Maalim Seif Sharif Hamad atangaza kuihama CUF na kujiunga na ACT-Wazalendo

Zama za siasa nchini kubadilika leo na kuchukua mwelekeo mpya. Endapo Maalim Seif ataomba kujiunga na ACT wazalendo binafsi nitafurahi sana kwani itakuwa ndio mwisho wa udikteta na Umangimeza wa Mbowe.

Tutapata Chama kingine kikubwa Tanzania. Wote waliochoshwa na udikteta wa Mbowe watahamia ACT kama hawataki kuja CCM. Pia mbwe mbwe za Mbowe zitaisha.

Nitasubiri Lisu na baadhi ya Wana CCM nao wahamie ACT siku za baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama una akili timamu unaweza kujiuliza kidogo kwamba mbona pamoja na Maalim kuwepo CUF lakini bado Chadema ilikuwa chama kikuu ?
 
Hahhhhhhhhhhhhhhhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa huuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuhhh. Bora nilishaamua maisha yangu kuwa SIASA haina nafasi katika maisha yangu. Ninapenda nimtumikie Mungu kwa uaminifu na kuwatumikia watanzania kama TECHNOCRAT tu na si vinginevyo. For a clean believer and worshiper, politics not an option. Ninapenda amani ya kila kitu, kuwa mkweli na muwazi daima. Kuwa mwadilifu popote pale, of course nikichukia sana viongozi wasiokuwa waadilifu, wezi, wala rushwa, mafisadi, n.k. Kwa misingi hii Awamu ya Tano ninategemea kabisa irejeshe Tanzania kwenye ile heshima aliyoipalilia Hayati Baba ya Taifa kwa miaka mingi mno. Keep Going His Excellency, Dr. Magufuli. Mimi ni miongoni wa wanaokuombea achana na hawa wanaotumia vyama kama kambi la kuficha unafiki wao. Wako kazini tu hao na sioni hata impact ya huyo Maalim Seif, Zitto na genge lake. Wapinzani wachumia tumbo tu tena natamani na hizo ruzuku wasipewe ili pesa hiyo iwekezwe kwenye miradi tu.

Toka upinzani umekuwepo 1995 rasmi katika uchaguzi sijaona impact yoyote zaidi ya kupoteza pesa za kugharimia uchaguzi. Bora sasa kuwe na vigezo vigumu vya vyama kugombea ili angalao tuwe navyo vinavyosindikiza vichache hasa kwa mwaka 2020 kwa sababa wapinzani wote wataangukia pua. Labda kura wazipate kwa familia zao kama bado hazijajitambua. Wastage of resources.
 
..
IMG-20190318-WA0035.jpeg


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Mimi si mchambuzi wa siasa, kwa maoni tu Muungano huu mpya wa Maalimu na Zito ni hatari zaidi. Hawa ni walewale, lakini wanakuja na kitu kipya imara kwa sababu tayari wana wafuasi wengi nyuma yao. Lakini pia hawa na wajane wawili waliotika kwenye maisha ya misukosuko sasa wanaanza maisha mapya wakiwa na uzoefu wa kutosha kule walikotoka. Hakika kwao kutokana na mifarakano waliopitia mafanikio ni rahisi na watapata wafuasi wengi ambao watu hawataamini macho yao. Ngoja tusibiri tuone. Ukimtishia chura kwa teke huenda ukamuongezea mwendo.
 
Membe anaenda
ACT ili kuidhohofisha Nguvu CDM.
kwa ahadi kuwa 2025 Atasimama yeye
kumbuka yeye bado ananafasi ya kuwepo miaka 6 mbele tofauti na Lowassa.

Kuna wabunge na baadhi ya wenyeviti wa mikoa wa CDM
Wataondoka chamani kuanzia mwezi wa 6 Mwaka Huu mpaka mwezi wa 8/2020
Hawa ndiyo watateuliwa kuwa wagombea kupitia ACT na ambao watajifanya ku choropoka na Membe CCM nao watasimamishwa tena .

baada ya Ngwe ya 2025 Kati Kati,Yale masalia yatafanya UHUNI Kama walivyofanya Ngwe ya 2015/2020

mpaka kufikia 2025 UPINZANI UTAKUWA UMEKUFA RASMI
NA NCHI ITAGEUZWA KAMA CHINA.
KATIBA ITABADILISHWA Na FIGISU ITAIBUKA NDANI YA CHAMA,
MPAKA Yule mamaluki Atakayepelekwa ACT atakosa Power
na kusimika UTAWALA WA JIWE RASMI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado haitaondoa tatizo. Nadhani soon tutasikia sheria mpya ya vyama vya siasa imesainiwa ambayo mtu akihama chama hawezi kugombea alikohamia mpaka baada ya miaka miwili. Seif hatagombea uraisi. Sioni kama ACT ni good choice sijui kama wana mtu anayeweza kutoa changa moto ya kutosha na aka qualify kwenye masharti ya hii sheria maana kanuni bado haziko hadharani.
 
Zama za siasa nchini kubadilika leo na kuchukua mwelekeo mpya. Endapo Maalim Seif ataomba kujiunga na ACT wazalendo binafsi nitafurahi sana kwani itakuwa ndio mwisho wa udikteta na Umangimeza wa Mbowe.

Tutapata Chama kingine kikubwa Tanzania. Wote waliochoshwa na udikteta wa Mbowe watahamia ACT kama hawataki kuja CCM. Pia mbwe mbwe za Mbowe zitaisha.

Nitasubiri Lisu na baadhi ya Wana CCM nao wahamie ACT siku za baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
I wish you could know how much you refkect your poorness. Bora tu usicomment kuliko kuharishia humu kila ukija.
 
Zama za siasa nchini kubadilika leo na kuchukua mwelekeo mpya. Endapo Maalim Seif ataomba kujiunga na ACT wazalendo binafsi nitafurahi sana kwani itakuwa ndio mwisho wa udikteta na Umangimeza wa Mbowe.

Tutapata Chama kingine kikubwa Tanzania. Wote waliochoshwa na udikteta wa Mbowe watahamia ACT kama hawataki kuja CCM. Pia mbwe mbwe za Mbowe zitaisha.

Nitasubiri Lisu na baadhi ya Wana CCM nao wahamie ACT siku za baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha. Kumbe lengo lenu ni kuona CDM inakufa, mtasubiri sana aasee

Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom