Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
hakuna sababu ya kukejeli biashara ya mtu, kama huna jiyo pesa kaa kimya wenye nazo watanunua. HAKUNA ALIYELAZIMISHWA KUNUNUA.
Ila mkuu ungeweka picha na sio kusubiri anayehitaj tu, kuna mtu mwingine anaweza akavutiwa Nazo na kuamua kununua hata kama hakuwa na plan
Ila mkuu ungeweka picha na sio kusubiri anayehitaj tu, kuna mtu mwingine anaweza akavutiwa Nazo na kuamua kununua hata kama hakuwa na plan