Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,556
- 4,162
Wakuu
Kwa heshima na taadhima naomba kufungua uzi maalumu kwa ajili ya solar.
Kwanzia ubora wa vifaa.... Ufungaji hadi matumizi.
Nianze na mimi nina pv 2 za watt 100 na 200.
Betri n120
Charger control 30apm
Inveter 12v
Matumizi kuchaj simu zaid ya 50 kwa siku na sometimes umeme hautoshi. Hizo pv nimeunga parallel.
Na matumizi ni day only
1. Je nimeunga vizuri?
2 vifaa vinaendana.?
3 kwann umeme hautoshi?
Karibuni
Cc kajole, cyber ghost, iwiva, himawari
Kwa heshima na taadhima naomba kufungua uzi maalumu kwa ajili ya solar.
Kwanzia ubora wa vifaa.... Ufungaji hadi matumizi.
Nianze na mimi nina pv 2 za watt 100 na 200.
Betri n120
Charger control 30apm
Inveter 12v
Matumizi kuchaj simu zaid ya 50 kwa siku na sometimes umeme hautoshi. Hizo pv nimeunga parallel.
Na matumizi ni day only
1. Je nimeunga vizuri?
2 vifaa vinaendana.?
3 kwann umeme hautoshi?
Karibuni
Cc kajole, cyber ghost, iwiva, himawari
na kazi yako ikafaana