Maalim Seif mwanasiasa ambaye yupo tayari kufanya chochote kwa ajili ya madaraka

Developer IOS

JF-Expert Member
Jun 20, 2017
1,457
1,409
Habari wakuu,natumai ni wazima wa afya.Watu waliowengi wanapenda kushadadia mambo bila kujua historia ya hayo mambo ningependa kutoa ushauri tupende kusoma historia japo kidogo kabla ya kuanza kuwashadadia hawa tunaoita wapinzani ambao ukiangalia wengi wao utakuta wanachowaaminisha wafuasi wao na dhamira iliyokuwepo mioyoni mwao ni vitu viwili tofauti.Naomba msiuunganishe uzi huu na nyuzi nyingine kama mlivyofanya kwenye uzi wangu wa kumtaka mbowe ajiuzuru kupisha mabadiliko ndani ya chadema na uzi wa hali ya magereza.

Maalim seif ni mwanasiasa mwenye uchu na uroho wa madaraka ambaye yupo radhi kufanya lolote kwa ajili ya madaraka ndo maana sikushangaa alipogoma kufanya kazi tena na pro lipumba pia na mchakato wake wa kukiuza cuf bara ndani ya chadema ili abaki na cuf visiwani.Juzi nilipata bahati ya kupiga story na mwanachama na kiongozi wa cuf nikajifunza mengi kuhusu seif.Seif ni mnafiki kuwah kutokea katika siasa za Tanzania na mtu ambaye aliwamaliza kwa figisu figisu wapinzani wake wa kisaisa mfano Hamad Rashid ambaye alikuwa mtu muhimu na aliyepigania chama kwa pesa yake aliwezesha kujengwa kwa tawi la cuf Titanic.Pia seif ni katibu mkuu wa cuf Taifa lakini kwa kiasi kikubwa aliitenga cuf bara hakuwahi hata siku moja kufanya ziara ya kukiimarisha chama bara.

Kila siku najiuliza je seif anapigania nini?Anapigania kuwa Rais au kuwasaidia wananchi wa zanzibar na kama anapigania serikali tatu kama anavyodai tunakumbuka kuwa seif huyo huyo ndio aliyempeleka abdu jumbe kwa nyerere baada ya abdu jumbe kuanzisha mipango ya kudai serikali tatu akidhani nyerere atampa urais bila kudhani kuwa nyerere alikuwa na akili nyingine.Pia endapo maalim atahaidiwa urais yupo radhi kurudi ccm lakini misingi ya ccm haitaki viongozi waroho kama maalim

IKULU NI MAHALA PATAKATIFU SIO LANGO LA WALANGUZI
 
"Maalim seif ni mwanasiasa mwenye uchu na uroho wa madaraka ambaye yupo radhi kufanya lolote kwa ajili ya madaraka"

Neno UROHO maana yake kuwa mlafi,kupenda kula kile ambacho umeshakula na kuona Utamu wake

Neno UCHU ni kupenda bila ya kikomo kile kitu ulichokula na kukiona kitamu..

UROHO na UCHU haya maneno yako katika CV ya CCM...,CCM tangu waonje UTAMU wa mdaraka wamekuwa WAROHO na wenye UCHU wa kutawala..

Juu ya uchu na uroho aliokuwa nao Maalim Seif hawezi kuwafikia CCM,kwanini CCM ndio wanaotawala Seifu hajafikia hatua hiyo..

CCM ni WAROHO,WANAUCHU,na ni VING'ANG'ANIZI wa Madraka wako radhi kufanya lolote ili watawale,kuua,kupiga risasi raia ni moja katika mifano hai
 
Habari wakuu,natumai ni wazima wa afya.Watu waliowengi wanapenda kushadadia mambo bila kujua historia ya hayo mambo ningependa kutoa ushauri tupende kusoma historia japo kidogo kabla ya kuanza kuwashadadia hawa tunaoita wapinzani ambao ukiangalia wengi wao utakuta wanachowaaminisha wafuasi wao na dhamira iliyokuwepo mioyoni mwao ni vitu viwili tofauti.Naomba msiuunganishe uzi huu na nyuzi nyingine kama mlivyofanya kwenye uzi wangu wa kumtaka mbowe ajiuzuru kupisha mabadiliko ndani ya chadema na uzi wa hali ya magereza.

Maalim seif ni mwanasiasa mwenye uchu na uroho wa madaraka ambaye yupo radhi kufanya lolote kwa ajili ya madaraka ndo maana sikushangaa alipogoma kufanya kazi tena na pro lipumba pia na mchakato wake wa kukiuza cuf bara ndani ya chadema ili abaki na cuf visiwani.Juzi nilipata bahati ya kupiga story na mwanachama na kiongozi wa cuf nikajifunza mengi kuhusu seif.Seif ni mnafiki kuwah kutokea katika siasa za Tanzania na mtu ambaye aliwamaliza kwa figisu figisu wapinzani wake wa kisaisa mfano Hamad Rashid ambaye alikuwa mtu muhimu na aliyepigania chama kwa pesa yake aliwezesha kujengwa kwa tawi la cuf Titanic.Pia seif ni katibu mkuu wa cuf Taifa lakini kwa kiasi kikubwa aliitenga cuf bara hakuwahi hata siku moja kufanya ziara ya kukiimarisha chama bara.

Kila siku najiuliza je seif anapigania nini?Anapigania kuwa Rais au kuwasaidia wananchi wa zanzibar na kama anapigania serikali tatu kama anavyodai tunakumbuka kuwa seif huyo huyo ndio aliyempeleka abdu jumbe kwa nyerere baada ya abdu jumbe kuanzisha mipango ya kudai serikali tatu akidhani nyerere atampa urais bila kudhani kuwa nyerere alikuwa na akili nyingine.Pia endapo maalim atahaidiwa urais yupo radhi kurudi ccm lakini misingi ya ccm haitaki viongozi waroho kama maalim

IKULU NI MAHALA PATAKATIFU SIO LANGO LA WALANGUZI
Umekurupuka katulize kwanza akili

~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~
 
Neno UROHO maana yake kuwa mlafi,kupenda kula kile ambacho umeshakula na kuona Utamu wake

Neno UCHU ni kupenda bila ya kikomo kile kitu ulichokula na kukiona kitamu..

UROHO na UCHU haya maneno yako katika katika CV ya CCM...,CCM tangu waonje UTAMU wa mdaraka wamekuwa WAROHO na wenye UCHU wa kutawala..

Juu ya uchu na uroho aliokuwa nao Maalim Seif hawezi kuwafikia CCM,kwanini CCM ndio wanaotawala Seifu hajafikia hatua hiyo..

CCM ni WAROHO,WANAUCHU,na ni VING'ANG'ANIZI wa Madraka..
Kudos

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu,natumai ni wazima wa afya.Watu waliowengi wanapenda kushadadia mambo bila kujua historia ya hayo mambo ningependa kutoa ushauri tupende kusoma historia japo kidogo kabla ya kuanza kuwashadadia hawa tunaoita wapinzani ambao ukiangalia wengi wao utakuta wanachowaaminisha wafuasi wao na dhamira iliyokuwepo mioyoni mwao ni vitu viwili tofauti.Naomba msiuunganishe uzi huu na nyuzi nyingine kama mlivyofanya kwenye uzi wangu wa kumtaka mbowe ajiuzuru kupisha mabadiliko ndani ya chadema na uzi wa hali ya magereza.

Maalim seif ni mwanasiasa mwenye uchu na uroho wa madaraka ambaye yupo radhi kufanya lolote kwa ajili ya madaraka ndo maana sikushangaa alipogoma kufanya kazi tena na pro lipumba pia na mchakato wake wa kukiuza cuf bara ndani ya chadema ili abaki na cuf visiwani.Juzi nilipata bahati ya kupiga story na mwanachama na kiongozi wa cuf nikajifunza mengi kuhusu seif.Seif ni mnafiki kuwah kutokea katika siasa za Tanzania na mtu ambaye aliwamaliza kwa figisu figisu wapinzani wake wa kisaisa mfano Hamad Rashid ambaye alikuwa mtu muhimu na aliyepigania chama kwa pesa yake aliwezesha kujengwa kwa tawi la cuf Titanic.Pia seif ni katibu mkuu wa cuf Taifa lakini kwa kiasi kikubwa aliitenga cuf bara hakuwahi hata siku moja kufanya ziara ya kukiimarisha chama bara.

Kila siku najiuliza je seif anapigania nini?Anapigania kuwa Rais au kuwasaidia wananchi wa zanzibar na kama anapigania serikali tatu kama anavyodai tunakumbuka kuwa seif huyo huyo ndio aliyempeleka abdu jumbe kwa nyerere baada ya abdu jumbe kuanzisha mipango ya kudai serikali tatu akidhani nyerere atampa urais bila kudhani kuwa nyerere alikuwa na akili nyingine.Pia endapo maalim atahaidiwa urais yupo radhi kurudi ccm lakini misingi ya ccm haitaki viongozi waroho kama maalim

IKULU NI MAHALA PATAKATIFU SIO LANGO LA WALANGUZI
Senseless
 
I believe most if not ALL Politicians wapo tayari kufanya lolote including kumwaga damu za watu kwa ajili ya madaraka. Sio Maalimu Seif peke yake na mengi yanafanyika hata Tanzania hiihii.
 
Maalim Seif kausaka Urais kwa Miaka 44

1975-2019

Alianza harakati hizo Mara tu Baada ya Mzalendo Alhaj Sheikh Aboud Jumbe kumfanya Msaidizi wake binafsi 1975 akaanza kuiba Siri Za SMZ Na kuzipeleka kwa Hayati Rasheed Kawawa ili kuwagombanisha Nyerere Na Jumbe Na Kweli akafanikiwa japo Dhamira yake ya Kuwa Rais mpaka Leo bado hajafanikiwa

Kaanza kuusaka Urais wakati huo Jakaya akiwa ndio anamaliza Chuo kikuu na kupelekwa Singida Kama Naibu Katibu Mkoa lakin mpaka Leo Mwenzie kishastaafu Miaka Minne iliyopita bado anapishana Kwenye Corridor Na kina Zitto ambao walikuwa hawajazaliwa wakati huo

Huyu Mzee asaidiwe kustaafu maana bila msaada hatostaafu
 
Habari wakuu,natumai ni wazima wa afya.Watu waliowengi wanapenda kushadadia mambo bila kujua historia ya hayo mambo ningependa kutoa ushauri tupende kusoma historia japo kidogo kabla ya kuanza kuwashadadia hawa tunaoita wapinzani ambao ukiangalia wengi wao utakuta wanachowaaminisha wafuasi wao na dhamira iliyokuwepo mioyoni mwao ni vitu viwili tofauti.Naomba msiuunganishe uzi huu na nyuzi nyingine kama mlivyofanya kwenye uzi wangu wa kumtaka mbowe ajiuzuru kupisha mabadiliko ndani ya chadema na uzi wa hali ya magereza.

Maalim seif ni mwanasiasa mwenye uchu na uroho wa madaraka ambaye yupo radhi kufanya lolote kwa ajili ya madaraka ndo maana sikushangaa alipogoma kufanya kazi tena na pro lipumba pia na mchakato wake wa kukiuza cuf bara ndani ya chadema ili abaki na cuf visiwani.Juzi nilipata bahati ya kupiga story na mwanachama na kiongozi wa cuf nikajifunza mengi kuhusu seif.Seif ni mnafiki kuwah kutokea katika siasa za Tanzania na mtu ambaye aliwamaliza kwa figisu figisu wapinzani wake wa kisaisa mfano Hamad Rashid ambaye alikuwa mtu muhimu na aliyepigania chama kwa pesa yake aliwezesha kujengwa kwa tawi la cuf Titanic.Pia seif ni katibu mkuu wa cuf Taifa lakini kwa kiasi kikubwa aliitenga cuf bara hakuwahi hata siku moja kufanya ziara ya kukiimarisha chama bara.

Kila siku najiuliza je seif anapigania nini?Anapigania kuwa Rais au kuwasaidia wananchi wa zanzibar na kama anapigania serikali tatu kama anavyodai tunakumbuka kuwa seif huyo huyo ndio aliyempeleka abdu jumbe kwa nyerere baada ya abdu jumbe kuanzisha mipango ya kudai serikali tatu akidhani nyerere atampa urais bila kudhani kuwa nyerere alikuwa na akili nyingine.Pia endapo maalim atahaidiwa urais yupo radhi kurudi ccm lakini misingi ya ccm haitaki viongozi waroho kama maalim

IKULU NI MAHALA PATAKATIFU SIO LANGO LA WALANGUZI
Na ni lazima atawale

Ccm sio waroho na walafi?? Tena ccm wote mkiongozwa na sura ngumu huyo
 
leo mbona wana CCM na wanaCHADEMA kimewauma sana maalim Seif kwenda ACT mlitaka ninyi wenyewe tu mtawale Nchi yetu na majukwaa yote?
 
Neno UROHO maana yake kuwa mlafi,kupenda kula kile ambacho umeshakula na kuona Utamu wake

Neno UCHU ni kupenda bila ya kikomo kile kitu ulichokula na kukiona kitamu..

UROHO na UCHU haya maneno yako katika CV ya CCM...,CCM tangu waonje UTAMU wa mdaraka wamekuwa WAROHO na wenye UCHU wa kutawala..

Juu ya uchu na uroho aliokuwa nao Maalim Seif hawezi kuwafikia CCM,kwanini CCM ndio wanaotawala Seifu hajafikia hatua hiyo..

CCM ni WAROHO,WANAUCHU,na ni VING'ANG'ANIZI wa Madraka wako radhi kufanya lolote ili watawale,kuua,kupiga risasi raia ni moja katika mifano hai
mkuu ccm wanapokezana na wanashinda kwenye box la kura lakini maalim anatumia njia zisizofaa kuwamaliza wapinzani wake
 
..Maalim hajamzidi Jiwe.

..Jiwe yuko radhi aseme uongo, apandikize chuki, na hata kuua kwa ajili ya madaraka.

..Maalim tunamjua tangu miaka ya 80, na hana rekodi ya ukatili aliyonayo Jiwe.
 
Habari wakuu,natumai ni wazima wa afya.Watu waliowengi wanapenda kushadadia mambo bila kujua historia ya hayo mambo ningependa kutoa ushauri tupende kusoma historia japo kidogo kabla ya kuanza kuwashadadia hawa tunaoita wapinzani ambao ukiangalia wengi wao utakuta wanachowaaminisha wafuasi wao na dhamira iliyokuwepo mioyoni mwao ni vitu viwili tofauti.Naomba msiuunganishe uzi huu na nyuzi nyingine kama mlivyofanya kwenye uzi wangu wa kumtaka mbowe ajiuzuru kupisha mabadiliko ndani ya chadema na uzi wa hali ya magereza.

Maalim seif ni mwanasiasa mwenye uchu na uroho wa madaraka ambaye yupo radhi kufanya lolote kwa ajili ya madaraka ndo maana sikushangaa alipogoma kufanya kazi tena na pro lipumba pia na mchakato wake wa kukiuza cuf bara ndani ya chadema ili abaki na cuf visiwani.Juzi nilipata bahati ya kupiga story na mwanachama na kiongozi wa cuf nikajifunza mengi kuhusu seif.Seif ni mnafiki kuwah kutokea katika siasa za Tanzania na mtu ambaye aliwamaliza kwa figisu figisu wapinzani wake wa kisaisa mfano Hamad Rashid ambaye alikuwa mtu muhimu na aliyepigania chama kwa pesa yake aliwezesha kujengwa kwa tawi la cuf Titanic.Pia seif ni katibu mkuu wa cuf Taifa lakini kwa kiasi kikubwa aliitenga cuf bara hakuwahi hata siku moja kufanya ziara ya kukiimarisha chama bara.

Kila siku najiuliza je seif anapigania nini?Anapigania kuwa Rais au kuwasaidia wananchi wa zanzibar na kama anapigania serikali tatu kama anavyodai tunakumbuka kuwa seif huyo huyo ndio aliyempeleka abdu jumbe kwa nyerere baada ya abdu jumbe kuanzisha mipango ya kudai serikali tatu akidhani nyerere atampa urais bila kudhani kuwa nyerere alikuwa na akili nyingine.Pia endapo maalim atahaidiwa urais yupo radhi kurudi ccm lakini misingi ya ccm haitaki viongozi waroho kama maalim

IKULU NI MAHALA PATAKATIFU SIO LANGO LA WALANGUZI
Huu ni uzandiki wa hali ya juu. Lengo la mwanasiasa yoyote ni kushika madaraka. Au ulitaka lengo la Maalim liwe tofauti na wanasiasa wengine?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom