Maalim Seif ni tatizo CUF

Maalim Seif ni tatizo CUF

mkigoma

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2011
Posts
1,180
Reaction score
309
Ndio amekuwa mtoaji wa maamuzi ndani ya Cuf kwa kuingilia madaraka ya mwenyekiti hili ndilo lililomuondoa Prof Lipumba katika uenyekiti, ameua cuf bara kwa maslahi Zanzibar, ruzuku ya chama yote kwa 80% imepelekwa zanzibar.

Prof Lipumba alikuwa anataka kujua maslahi ya cuf ndani ya ukawa kuhusu ruzuku itokanayo na kura za urais. Lipumba ana Mengi moyoni hajayasema tuvute muda.
 
Ndio amekuwa mtoaji wa maamuzi ndani ya Cuf kwa kuingilia madaraka ya mwenyekiti hili ndilo lililomuondoa Prof Lipumba katika uenyekiti, ameua cuf bara kwa maslahi Zanzibar, ruzuku ya chama yote kwa 80% imepelekwa zanzibar. Prof Lipumba alikuwa anataka kujua maslahi ya cuf ndani ya ukawa kuhusu ruzuku itokanayo na kura za urais. Lipumba ana Mengi moyoni hajayasema tuvute muda.
Upo sahihi kabisa siku akisema yote watu watajua ukweli upo wapi.
 
Ndio amekuwa mtoaji wa maamuzi ndani ya Cuf kwa kuingilia madaraka ya mwenyekiti hili ndilo lililomuondoa Prof Lipumba katika uenyekiti, ameua cuf bara kwa maslahi Zanzibar, ruzuku ya chama yote kwa 80% imepelekwa zanzibar. Prof Lipumba alikuwa anataka kujua maslahi ya cuf ndani ya ukawa kuhusu ruzuku itokanayo na kura za urais. Lipumba ana Mengi moyoni hajayasema tuvute muda.

Kama alivyo zito tatizo act chama cha waha
 
Chadema Leo mmekuwa watetezi wa cuf baada ya kufanikiwa kuiua cuf bara lakini tutakwenda ACT, Chadema ng'ooo
 
Ndio amekuwa mtoaji wa maamuzi ndani ya Cuf kwa kuingilia madaraka ya mwenyekiti hili ndilo lililomuondoa Prof Lipumba katika uenyekiti, ameua cuf bara kwa maslahi Zanzibar, ruzuku ya chama yote kwa 80% imepelekwa zanzibar. Prof Lipumba alikuwa anataka kujua maslahi ya cuf ndani ya ukawa kuhusu ruzuku itokanayo na kura za urais. Lipumba ana Mengi moyoni hajayasema tuvute muda.
kabisa imefikia hatua mpaka mbowe anamgeuka mwanzoni alikuwa anamshirikisha prof.baada ya kuona ana misimamo ambayo inapingana na matakwa ya chadema anaamua kumburuza seif ambaye yeye anawaza kusaidiwa zanzibar achukue dola!!ndo maana prof. Alisema ameamua kujiuzulu kutokana kuonekana kikwazo kwny ukawa!!picha inaendelea......!wenye akili wachache watamuelewa lipumba ila vichwa maji watabaki kusema amepewa hongo!!
 
Ndio amekuwa mtoaji wa maamuzi ndani ya Cuf kwa kuingilia madaraka ya mwenyekiti hili ndilo lililomuondoa Prof Lipumba katika uenyekiti, ameua cuf bara kwa maslahi Zanzibar, ruzuku ya chama yote kwa 80% imepelekwa zanzibar. Prof Lipumba alikuwa anataka kujua maslahi ya cuf ndani ya ukawa kuhusu ruzuku itokanayo na kura za urais. Lipumba ana Mengi moyoni hajayasema tuvute muda.

Watu wengine tunaijua sana historia ya CUF (tangu KAMAHURU na CCW), Maalim Seif, Prof. Lipumba na UKAWA. Suala la madai ya ruzuku ndani ya CUF linaweza kuwa insignificant kwa sababu sheria na. 5 ya vyama vya siasa (1992) inatamka wazi kuwa determinant ya ruzuku za vyama ni proportion ya kura za wabunge na idadi/vichwa vya wabunge wa chama husika ndani ya Bunge, siyo kura za urais. CUF bara ina wabunge wawili wanaobaki wote wanatoka Pemba na mmoja Unguja. Kwa hiyo ruzuku nyingi ikipelekwa Zanzibar ni kwa sababu/rationality ya wingi wa viti vya wabunge kutoka Pemba/Zanzibar. Prof. Lipumba yeye anapenda kugombea urais tu; mikakati yake ya kujenga chama bara imekuwa si sahihi. Siamini kuwa kwa kiwango cha Profesa, Bwn. Lipumba alikuwa hajui anafanya nini! Maalim Seif yuko sahihi pia.
Aidha suala la mgawanyo wa ruzuku ndani na baina ya vyama washirika wa UKAWA lilikwishajadiliwa na kikundi cha watalaam washauri wa UKAWA na kufanyiwa maamuzi na Summit ya UKAWA. Hivyo ruzuku isingekuwa suala hata kusababisha Mh. Lipumba ajiuzulu kwa kisingizio hicho (kama unavyotaka kuaminisha umma). Si muda mrefu kila kitu kitakuwa hadharani na watanzania watapata fursa ya kujua sababu halisi za Prof. Lipumba kujiuzulu uenyekiti CUF.
Tusubiri kidogo
 
Waliomuona Lipumba Airport walisema alionekana kama ana msongo wa mawazo...

Alikuwa na macho mekundu sana mithili ya mtu aliyekuwa analia kwa muda mrefu...

Usaliti mbaya sana...
 
Watu wengine tunaijua sana historia ya CUF (tangu KAMAHURU na CCW), Maalim Seif, Prof. Lipumba na UKAWA. Suala la madai ya ruzuku ndani ya CUF linaweza kuwa insignificant kwa sababu sheria na. 5 ya vyama vya siasa (1992) inatamka wazi kuwa determinant ya ruzuku za vyama ni proportion ya kura za wabunge na idadi/vichwa vya wabunge wa chama husika ndani ya Bunge, siyo kura za urais. CUF bara ina wabunge wawili wanaobaki wote wanatoka Pemba na mmoja Unguja. Kwa hiyo ruzuku nyingi ikipelekwa Zanzibar ni kwa sababu/rationality ya wingi wa viti vya wabunge kutoka Pemba/Zanzibar. Prof. Lipumba yeye anapenda kugombea urais tu; mikakati yake ya kujenga chama bara imekuwa si sahihi. Siamini kuwa kwa kiwango cha Profesa, Bwn. Lipumba alikuwa hajui anafanya nini! Maalim Seif yuko sahihi pia.
Aidha suala la mgawanyo wa ruzuku ndani na baina ya vyama washirika wa UKAWA lilikwishajadiliwa na kikundi cha watalaam washauri wa UKAWA na kufanyiwa maamuzi na Summit ya UKAWA. Hivyo ruzuku isingekuwa suala hata kusababisha Mh. Lipumba ajiuzulu kwa kisingizio hicho (kama unavyotaka kuaminisha umma). Si muda mrefu kila kitu kitakuwa hadharani na watanzania watapata fursa ya kujua sababu halisi za Prof. Lipumba kujiuzulu uenyekiti CUF.
Tusubiri kidogo

Nakupongeza kwa ufafanuzi mkuu.

Ila hakuna cha tusubiri tusikie, huu ndio mwisho wa mchezo.
 
Ni kweli lipumba mamluki kakimbia nini? Ndio maana hata kwao Tabora hawamtaki. Viva ukawa
 
Unataka kugawana mayai wakati mnajenga banda, ruzuku wakati hata matokeo hamjayajua!? Cha muhimu CCM waondoke kwanza hayo mengine yanazungumzika
 
Ndio amekuwa mtoaji wa maamuzi ndani ya Cuf kwa kuingilia madaraka ya mwenyekiti hili ndilo lililomuondoa Prof Lipumba katika uenyekiti, ameua cuf bara kwa maslahi Zanzibar, ruzuku ya chama yote kwa 80% imepelekwa zanzibar. Prof Lipumba alikuwa anataka kujua maslahi ya cuf ndani ya ukawa kuhusu ruzuku itokanayo na kura za urais. Lipumba ana Mengi moyoni hajayasema tuvute muda.

Kitu kimoja ni wazi. Cuf ina mwenyekiti mmoja wa maisha. Wengine wote kuanzia Mapalala mpaka lipumba ni wapita njia.Wenyekiiti wa maisha ni maalim self.hutaki kukubali kalagabaho.
 
Kundi la wanachama wanaojiita kamati ya SAIDIA CUF ISIFE wamekutana jana vikao kwenye eneo la Mbagala Dar es salaam.Kupanga mikakati ya kumtimua Seif Sharif Hamad CUF.Walikuwa na wawakilishi kutoka bara na visiwani baadhi ya mambo wanayosimamia kutaka seif hammad aondoke ni haya

UPANDE WA BARA:

1.Kuionea CUF bara kwa sababu ya ruzuku.Hela nyingi za ruzuku zimekuwa zikienda Zanzibar kutumika kuimarisha CUF Zanzibar na bara wakinyimwa na kulaumiwa kuwa CUF haikui Tanzania bara wakati hawawezeshwi kifedha kama wenzao wa Zanzibar.

2.Kitendo Lipumba kufanyiwa fitna na Seif hadi kusababisha aachie ngazi CUF baada ya kuchoshwa na vitimbwi vya Seif

UPANDE WA ZANZIBAR:
1.Wanachama wenye misimamo mikali wa CUF Zanzibar wanasema wao na akina Seif na DUNI HAJI walikula yamini kuwa wao ni wazanzibar na lengo ni kuwa na Nchi ya Zanzibar na kuupiga vita muungano uliopo na kutokubali kuwa sehemu yake kwa namna yeyote ile.Kitendo cha DUNI haji kwenda kuwa mgombea mwenza katika muungano ambao hawautaki ni usaliti wa hali ya juu mno hivyo wanataka SEIF aondoke na usaliti wake

2.Wanachama wa kawaida wa CUF walikuwa wanamwona Duni ndiye ambaye ni tishio kwa Seif Sharif Hamad na ndiye ambaye anaonekana kuwa ana uwezo wa kuwa katibu mkuu wa CUF.Na seif alikuwa kila wakati anawaza hata kuongea kuwa Duni haji atamshughulikia siku moja.Na ulipokuja huo mwanya akaamua kumtosa kumtupa bara kwa CHADEMA ili aondoe tishio ndani ya CUF.Na mikakati yake imefanikiwa bila Duni haji kujua kuwa kategewa ili aondoke kwenye siasa za CUF ili SEIF Sharif Hamad aishi kwa raha ndani ya CUF.Wanachama wa kawaida wanataka Seif SHARIFF Hamad aondoke Duni wao arudi CUF haraka .

 
Mlipaswa kulitoa "tatizo" sasa na sio kuliacha liendelee kuwepo.

Haingilii akilini, anajiuzuru na kuzunguka zunguka tu badala kusema sababu za kujiuzuru kuwa Seif!!

The question is how Maalim Seif Shariff awe tatizo la Lipumba kujiuzuru juzi after 16 years of his leadership as CUF National Chairperson na mwenzie huyohuyo akiwa ni GS?

Nakubaliana na wewe kuwa kuna kitu kingine ambacho hajakisema Prof Lipumba kama sbb zake za kujiuzuru. Na nikuambie kitu?

Kamwe hawezi kuzisema sababu hizo kwa sbb ni za kwake mwenyewe, ni binafsi!!

Unafikiri ni kwa nini immediately baada ya kutangaza uamuzi wake wa kujiuzuru, akakwea pipa huyooooo nje ya nchi!?

Lugha rahisi kabisa ni kwamba huyu Profesa kafika bei, hakuna tafsiri nyingine juu ya uamuzi wake na wakati aliouchukua uamuzi huo!!!
 
Back
Top Bottom