Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,793
- 71,206
Ni maajabu makubwa, Seif Sharif Hamad kashindwa kesi yake na akaona isiwe taabu kawaachia chama. Katika uuamuzi huo akaingia ACT-Wazalendo na kauli mbiu "Anua tanga, pandisha tanga - Safari iendelee" na wafuasi kibao wa CUF wemeikimbia CUF na kumfata ACT.
La ajabu ni kuwa kwa kuamua hivyo maumivu yamewapata zaidi CCM kwani ndio wenye kiwewe sasa na kilio. Kwanini?
Au walitegemea Maalim kuendeleza maisha ya mgogoro na kesi ili wao waendelee ku-relax?
La ajabu ni kuwa kwa kuamua hivyo maumivu yamewapata zaidi CCM kwani ndio wenye kiwewe sasa na kilio. Kwanini?
Au walitegemea Maalim kuendeleza maisha ya mgogoro na kesi ili wao waendelee ku-relax?