Kukomoa na Kusababisha Hasira na walio wengi.
Mwisho kabisa Mamlaka husika naomba Kamateni Walinzi wote wa Mgambo wanaolinda hapo ( hasa hasa Mkuu wao ) pamoja na Viongozi Wawili wa Soko hilo kwa sasa ili waeleze na hakikisheni Mahojiano yenu nao yawe ni ya 'Kiadhabu' zaidi na hakuna Kuwachekea kwani katika Mpango Mkakati huu wa 'Kimafia' ulioratibiwa na waliofukuzwa na baadhi waliobakia kwa Kushirikiana na Wateule kadhaa wa Rais Samia wamesababisha Tukio hilo zima kutokea na Kusababisha Hasara hiyo Kubwa.
Na kwa jinsi Tukio zima lilivyotokea ( kwa kuanzia ) katika kila Pembe ( Kona ) ya Jengo hilo la Kihistoria na Kitovu cha Biashara Dar es Salaam na Tanzania utagundua kuwa ni Mpango wa Makusudi wa Kulipiza Kisasi na nitawalaani na Kuwachukia mno Tanesco au Tume iliyoundwa ikija na Taarifa ( Ripoti ) kuwa ni Hitilafu ya Umeme ( Mfumo wa Umeme )
Mama ( Rais ) simama Imara tafadhali na nikiwa kama Mzalendo wa Kweli na niliyetukuka tayari nimeshakuambia Wewe, Makamu wako pamoja na Waziri Mkuu wako wapi kwa Kuanzia ili Kuwashikisha Adabu hao Wahuni na 'Mafia' wa Kukuhujumu na Kukuharibia katika huu Uongozi ( Utawala ) wako.
Kwa Taarifa za ndani kutokana na 'Umafia' ambazo GENTAMYCINE Mimi nimehakikishiwa na Mmoja wa Mfanyabiashara maarufu na mkubwa hapo ni kwamba Tukio zima lilipangwa na Kuratibiwa vyema Kimkakati wa Kutingisha Serikali ya Rais Samia na kuikomoa Kiuchumi.
Tafadhali sana naomba Jeshi la Polisi na Mamlaka za Ulinzi na Usalama nchini Tanzania 'Kamateni' haraka wale Watu wote wa iliyokuwa Bodi ya Soko la Kariakoo ambayo ilivunjwa kisha fanyeni nao Mahojiano ya 'Kiadhabu' na yenye 'Umedani' mwingi bila kuwaonea Huruma na Watatajana wote na kuupata Ukweli wote.
Hii siyo mara ya Kwanza kwa Bodi za haya Masoko makubwa nchini ( hasa Dar es Salaam na Mwanza ) ikitokea tu 'zikavunjwa' basi 'Visasi' vyao kwa Mamlaka husika za Manispaa au Wilaya au Mkoa huwa ni Kusababisha Ajali za Moto ili Kukomoa na Kusababisha Hasira na walio wengi.
Mwisho kabisa Mamlaka husika naomba Kamateni Walinzi wote wa Mgambo wanaolinda hapo ( hasa hasa Mkuu wao ) pamoja na Viongozi Wawili wa Soko hilo kwa sasa ili waeleze na hakikisheni Mahojiano yenu nao yawe ni ya 'Kiadhabu' zaidi na hakuna Kuwachekea kwani katika Mpango Mkakati huu wa 'Kimafia' ulioratibiwa na waliofukuzwa na baadhi waliobakia kwa Kushirikiana na Wateule kadhaa wa Rais Samia wamesababisha Tukio hilo zima kutokea na Kusababisha Hasara hiyo Kubwa.
Na kwa jinsi Tukio zima lilivyotokea ( kwa kuanzia ) katika kila Pembe ( Kona ) ya Jengo hilo la Kihistoria na Kitovu cha Biashara Dar es Salaam na Tanzania utagundua kuwa ni Mpango wa Makusudi wa Kulipiza Kisasi na nitawalaani na Kuwachukia mno Tanesco au Tume iliyoundwa ikija na Taarifa ( Ripoti ) kuwa ni Hitilafu ya Umeme ( Mfumo wa Umeme )
Mama ( Rais ) simama Imara tafadhali na nikiwa kama Mzalendo wa Kweli na niliyetukuka tayari nimeshakuambia Wewe, Makamu wako pamoja na Waziri Mkuu wako wapi kwa Kuanzia ili Kuwashikisha Adabu hao Wahuni na 'Mafia' wa Kukuhujumu na Kukuharibia katika huu Uongozi ( Utawala ) wako.